Kama unajijua hauko vizuri Kichwani usipende sana kuvalia Suti kwani unaidhalilisha

Kwani kuna ulazima wa kutaja kabila? This doesn't sound right, be careful with what you decide to expose from your skull!! Tribalism worshiper
 
Binafsi ningekuwa karibu ningemwagia maji ya uso pwaaaaa,

sijui mshahara ulikuwa haujaingia anawaza pasaka itakuwaje???
Msamehe bure bado anatamani kupumua kwa muda mrefu
 
suti ina watu wake bana
ukivaa suti ukinunua kitu usiombe chenji,usitembee umbali mrefu kwa miguu
usiongee sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…