mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
uko sahihi mkuu.... ila sioni kama ni kitu kibayaIla nyii watu mtakua na depression, kwenye maisha ya kawaida hamna hata watu wa kuchat nao mnaona faraja pekee ni huku jf
Just my humble observation
wapi huko nije kumtoa baruKuna mlevi hapa nje kwangu anacheka na kujitekenya mwenyewe kila nikimfukuza hatoki daah!π€£ππ¬ππ
Mkuu sina jukumu lolote niko holiday mpaka tarehe 30 June.....kulala kula kuburudika tu.Nimesema pole kwa majukumu[emoji1787][emoji23][emoji51][emoji2][emoji38].
Sijasema pole kwa kuoa[emoji38][emoji2][emoji51][emoji23][emoji1787]
πππ¬ππ€£tuma tena sijaiona
For sure eti ??Hebu onesha huo u_serious niende na wewe kwenu
Hapa Buza Uwanja wa fisiwapi huko nije kumtoa baru
Ulaya, ArushaUnapatikana wp kwa sasa?
Uko wapi sasa ?Ila hujakutana na mtu kama mie nipo serious napenda kweli nikipendwa
unaona unavonizungusha?? hapo bado sijaiomba uanze kunipa mashartiFor sure ??
Wewe unafanya nini hapo kama unao wa kuchat nao? Just humble question.Ila nyii watu mtakua na depression, kwenye maisha ya kawaida hamna hata watu wa kuchat nao mnaona faraja pekee ni huku jf
Just my humble observation
Kwako Tena hapanaunaona unavonizungusha?? hapo bado sijaiomba uanze kunipa masharti
a man has his needs my sister....πππ¬ππ€£
Wacha weee.
Acha nikasikilize zangu wimbo wa ONE PEOPLE DIFERENT COLORS wa lucky Dubeπ€£ππ¬ππ
Tuliza ngenye na wewe acha ushamba wa mtandaoni.......kwani umjui huyu.Hebu onesha huo u_serious niende na wewe kwenu
hili linataftiwa ufumbuzi[/b]Ila nyii watu mtakua na depression, kwenye maisha ya kawaida hamna hata watu wa kuchat nao mnaona faraja pekee ni huku jf
Just my humble observation
nipo Malapa hapa chap nadondoka hapo.Hapa Buza Uwanja wa fisi
fanya kweli mama nina kahela hapa kananiwashaKwako Tena hapana
Kwa Yesuπππ¬ππ€£mamboo..
Kuna watu Wana average ya kuanzisha thread 3 kwa sikuWewe unafanya nini hapo kama unao wa kuchat nao? Just humble question.
π€£ππ¬πππMkuu sina jukumu lolote niko holiday mpaka tarehe 30 June.....kulala kula kuburudika tu.