Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Yap, niulize chochote kuhusu pombe. Nitajibu maswali yote, na ikitokea utahitaji kijitabu nicheki PM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mtu amekuwa addicted na pombe kiasi ambacho asipokunywa anatetemeka........nawezaje kumsaidia akaacha kabisa pombeYap, niulize chochote kuhusu pombe.
Yap. Inawezekana. Lakini chini ya uangalizi maalumu. Mtu kama huyo withdrawal inaweza hata kumuua. Kwanza anapewa dawa za kuzuia madhara ya kuacha pombe(withdrawal). Kisha anapewa za kuacha pombe. Huyo ndugu yako hata akilazwa na kukosa pombe anaweza pata madhara makubwa.Kama mtu amekuwa addicted na pombe kiasi ambacho asipokunywa anatetemeka........nawezaje kumsaidia akaacha kabisa pombe
Hapana. Hizo sijawahi kujaribu.Kuna hizi pombe mbili;
1.Hii ya Kwanza ni gongo ya marapurapu,unaambiwa kila unachokiona mbele yako,kuanzia viatu,nguo chafu,betri mbovu..Hahahah😅 unaweka kwenye pipa kisha unatoa gongo
2.kuna pombe kabla hujakunywa unafungwa kamba kwenye magoti(miguu) km tahadhari ukiachia haja kubwa ubaki Nayo mwilini mwako,usiwaharibie wengine burudani😀..inaitwa Pingu hiyo pombe!!
Hizi pombe mbili umeshawahi kuzijaribu? Vipi vibe lake likoje?
Kwani wewe ni mnywaji uliyefuzu😂😂😂😂😂Yap, niulize chochote kuhusu pombe.
Hapana. Nilirudi kabla ya kuwa sugu.Kwani wewe ni mnywaji uliyefuzu😂😂😂😂😂
Dawa za kuzuia madhara ya kuacha pombe ni zipi hizo? Na dawa za kuacha pombe ni zipi? Naomba uende deep nahitaji kufahamu zaidYap. Inawezekana. Lakini chini ya uangalizi maalumu. Mtu kama huyo withdrawal inaweza hata kumuua. Kwanza anapewa dawa za kuzuia madhara ya kuacha pombe(withdrawal). Kisha anapewa za kuacha pombe. Huyo ndugu yako hata akilazwa na kukosa pombe anaweza pata madhara makubwa.
Dawa ya kuzuia madhara ya kuacha pombe ni kama valium(Diazepam). Hii hufanya kazi kama pombe hivyo mtu huepuka witdrawal syndrome. Dawa za kusaidia kuacha ni kama disulfiram. Hii mtu akitumia inakuwa kama yamini, akigusa pombe anapata madhara yatayomfanya asitamani kabisa pombe.Dawa za kuzuia madhara ya kuacha pombe ni zipi hizo? Na dawa za kuacha pombe ni zipi? Naomba uende deep nahitaji kufahamu zaid
Mtu anatumia vigezo gani kunywa pombe fulani na si nyingine?Yap, niulize chochote kuhusu pombe.
Sijakupata?Mtu anatumia vigezo gani kunywa pombe fulani na si nyingine?
Kuna siku hizo dawa nazo utaweza kuziacha?Dawa ya kuzuia madhara ya kuacha pombe ni kama valium(Diazepam). Hii hufanya kazi kama pombe hivyo mtu huepuka witdrawal syndrome. Dawa za kusaidia kuacha ni kama disulfiram. Hii mtu akitumia inakuwa kama yamini, akigusa pombe anapata madhara yatayomfanya asitamani kabisa pombe.
Lakini madhara yatokanayo na kuacha pombe huwakuta wanywaji masugu tu.
Kwa mfano, mnywaji wa safari, ukimpa kilimanjaro hawezi.. na mwingine hataki kabisaa...! achana na wale wa jiko la shamba halichagui kuniSijakupata?
Kama unajua pombe kweli
Utaijuaje konyagi feki?
Disulfiram inapatikana kirahisi maduka ya madawa kama inavyopatikana kirahisi diazepam? Je kuna sehem special anaweza patiwa hii huduma mpaka akaacha kabisa?Dawa ya kuzuia madhara ya kuacha pombe ni kama valium(Diazepam). Hii hufanya kazi kama pombe hivyo mtu huepuka witdrawal syndrome. Dawa za kusaidia kuacha ni kama disulfiram. Hii mtu akitumia inakuwa kama yamini, akigusa pombe anapata madhara yatayomfanya asitamani kabisa pombe.
Lakini madhara yatokanayo na kuacha pombe huwakuta wanywaji masugu tu.
Yap, baada ya muda unaziachaKuna siku hizo dawa nazo utaweza kuziacha?
Mapemdezi tu ya ladha. Haina sababu ya kitaalamu. Ni kama mwingine hawezi kunywa bia chungu(stout) kama Guiness. Au tamtamu(Ale) kama Redds.Kwa mfano, mnywaji wa safari, ukimpa kilimanjaro hawezi.. na mwingine hataki kabisaa...! achana na wale wa jiko la shamba halichagui kuni