Kama Dar akihama mtu nishtue.Hapa siondoki aisee kwanza hata rafiki zangu wakija wanasema mtu akihama niwashtue.
Kuna jamaa alihama mwezi wa 4 now anapiga simu kunikumbusha mtu akitoka ili arudi ,mwenye nyumba huyu ni muungwana na hategemei kodi.
Nilihamia mwaka jana mwezi wa 7 lakini kodi inaisha najikuta siko poa ajabu hutaona simu yake wala sms kuuliza kodi ,hata kodi ninayotumia sasa nilikaa miezi miwili kodi ikiwa imeisha na wala sijatumiwa ujumbe wala sms ajabu nimelipa baada ya siku 49 lakini mkataba akaanzia mwezi mmoja nikashaangaa nilijua labda kakosea nikamvutia waya akasema nitulie wala hakuna shida ndo kuna jamaa akanisanua mzee hana noma.
SIHAMIIIII HAPA
Madalali wanaweza kusifia nyumba ukasema nimepata nyumba nenda sasaMimi huwa nakikisha dalali nimempa sifa zote za nyumba ninazotaka.
Anipeleke kunionyesha nyumba yenye sifa nilizompa.
Tukifika mimi ni kuelewana na mwenye nyumba.
Hii huwa inanipunguzia usumbufu wa kuzunguka.
Ni DSMKama Dar akihama mtu nishtue.
PoaNimeweka order akitoka mtu.
Nimelipa leo kodi ya miezi mi4 kwa makubaluano kuwa kuna baadhi ya vitu watamalizia kama vio alminium, gypsum na tails na nimeshaingia ndani leoUmebugi wapi? ππ
Daaah nimecheka kinoma faza!Yote uliyoanisha ni ya msingi sana
Nilipanga sehem jirani akaninyima penzi halafu akaanza kuweka nyimbo za majigambo namna ye na jamaa yake wanapendana dah ilibidi nihame
Jirani alikuwa jau sana alichukulia personal nikaona isiwe tabuDaaah nimecheka kinoma faza!
7K, kwa mwezi watu mna raha.Mimi mwenyewe spendi kupanga nyumba ya watu wengi.sipendi kelele.
Umeme 7,000 kwa mwezi,usafi sifanyiπππ.kutoka saa 11 asubuhi kurudi saa 3.nikifika napika nakula nalala.
Ndomana nikasema nadhani tayar nimesha uvagaa moto tena kirahiiisi sanaNiamini mimi, hatomalizia. Na kisingizio atasema umelipa miezi 4 sio 6.
Madini matupuNilikua kwenye nyumba ya kupanga, nzuri tu. Tatizo mwenye nyumba akapandisha bei kwa asilimia zaidi ya 25, bila taarifa mapema.
Nikaona sio shida, nikahama mkataba ulivyoisha. Sasa katika harakati za kutafuta nyumba, kuna vitu nimejifunza na vingine nimeshachelewa nimejikuta najuta tayari niko ndani.
Baadhi yake:
1. Usikae na mwenye nyumba.
Nilipokua zamani nilikua sikai na mwenye nyumba. Anakuja mara chache sana. Ila sahivi nimeyatimba.
Hafu mwenye nyumba ana shughuli kila siku, mazingira yapo ovyo wala sio masafi kwasababu yeye tu ana ndugu zaidi ya 8 na watoto, ukijumlisha mnashare uwanja, aisee.
2. Jitahidi msiwe mna-share bili/matumizi ya maji au umeme.
Iwe na wapangaji wenzako au mwenye nyumba, jitahidi sana ulipie bili mwenyewe.
Ikitokea umebanwa sana bdsi angalau muwe wawili mwisho. Sub-meater hazitasaidia kitu. Mtatoa kila mtu 20,000/= ya umeme kwa mwezi wewe unashinda kazini ukirudi unawasha feni tu, kuna sista duu anachemsha maharage kwa presha cooker.
Lazima mtagombana tu.
3. Hakikisha nyumba imekamilika ujenzi, asikudanganye lipia tu namalizia wiki ili kuweka madirisha sijui.
Unavyoenda kukagua eti nyumba haijakamilika choo au dirisha, akasema lipia namalizia mtego huo.
Ukishalipia tu imeisha. Utakuta jikoni hakuna sink, feni ya sebuleni haweki, na ata maji unaweza kuta akachelewa kuyaingiza.
Jitahidi uende nyumba iliokamilika kila kitu.
4. Kama una gari, angalia upatikanaji wa funguo za geti.
Otherwise utajikuta unawahi kurudi kuogopa kufungiwa geti kama mtoto. Zamani nilikua ata saa 8 usiku naweza kutoka sahivi nawahi home saa 4 wasije funga geti. Nishalalamika ila ndio ivo, kila siku ahadi hewa.
5. Zingatia idadi ya wapangaji wenzako.
Kama unaweza, jitahidi wapangaji muwe wachache. Mkiwa kikosi kuna faida na challenge zake. Faida moja wapo unaweza pata mke hapo hapo. Ila hasara unakuta challenge hadi kwenye kamba za kuanika mfano weekend mkifua wengi kwa pamoja, makelele kila mtu akiweka singeli nk.
6. Uliza kuhusu utaratibu wa bili za maji taka, takataka/usafi na ulinzi shirikishi.
Hii michango haiwagi mikubwa ila nayo ni kero.
Kuna hii ya maji taka kuyatoa kwasababu shimo limejaa, michango ya wale wazoa takataka na ulinxi shirikishi.
7. Zingatia msimu wa mvua kunapitika? Mafuriko na nyumba kuvuja?
Kuna nyumba msimu wa mvua hazifikiki sio kwa gari wala kutembea, pia kuna uwezekano mvua ikinyesha nyumba ikawa inavuja.
8. Kelele/mishemishe za majirani.
Unaweza ukawa umeenda kucheki nyumba ukakuta pako cool, kumbe jioni kuna bar uchwara inapiga music usiku kucha.
Au ukakuta weekend au jioni ni nyumba za ibada wanatumia maspika ww unasema unapumzika wao wakakiwasha.
Edit:
9. Uchumi ukiruhusu tafuta chumba chenye choo ndani.
Kama uchumia na mazingira yanaruhusu, epuka nyumba zenye vyoo vya kushare. Kuna watu ustaarabu mdogo sana .
Kwa sasa nimeyatimba, ila kutaka kuforce kukaa Makongo Juu kumeniponza. Nikimaliza Kodi yangu naamsha.
Na karatasi zimeandikwa kiarabuUmesahau jambo moja.
Kuhakikisha huo mtaa hauna mambo ya kishirikina.. unaweza pata nyumba safi tu.. ila sasa hao wapangaji wenzio, majirani au Faza house ni washirikina wa kutupwa.
Kila siku unakutana na Booster (Hirizi) mlangoni na vifuu vya nazi.
Kuna madalali wengine sio.Madalali wanaweza kusifia nyumba ukasema nimepata nyumba nenda sasa
πππHakuna kitu kinatia hasira kama una jirani ambae kila siku anaingiza wanawake na wanawake wanatoa milio kwa sauti kubwa mida ya kulana. Pia milio ya kitanda, milio ya pwa pwa pwa pwa pwa pwa na milio mingine mbalimbali tena kila siku na ni usiku mzima.
Sura na tackle unaye?ungenivusha mie bichwa komwe niwe dem wako
Kukaa na mwenye nyumba njau.Nilikua kwenye nyumba ya kupanga, nzuri tu. Tatizo mwenye nyumba akapandisha bei kwa asilimia zaidi ya 25, bila taarifa mapema.
Nikaona sio shida, nikahama mkataba ulivyoisha. Sasa katika harakati za kutafuta nyumba, kuna vitu nimejifunza na vingine nimeshachelewa nimejikuta najuta tayari niko ndani.
Baadhi yake:
1. Usikae na mwenye nyumba.
Nilipokua zamani nilikua sikai na mwenye nyumba. Anakuja mara chache sana. Ila sahivi nimeyatimba.
Hafu mwenye nyumba ana shughuli kila siku, mazingira yapo ovyo wala sio masafi kwasababu yeye tu ana ndugu zaidi ya 8 na watoto, ukijumlisha mnashare uwanja, aisee.
2. Jitahidi msiwe mna-share bili/matumizi ya maji au umeme.
Iwe na wapangaji wenzako au mwenye nyumba, jitahidi sana ulipie bili mwenyewe.
Ikitokea umebanwa sana bdsi angalau muwe wawili mwisho. Sub-meater hazitasaidia kitu. Mtatoa kila mtu 20,000/= ya umeme kwa mwezi wewe unashinda kazini ukirudi unawasha feni tu, kuna sista duu anachemsha maharage kwa presha cooker.
Lazima mtagombana tu.
3. Hakikisha nyumba imekamilika ujenzi, asikudanganye lipia tu namalizia wiki ili kuweka madirisha sijui.
Unavyoenda kukagua eti nyumba haijakamilika choo au dirisha, akasema lipia namalizia mtego huo.
Ukishalipia tu imeisha. Utakuta jikoni hakuna sink, feni ya sebuleni haweki, na ata maji unaweza kuta akachelewa kuyaingiza.
Jitahidi uende nyumba iliokamilika kila kitu.
4. Kama una gari, angalia upatikanaji wa funguo za geti.
Otherwise utajikuta unawahi kurudi kuogopa kufungiwa geti kama mtoto. Zamani nilikua ata saa 8 usiku naweza kutoka sahivi nawahi home saa 4 wasije funga geti. Nishalalamika ila ndio ivo, kila siku ahadi hewa.
5. Zingatia idadi ya wapangaji wenzako.
Kama unaweza, jitahidi wapangaji muwe wachache. Mkiwa kikosi kuna faida na challenge zake. Faida moja wapo unaweza pata mke hapo hapo. Ila hasara unakuta challenge hadi kwenye kamba za kuanika mfano weekend mkifua wengi kwa pamoja, makelele kila mtu akiweka singeli nk.
6. Uliza kuhusu utaratibu wa bili za maji taka, takataka/usafi na ulinzi shirikishi.
Hii michango haiwagi mikubwa ila nayo ni kero.
Kuna hii ya maji taka kuyatoa kwasababu shimo limejaa, michango ya wale wazoa takataka na ulinxi shirikishi.
7. Zingatia msimu wa mvua kunapitika? Mafuriko na nyumba kuvuja?
Kuna nyumba msimu wa mvua hazifikiki sio kwa gari wala kutembea, pia kuna uwezekano mvua ikinyesha nyumba ikawa inavuja.
8. Kelele/mishemishe za majirani.
Unaweza ukawa umeenda kucheki nyumba ukakuta pako cool, kumbe jioni kuna bar uchwara inapiga music usiku kucha.
Au ukakuta weekend au jioni ni nyumba za ibada wanatumia maspika ww unasema unapumzika wao wakakiwasha.
Edit:
9. Uchumi ukiruhusu tafuta chumba chenye choo ndani.
Kama uchumia na mazingira yanaruhusu, epuka nyumba zenye vyoo vya kushare. Kuna watu ustaarabu mdogo sana .
Kwa sasa nimeyatimba, ila kutaka kuforce kukaa Makongo Juu kumeniponza. Nikimaliza Kodi yangu naamsha.