Kama unampa pesa kila mnapofanya mapenzi, hapo mimba ikiingia ni yake peke yake.

Kama unampa pesa kila mnapofanya mapenzi, hapo mimba ikiingia ni yake peke yake.

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari!
Kama kichwa kinavyosema.
Kama huwa unamlipa pesa kila mnapofanya mapenzi nj vyema ijulikane kuwa hiyo ni biashara kamili. Hata kama hakutajii kiwango rasmi au hakushikii badtola ili umlipe.
Kwa jina lolote lile iwe hongo, matunzo, nauli, ya kula, ya sabuni n.k maadamu tu inalipwa kila mnapofanya hiyo ni biashara.
Mapenzi sio kandambili kwamba zinaumia zenyewe tu kila uchwao.
Ikiingia mimba hayo ni matokeo ya biashara, mmoja akiambukizwa gono au VVU atulie tuli asimlaumu mwenzake.
MImba ni ya yule ambayo iko tumboni mwake .
BIashara haina neno kuachana. Mmoja akiona haina maslahi kwake anapotea na hapaswi kulaumiwa na mwingine.
 
Ushapigwa na kitu kizito [emoji28][emoji28][emoji28]
IMG-20230508-WA0135.jpg
 
Habari!
Kama kichwa kinavyosema.
Kama huwa unamlipa pesa kila mnapofanya mapenzi nj vyema ijulikane kuwa hiyo ni biashara kamili. Hata kama hakutajii kiwango rasmi au hakushikii badtola ili umlipe.
Kwa jina lolote lile iwe hongo, matunzo, nauli, ya kula, ya sabuni n.k maadamu tu inalipwa kila mnapofanya hiyo ni biashara.
Mapenzi sio kandambili kwamba zinaumia zenyewe tu kila uchwao.
Ikiingia mimba hayo ni matokeo ya biashara, mmoja akiambukizwa gono au VVU atulie tuli asimlaumu mwenzake.
MImba ni ya yule ambayo iko tumboni mwake .
BIashara haina neno kuachana. Mmoja akiona haina maslahi kwake anapotea na hapaswi kulaumiwa na mwingine.
Msitelekeze damu zenyu kwa visingizio vya kijinga jifunzeni kwa waliyowakuta na ikibidi mkawaombe ushauri
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] uzuri kuna muda mnatoaga wenyewe bila kuombwa

Upwiru sio jambo zuri
Sasa Mtu akinuna ghafla unafikiri mbinu gani ya kumrudisha siku nyingine?[emoji16]
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] uzuri kuna muda mnatoaga wenyewe bila kuombwa

Upwiru sio jambo zuri
Hapa ndio penye shida sasa hasa ukifinyiwa kwa ndani[emoji39][emoji1787][emoji1544][emoji1550]
 
Back
Top Bottom