Kama unataka kifo cha haraka jichanganye kwamba unajua mapenzi uoe "Feminist"

Mada hii inawahusu kina Maria Sarungi na Fatma Karume.
 
wanawake waliochelewa kuolewa 38 hadi 50 uwe makini nao sana kama unataka kuoa na uishi kwa amani.
Ukitaka amani ata kama una miaka 60 achana na mwanamke walio zaliwa miaka ya 70s na early 80s, nimeshuhudia wengi ni matatizo kwenye ndoa tena wengi ni ex-singo mazas ni wasumbufu bala kibri ndo usiseme kabisa.
 
Feminist kwanza ni wanawake wa aina gani hao au Wana tabia zipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…