Kama unatafuta nyumba ya kupanga DSM, kuna vitu vya kuzingatia usivichukulie poa!

Kuna nyumba nliishi ilikua nyumba ya familia ila kukawa na chumba kimoja ko mpangaji nipo mwenyewe, pale wakawa wananitreat kama Mtoto wa Ile familia palikua na mabinti wengi nkifua nguo zikikauka wanazitoa na kuzikunja jioni wananipatia palikua pazuri sema kipengele ikawa mambo ya ujana 'kuvusha' hawataki.
 
Ulivyo wa ajabu ukaondoka.
 
Rafiki Mad Max natamani nikuambie njoo upanga nikupangishe kwenye nyumba ya urithi ila naogopa kwakuwa Mimi nipo mbali na hapo ndugu zangu watakusumbua kukudai Kodi na kukukopa kwa kigezo Cha wao ni wenyenyumba pia ,mwisho uje kunichana hapa

Japo hata Mimi nikirudi hatutawezana maana nikiishiwa hela lazima wewe kama mpangaji uwajibije ili baba mjengo nisikae kinyonge
 
ungenivusha mie bichwa komwe niwe dem wako
 
Tatizo wenye nyumba wengi Dar ni maskini kuliko wapangaji.
 
Aisee! Sasa unakuwaje mpangaji wa masikini?
 
CCM nini....
 
Mijusi ni changamoto ht hapa nilipo ni wengi....puliza rungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…