Kama unatafuta nyumba ya kupanga DSM, kuna vitu vya kuzingatia usivichukulie poa!

Wenye nyumba hawanaga mtetezi.. Tatizo Wapangaji wengi wanajiandaaga kushindwa kukaa na mwenye nyumba kabla hawaja kaa nae, matokeo yake kila ikitojea wanapishana basi ina onekana kisa ni mwenye nyumba.

Mkataba ndio kila kitu iwe una kaa na mwenye nyumba ama na wapangaji wengine wengi.. hakikisha unaishi ndani ya mkataba wako na mwenye nyumba na usivumilie unapokiukwa.

Wengi wetu ni waoga katika kutetea haki zetu ndio maana tuna kua wanyonge hadi kwa Mali za watu tunazozitumia kwa kuzilipia. Ujue unapopanga mlinzi wako ni mkataba.

KWAKIFUPI.
Mimi ni mwenye nyumba na wapangaji wangu wote waliopita kwangu tumejikuta ni marafiki wakubwa na kama ndugu. Ninachowaambia mimi ni Jirani yenu, U Mwenye nyumba tutakutanishwa na mkataba. Na ninaishi nao nyumba moja tukishare makorido bila nyodo wala unyonge.

Kikubwa, Usijiandae kushindwa kuishi na mwenye nyumba.. tengeneza au kubaliana na mkataba utakaokufanya uishi maisha yako hata kama unaishi na mwenye nyumba bila karaha.
 
Changamoto mojawapo kubwa kukaa na mwenye nyumba, halafu awe ni mwanamke au mzee fulani mswahili! Utafurahi mbona!!
Hakuna raha kama ya kuishi na mwenye nyumba.. Unachotakiwa usimuogope tena mchukulie kama jirani na alijue hilo yaani hata akikuletea za umwenye nyumba wewe mwambie unamtambua kama jirani ila mkataba ndio unamtambua yeye ni mwenye nyumba. na ni kipengele gani cha mkataba kimekiukwa kama hakipo ishi maisha yako fresh kabisa.

Unajua mwenye nyumba akikusumbua ukimfungia kazi anatakiwa yeye ndio akutafutie pakukaa na ni pale utakapopapenda wewe mwenyewe?
 
Mi miezi 6 ikiisha nasepa simpi 2nd chance
 
Nilipokaa mwanzo ukifika ule mtaa mchana unaweza Lipa kodi ya miaka miwili ila ikifika jioni hata ukiwa unaongea na mtu ndani anaweza akuambie ingia ndani tuweze kusikilizana iilhaali wewe upo ndani, kelele za pale si mchezo
Hahaha Dar sio ya kufanya maamuzi mchana au kiangazi. Utalia
 
At least wewe unajua unachofanya. Na unaichukulia serious iyo "kazi" .

Hawa wengine wanaona kama wanatusaidia sisi hatuna pa kukaa.
 
Kama
Bachela uwe na box la condom usisahau hii nunua mojamoja kuna siksu unayatimbaa kavu
 
Nunua kiwanja hata hatua 12 kwa 24.ujenge geto janja,acha utumwa,hizo laki sita utafyatua tofali kibao na kigeto ujanja kiko kama castle house full ujanja,hebu hizo posho unganisha ujenge geto ujanja au cheza mchezo wa kazini.
 
Dah muhimu sana.

Kuna nyumba nilikaa, choo cha kushare. Kuna mwamba alikua akiingia, ata kama kina maji yeye anashusha mzigo bila kumwaga maji.

Yaani ukiingia unaukuta mzigo pale, wakati maji sio kwamba hayapo.
Wengine hawajui mambo ya maji Waite uwape semina elekezi,jitahidi kujiongeza lakini pia geto janja waweza Jenga kwa pesa kiasi tuu
 
Mm mama mwenye nyumba ananiibia mabeki 3 zangu sio poa. Anawatafutia KAZI kwingine kisha uko anataka pesa ya nauli kwao ndio anawapeleka.mmoja kashindwa aliko pelekwa ndio kumpigia wife simu na kusema ilivyo kua. Na pia nackia mama mwenye nyumba kasema kua kila nikileta beki 3 atakua anawauza kwa wengine. Nimepata mzuka wa kumaliza kibanda changu ili mwezi ujao nisepe kwangu tu.
All the best
 
Sio mijusi hiyo broo. Kuna uzi humu si ukumbuki ila wanasema hizo ni antena/kamera za wenyewe.

Fanya jambo utashangaa wanahama wote.
 
Huyo jamaa yako mkumbushe kwamba ana miaka 50 mbele sasa asione hivyo alivyo ndivyo itakavyokuwa lawama hatutaki mwambie nimekwambia mimi lawama hatutaki na kama hataki mwache ainjoi ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…