Kama unataka drama katika maisha yako date mwanaume ambae hanywi

Kama unataka drama katika maisha yako date mwanaume ambae hanywi

Kama unataka drama za ajabu ajabu na mitafaruko isiyoweza kuepukika basi date mwanaume ambae hanywi kilevi chochote au havuti. Utaona dunia chungu.

Wanajikutaga wajuaji alaf wengi wao ni narcissist na manipulator. Watakupelekesha utajuta kumfahamu. Wanapenda uch.i kama ndo chakula chao.

Wanaume wasiokunywa sio waaminifu hata kidogo. Inatakiwa uwe na kichwa ngumu kweli kweli kuolewa na mwanaume wa aina hii!!
Una kitu, usikilizwe
Sema weekdays zinatusaidia sana tuko kazi
Lakini nikikumbuka weekend ambazo nimeamua kuwa sober, na kukaa nyumbani, huwa naona kila kitu ndani ya nyumba hakiko sawa kuanzia pilika zake zisizoisha na makelele ya watoto, lazima tutakwaruzana.
Kweli ukiwa tipsy unaona kila kitu sawa
 
Afu wengi wao huwa wana gubu,vijikesi vya kijinga jinga wanapenda..ninao washkaji zangu wa hivyo..daily wanasolve vijikesi vya kipuuzi na wake zao.
 
Back
Top Bottom