Kama unajiona mrembo sana hujafika makumbusho wewe kama unajiona handsome sana hujafika makumbusho wewe?

Kama unajiona mrembo sana hujafika makumbusho wewe kama unajiona handsome sana hujafika makumbusho wewe?

Makumbusho ukikaa masaa 2 lazima shingo ikuume kugeuka geuka kila dakika aisee hiki kutuo kimejaa maua balaa

Kama unajiona umetupia umenyooka kinoma ukifika hapa unajiona mshamba tu.

Shkamoo makumbusho
Makumbusho imetisha sana.

Kwa ufupi Dar Es Salaa Yoote imejaa maua. Sijui yanatoka wapi.
 
Makumbusho nimefika sana sijaona mahandsome, wengi ni wakaka wanaotikisa makalio na walojichubua.

Kuna baadhi wapo wanapiga kazi Mungu awabariki bila kuwasahau wakaka wanaouza popcorn.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mtu aliwahi nambia ukienda makumbusho utajikuta unakodolea macho watu, hiyo siku nkawaka na kusepea hapo maeneo, cha ajabu wao wakawa wananikodolea mie macho, afu cna habariii.
 
Utakua pisi haswaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mtu aliwahi nambia ukienda makumbusho utajikuta unakodolea macho watu, hiyo siku nkawaka na kusepea hapo maeneo, cha ajabu wao wakawa wananikodolea mie macho, afu cna habariii.
Nitumie kapicha basi dm
 
Back
Top Bottom