Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Don't mind me kuna saa naongeaga vitu hata mwenyewe sivielewi😃😬🤣😂😆Kisa upatwe na Nini??
Wanawake wa bongo mama yao ni moja wote wana fanana, mbinu na kiasi cha mizinga ndo kina tofautianaUnaipiga chini tatizo mnateseka Kisa wanawake wasio na ulazima wakuwa nao
KhaNdiyo maana hamdumu.
HakunaWanawake wa bongo mama yao ni moja wote wana fanana, mbinu na kiasi cha mizinga ndo kina tofautiana
tulia dawa ikuingieJamani sijakubwaga wewe umekaa kimya mbona mie nakupenda sana
Mie nilienda pm nikakupa namba yangu mbona hujanipigiatulia dawa ikuingie
Pole kwa kazi mkuu😆😂😂😬😃Mwanamke wa kibongo mapenzi kwake ni umenipa nini? Kama unanipenda. yaani wewe ndo unakua ATM yake, bima yake nk. Wajinga sanaa wana fikira za kimasikini.
tuma tena sijaionaMie nilienda pm nikakupa namba yangu mbona hujanipigia
Sasa wanataka wapige mahali Bure halafu kwingine wanahonga balaa sana tu halafu wakibwagwa wanajumlisha wotePole kwa kazi mkuu😆😂😂😬😃
Deja vuu🤔🤔Piga picha umeshika kijiko tuone vidole vyako
Pole ya nini mkuu mimi sija oa mbongo wezi hao kila akiongea maneno matano matatu yanaomba pesa au msaada kwako.Pole kwa kazi mkuu[emoji38][emoji23][emoji23][emoji51][emoji2]
Wachaa wee😃😬😂🤣Piga picha umeshika kijiko tuone vidole vyako
Nimesema pole kwa majukumu🤣😂😬😃😆.Pole ya nini mkuu mimi sija oa mbongo wezi hao kila akiongea maneno matano matatu yanaomba pesa au msaada kwako.
For sure ??tuma tena sijaiona
Hebu onesha huo u_serious niende na wewe kwenuIla hujakutana na mtu kama mie nipo serious napenda kweli nikipendwa
Kuna mlevi hapa nje kwangu anacheka na kujitekenya mwenyewe kila nikimfukuza hatoki daah!🤣😂😬😃😆Mie nilienda pm nikakupa namba yangu mbona hujanipigia
Mie nipo mahali hapa na kodolewa machoo ila moyo unasitaIla nyii watu mtakua na depression, kwenye maisha ya kawaida hamna hata watu wa kuchat nao mnaona faraja pekee ni huku jf
Just my humble observation
mamboo..Nimesema pole kwama majukumu🤣😂😬😃😆.
Sijasema pole kwa kuoa😆😃😬😂🤣