Kama unakasirika sababu ya jambo moja kati ya haya fahamu wewe ni Mpumbavu kabisa

Kama unakasirika sababu ya jambo moja kati ya haya fahamu wewe ni Mpumbavu kabisa

wewe ni malaya huoshi k yako inanuka nakutoa shomboo , hujui kuoga na pia wewe ni likahaba linalotoa k yako bure na unaandika post kutafuta wanaume wakukulamba tu .

Wewe unanuka kwa maana huogi kwanza wewe ni mpuuzi halafu isitoshe wewe ni maskini kapurwa.
Yaan hayo yote umejielezea wewe jinsi ulivyo sio mchezo yaan wewe malaya unanuka k huoshi k na k yako inanuka na kutoa shombo hujui kuoga kahaba unatoa k bure ? Hapo kwenye bure hapo ndio unesema uongo hakuna malaya au kahaba anaetoa k bure
 
Yaan hayo yote umejielezea wewe jinsi ulivyo sio mchezo yaan wewe malaya unanuka k huoshi k na k yako inanuka na kutoa shombo hujui kuoga kahaba unatoa k bure ? Hapo kwenye bure hapo ndio unesema uongo hakuna malaya au kahaba anaetoa k bure
Akili zenu humu zimelogwa sina time na vishoia mmefulia mnafaa kupendana wenyewe kwangu akuuu ........
Next time jipeshughuli
 
Mtu huyo sio mpumbavu kabisa sababu kukasirika, kufurahi, kupata nyegee, kuhamaki au kushtuka ni kama hali ya hewa tu hivyo mtu yuleyule anaweza kuwa hivi leo kesho akawa wa tofauti. Mpumbavu ni mtu asiyebadilika

Umasikini ni laana!
Umasikini husababisha mtu acheze vikoba

Umasikini husababisha mtu awe na majibu ya hasirahasira

Umasikini humfanya mtu awe wa visirani 🤣🤣

Hivyo basi mtu wa Kariba unaemwongelea sio mpumbavu bali ni hali tu ya hewa ya wakati huo... Siku akitusua atapata utulivu wa akili utashindwa kujua kama ni yeye.
Umeandika vyema, na ni kweli kwamba kila mtu awaye yeyote huwa ameumbiwa Hasira, Furaha, Kujitawala (self control) etc. Lakini kuna ile hali ya mtu kupitiliza au kuwa mtu asiyeshaurika ni mwepesi wa hasira na hawezi kujitawala. Hali kama hizo na frequency yake zinapokuwa ni too much watu huita ni mtu mwenye shari - aghalabu watu/Jamii hujitahidi kumwepuka i.e. kutojiingiza kwenye 18 zake. Kutokana na yeye binafsi kutojitambua hali yake hiyo hadi hapo i.e. hajifunzi wala mazingira hayamsaidii kujirekebisha; mtu huyo ataitwa ni Mpumbavu. Ni mlemavu wa kudumu katika ujinga wake yan harekebishiki tena.
 
Sikai kimya na wala sikasiriki badala yake nakuombea:
"Ee Mungu mkumbuke SweetyCandy kwenye ufalme wako. Msaidie kuudhibiti ulimi wake usinene matusi. Maana watukanao hawataurithi ufalme wako. In Jesus' name, I pray, Amen."
Dah! Hizi sala nyingine bhana! Yan unamtaka Mungu na Ukuu wake wote ule eti afanye kazi ya kuudhibiti ulimi wa Sweety Candy ili usinene matusi!!!.
Mi nadhani tumsubiri Mungu amalizane kwanza na yale ya Russia vs Ukraine, Israel vs Gaza/Palestine, Amani huko Congo DRC, Watanzania wasio na hatia wanaotekwa na kupotezwa, Ukame unaotunyemelea Hapa Tz n.k.
Mambo ya matusi mbona wapo akina Musa na Haruni(Wachungaji, Mashekhe, Manabii, Mitume na watumishi wa Mungu. Asipowasikia hao, basi hatamsikia hata Mungu akinena naye.
 
Wataje kwa majina kama kweli unafanya Hip Hop.

Name Them? Nah! – Hip-Hop Song Lyrics

Yo, they said, "Name 'em!" – nah, I ain't that petty,
Wisdom’s my weapon, my flow stays steady.
Fools get mad, let their tempers ignite,
But I stay cool, ‘cause I walk in the light. (John 8:12)

I don’t need to drop names, I just drop facts,
Proverbs 29:11 – that's straight-up facts!
The wise stay calm, but the fool lets it show,
So I spit these bars, let the wisdom flow.

You get mad quick? Then this shoe might fit,
If the truth cuts deep, don’t throw a fit.
I'm not here for beef, I just drop that heat,
Let the Bible speak, take a humble seat.

So nah, I ain't naming names, that ain't me,
I just shine the light, let the blind ones see.
Ecclesiastes 7:9 – peep the page,
Anger stays locked in a fool’s rib cage!
 
Hasira ya mwanadamu haitendi haki ya Mungu(Yak 1:20)
Hakuna binadamu asiye kasirika ,mm nadhani mada yako ingekuwa na mantiki iwapo ungesema mtu asiye weza kudhibiti hasira zake ni mpumbavu.
Hasira haitaji ruhusa yako kuingia ndani ya kifua chako huwa inakuja automatically baada ya kufanyiwa kitu usicho kipenda au cha kuudhi ila kitendo utakacho fanya baada ya hiyo hasira ndo kitakuhukumu iwapo ni mpumbavu au ni mwenye busara.

Huwezi kuniambia eti mwizi aniibie alafu nisiwe na hasira naye, au mke wangu nimfumanie anafanya uzinzi eti nisikasirike ww utakuwa sio binadamu bali utakuwa ni robot.
 
Mtoa mada apuuzwe,Kuna watu wanakera mara ukisema kitu anaibuka mtu anasema chai.
 
Hata wewe nakutilia shaka yawezekana akili yako sio nzuri kabisa una hasira za hapa na pale.
Nilidhani una uhakika na unachosema, kumbe unanitilia shaka tu?
 
mpumbavu Pro max
1 Kor 6:9-11 SUV
Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi.
 
Mtu akikukera, ukamuweka kwenye ignore list, maana yake umekasirika; hivyo bado utakuwa kwenye list ya wapumbavu
Then nawewe ni MPUMBAVU tu kwakuwa na negative thinking above all.
Tuseme sasa binadamu wote ni Wapumbavu pamoja na Wewe.
 
Back
Top Bottom