NkumbiSon
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 2,483
- 3,492
Wenye nyumba hawanaga mtetezi.. Tatizo Wapangaji wengi wanajiandaaga kushindwa kukaa na mwenye nyumba kabla hawaja kaa nae, matokeo yake kila ikitojea wanapishana basi ina onekana kisa ni mwenye nyumba.
Mkataba ndio kila kitu iwe una kaa na mwenye nyumba ama na wapangaji wengine wengi.. hakikisha unaishi ndani ya mkataba wako na mwenye nyumba na usivumilie unapokiukwa.
Wengi wetu ni waoga katika kutetea haki zetu ndio maana tuna kua wanyonge hadi kwa Mali za watu tunazozitumia kwa kuzilipia. Ujue unapopanga mlinzi wako ni mkataba.
KWAKIFUPI.
Mimi ni mwenye nyumba na wapangaji wangu wote waliopita kwangu tumejikuta ni marafiki wakubwa na kama ndugu. Ninachowaambia mimi ni Jirani yenu, U Mwenye nyumba tutakutanishwa na mkataba. Na ninaishi nao nyumba moja tukishare makorido bila nyodo wala unyonge.
Kikubwa, Usijiandae kushindwa kuishi na mwenye nyumba.. tengeneza au kubaliana na mkataba utakaokufanya uishi maisha yako hata kama unaishi na mwenye nyumba bila karaha.
Mkataba ndio kila kitu iwe una kaa na mwenye nyumba ama na wapangaji wengine wengi.. hakikisha unaishi ndani ya mkataba wako na mwenye nyumba na usivumilie unapokiukwa.
Wengi wetu ni waoga katika kutetea haki zetu ndio maana tuna kua wanyonge hadi kwa Mali za watu tunazozitumia kwa kuzilipia. Ujue unapopanga mlinzi wako ni mkataba.
KWAKIFUPI.
Mimi ni mwenye nyumba na wapangaji wangu wote waliopita kwangu tumejikuta ni marafiki wakubwa na kama ndugu. Ninachowaambia mimi ni Jirani yenu, U Mwenye nyumba tutakutanishwa na mkataba. Na ninaishi nao nyumba moja tukishare makorido bila nyodo wala unyonge.
Kikubwa, Usijiandae kushindwa kuishi na mwenye nyumba.. tengeneza au kubaliana na mkataba utakaokufanya uishi maisha yako hata kama unaishi na mwenye nyumba bila karaha.