zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Amina, Mama Mtumishi barikiwa kwa maombi hakikaHuu ni mfano(mwongozo tu) wa jinsi unavyoweza kuomba asubuhi, mchana au usiku:
"Baba wa Mbinguni, kwanza nakushukuru kwa kuniokoa na kuniahidi kuwa nikiomba lolote utanipa. Nakuja mbele zako sasa kwa unyenyekevu nikiwa na hitaji langu hili(taja hitaji lako). Ninaamini kuwa Wewe Mungu una uwezo wa kunisaidia au kuniongoza katika njia sahihi. Naamini utanipa kama ulivyoahidi. Napokea kwa imani majibu ya hitaji hili.
Katika jina la Yesu Kristo, Amina."