By that time she may be ready she is already a career or a victim of the dangerous syndrome so a wise man no need to engage with the so called modern woman, labda kama umechoka kuishi feminist ni hatari kwa maishako na watoto wako......The only time a modern woman want real man to settle with is when she has been demaged beyong repair.
Don't pity her for these deceives, it's a trap.
Trh 15 pale nchini Libya kwa marehemu Gadaffi....tuombee...Haya mama thimbaaaa...mechi ye u ijayo lini wazee wa ubaya......
All the best....Trh 15 pale nchi Libya kwa marehemu Gadaffi....tuombee...
Thank u mtani...All the best....
Wee .je sio mtani...mie mwenzio mpenzi wa fabo sio timuThank u mtani...
Huna baya...nafuta kauli...kaka wa misambwanda...Wee .je sio mtani...mie mwenzio mpenzi wa fabo sio timu
Muwaka dike hao waarabu bwana maana huku azam kashatuangusha.Huna baya...nafuta kauli...kaka wa misambwanda...
Naamini itakua hivyo...sina shaka kabisa...Muwaka dike hao waarabu bwana maana huku azam kashatuangusha.
Kama utani vile lakini kiukweli wanaume wengi waliokuwa wanajiona magentlemen wanakimbia sana nyumba zao walizozijenga kwa kudunduliza na mafeminist. Kuna mwingine huyo jana ananiambia kamwe hatarudi kwenye nyumba yake kutokana navurugu za mkewe aliempeleka mpaka mahakamani na kutaka afungwe kwa kuwa tu alibutuliwa kutokana na mdomo wake mrefu kama sosoni.Kuna matatizo ya kujitakia na matatizo ya kutokea tu, ila kama unataka kuona kila aina ya rangi ya mwanamke, kaoe feminist activists.
Nilimshauri brother aahirishe ndoa na huyu mwanamke "femanist" hakunisikia lakini sasa ona amekimbia nyumba yake aliojenga kwa miaka 15, kwa mikopo ya kazini.
Kakimbia na kupanga chumba na sebule Mbezi mwisho, ukimuuliza kulikoni anaguna tu na kuondoka, ila taarifa zote tumezipate kutoka kwa rafiki yake mke wake duh.
Na feminist hupenda na kulenga sana ma-gettlemen wasio penda ugomvi funjo na aibu feminist yoyote hana huruma hata huumie kiasi gani ndo furaha yake, tena jingine kubwa feminist hawapendi watoto wao wa kuzaa hawana passion na watoto iko tayari kukuambia ondoka na mwanao, jitahidi kuepuka hao viumbe utaugua high pressure bure na ufe mapema.Kama utani vile lakini kiukweli wanaume wengi waliokuwa wanajiona magentlemen wanakimbia sana nyumba zao walizozijenga kwa kudunduliza na mafeminist. Kuna mwingine huyo jana ananiambia kamwe hatarudi kwenye nyumba yake kutokana navurugu za mkewe aliempeleka mpaka mahakamani na kutaka afungwe kwa kuwa tu alibutuliwa kutokana na mdomo wake mrefu kama sosoni.
Kuna unafuu kidogo kwa wale waliooa la saba B kutokea ndichindichi huko.
Kwa jinsi unavyoelezea mambo inaonekana ume experience vingi San.The only time a modern woman want real man to settle with is when she has been demaged beyong repair.
Don't pity her for these deceives, it's a trap.
Naona ana uzoefu mkubwa na hao wanao jiita modern woman kwa kweli amewaeleza vizuri sanaa.Kwa jinsi unavyoelezea mambo inaonekana ume experience vingi San.
Unapita mule mule
Ujinga ni kujenga nyumba Kwa mkopo .Kuna matatizo ya kujitakia na matatizo ya kutokea tu, ila kama unataka kuona kila aina ya rangi ya mwanamke, kaoe feminist activists.
Nilimshauri brother aahirishe ndoa na huyu mwanamke "femanist" hakunisikia lakini sasa ona amekimbia nyumba yake aliojenga kwa miaka 15, kwa mikopo ya kazini.
Kakimbia na kupanga chumba na sebule Mbezi mwisho, ukimuuliza kulikoni anaguna tu na kuondoka, ila taarifa zote tumezipate kutoka kwa rafiki yake mke wake duh.
Heeeeee na hamsemiDemu yoyote anaye comment JF sio wa kuoa,
Vingi humu ni vijizi, na vishirikina.
Mkuu utauliwa bure hiyo nyumba utaifaidi "never ever undermine awoman's mind" ma baharia wengi wana kufa kwa akili za kijinga kama hizo nyumba nini ni kwa uhai wako, feminist ni hateri usiwasogelee wa kiamua jambo hao viumbe hawana huruma na mwanaume.Ujinga ni kujenga nyumba Kwa mkopo .
Mbili unakimbiaje mwanamke na nyumba uliyoijenga Kwa mateso makali ya mkopo no never.
Ukiwa mwanaume u have to push hard to the limit
Feminist katika Moja na mbili 😆
Hamwezagi kujificha uzuri
Aiseeeeh!Demu yoyote anaye comment JF sio wa kuoa,
Vingi humu ni vijizi, na vishirikina.