DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Hii kasumba ya Watanzania kukimbilia kusoma masomo ya science eti kwa sababu umeambia na mwanasiasa, mtaishia Kupata majuto Makubwa.
Au unaanzisha Biashara eti kwa sababu umeambiwa na mwana-siasa utaishia kupata stress.
Sera za nchi yetu hazitabiriki na sio endelevu.
Soma kitu kwa utashi wako and not from someone else.
Pia Fanya Biashara yako kwa Kupata hints from ur own sources and not from politicians.
Au unaanzisha Biashara eti kwa sababu umeambiwa na mwana-siasa utaishia kupata stress.
Sera za nchi yetu hazitabiriki na sio endelevu.
Soma kitu kwa utashi wako and not from someone else.
Pia Fanya Biashara yako kwa Kupata hints from ur own sources and not from politicians.