Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Habari!
Katika kuhudumia watu (wateja) kama mlinzi ndani ya miaka 6 napenda kuteta na vijana mnaosaka ajira. Ratio ya ajira na wasomi sasa imekuwa tofauti sana.
Sasa kinachomata ni connection na akili. Kuna ofisi watu wana hela mpaka huna wa kumuhonga. Imagine mpaka Mimi mlinzi unanikuta nimetupia suti na pembeni kuna Suzuki yangu.
Hapa ukifika huna connection au huna akili bali una vyeti tu hupati kazi. Kijana anafika getini na bahasha yake anaomba kuonana na boss direct hataki kusikia maelezo.
Ukimuuliza unataka kuongea naye nini hebu niambie anaona unambania ridhiki. Kwa hekima ya kawaida tu namruhusu aende kwa PS. PS anamwambia shortly kuwa hakuna kazi anarudi mnyonge.
Walinzi tunajua sera za ofisi yote, tunamjua kila boss na tabia zake. Ofisi inabadilishwa maofisa kila mwaka ila sisi tupo.
Nimeleta Uzi baada ya brother mmoja leo kutorodhika na maelezo yangu na kuomba aonane na boss. Kajibiwa tu hakuna nafasi ya ajira iliyo wazi. Akarudi kwangu kuomba msaada maana alikumbuka maneno ya awali nikamwambia sina msaada Mimi ni mlinzi tu ondoka.
Katika kuhudumia watu (wateja) kama mlinzi ndani ya miaka 6 napenda kuteta na vijana mnaosaka ajira. Ratio ya ajira na wasomi sasa imekuwa tofauti sana.
Sasa kinachomata ni connection na akili. Kuna ofisi watu wana hela mpaka huna wa kumuhonga. Imagine mpaka Mimi mlinzi unanikuta nimetupia suti na pembeni kuna Suzuki yangu.
Hapa ukifika huna connection au huna akili bali una vyeti tu hupati kazi. Kijana anafika getini na bahasha yake anaomba kuonana na boss direct hataki kusikia maelezo.
Ukimuuliza unataka kuongea naye nini hebu niambie anaona unambania ridhiki. Kwa hekima ya kawaida tu namruhusu aende kwa PS. PS anamwambia shortly kuwa hakuna kazi anarudi mnyonge.
Walinzi tunajua sera za ofisi yote, tunamjua kila boss na tabia zake. Ofisi inabadilishwa maofisa kila mwaka ila sisi tupo.
Nimeleta Uzi baada ya brother mmoja leo kutorodhika na maelezo yangu na kuomba aonane na boss. Kajibiwa tu hakuna nafasi ya ajira iliyo wazi. Akarudi kwangu kuomba msaada maana alikumbuka maneno ya awali nikamwambia sina msaada Mimi ni mlinzi tu ondoka.