KING ASSENGA
JF-Expert Member
- Oct 8, 2016
- 928
- 1,478
- Thread starter
- #21
KulalekiNa matapeli wa Networking marketing wanaojua ku point makoti ya mtumba wamejaa Makumbusho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KulalekiNa matapeli wa Networking marketing wanaojua ku point makoti ya mtumba wamejaa Makumbusho
Hali mbayaMada zinazoendana na hii mvua zimeanza kuja
Haupo Makumbusho?
Wewe tulia makumbusho yenye pisi kali ipo moja tuMakumbusho ya azimio la Arusha pale mwenge
Naona msukuma wa gamboshi umeingia mjiniMakumbusho ukikaa masaa 2 lazima shingo ikuume kugeuka geuka kila dakika aisee hiki kutuo kimejaa maua balaa
Kama unajiona umetupia umenyooka kinoma ukifika hapa unajiona mshamba tu.
Shkamoo makumbusho
Hebu wasukuma njoo mumchukue house boy wenuWewe tulia makumbusho yenye pisi kali ipo moja tu
Astaghifilullah!🤔Makumbusho nimefika sana sijaona mahandsome, wengi ni wakaka wanaotikisa makalio na walojichubua.
Kuna baadhi wapo wanapiga kazi Mungu awabariki bila kuwasahau wakaka wanaouza popcorn.
Makumbusho imetisha sana.Makumbusho ukikaa masaa 2 lazima shingo ikuume kugeuka geuka kila dakika aisee hiki kutuo kimejaa maua balaa
Kama unajiona umetupia umenyooka kinoma ukifika hapa unajiona mshamba tu.
Shkamoo makumbusho
Ma house girl wapo kwenye masoko ya mitumba huko . Makumbusho watoto wa mjengoni ndio wanakuwepo ni hatariMawasiliano nakubali kuna pisi nyingi za UDSM... full shingo kuuma kwa kugeuza kuangalia misambwanda!
Chagua chai ya maziwa au Dem...mi na kikombe Cha pili hapa napiga chakula Cha ndamaHali mbaya
Ndiyo mkuuHaupo Makumbusho?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pengine ni mawasiliano...
Huyo dem ako akikusumbua kakae hizo stendi mbili. Utagundua unateswa na karunguyeye...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mtu aliwahi nambia ukienda makumbusho utajikuta unakodolea macho watu, hiyo siku nkawaka na kusepea hapo maeneo, cha ajabu wao wakawa wananikodolea mie macho, afu cna habariii.Makumbusho nimefika sana sijaona mahandsome, wengi ni wakaka wanaotikisa makalio na walojichubua.
Kuna baadhi wapo wanapiga kazi Mungu awabariki bila kuwasahau wakaka wanaouza popcorn.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] labda venue za Masters kulee kuna mahandsome na beautiful balaa, afu wako smart sasa.Mawasiliano nakubali kuna pisi nyingi za UDSM... full shingo kuuma kwa kugeuza kuangalia misambwanda!
Nitakupeleka.Ndiyo mkuu
Nitumie kapicha basi dm[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mtu aliwahi nambia ukienda makumbusho utajikuta unakodolea macho watu, hiyo siku nkawaka na kusepea hapo maeneo, cha ajabu wao wakawa wananikodolea mie macho, afu cna habariii.
Dume huyoUtakua pisi haswaaNitumie kapicha basi dm
Hata mliman cityPengine ni mawasiliano...
Huyo dem ako akikusumbua kakae hizo stendi mbili. Utagundua unateswa na karunguyeye...