Kama unataka kucheka tongoza wanaume. Wataongea kama kitoto cha miaka mitatu

Kama unataka kucheka tongoza wanaume. Wataongea kama kitoto cha miaka mitatu

Marytina

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
9,585
Reaction score
7,766
Home Arusha, Baba Mngoni, mama mchagga

Wanaume tupeni uzoefu mlipotongozwa live live bila tafsida na wanawake.

Personally huu wehu alinifundisha mwanachuo mwenzangu fulani tukiwa Kenya. Tukichoka kusoma ni muda wa kuanza kutongoza wanaume, wakaka, wababa wanajiona wajanja kuongea sana sasa jitie wenda wazimu jaribu kumtongoza seriously mkaka au mbaba uone wanavyojiuma, utajichekea mpaka uzimie.

Kesho kawatongoze wanaume ofisini au sehemu yako ya kazi uone wanavoongea kama mtoto wa miaka mitatu!

(HIKI NACHOANDIKA KWENYE MABANO SIO SEHEMU YA MJADALA : Ni mwiko kwa mwanamke uliye na ndoa kuchepuka, hamna sababu ya kuhalilsha hilo hata kama mmeo ni mwingi huko nje, shoga endelea...tukikwambia unatuona sisi washamba endelea).
 
Home Arusha, Baba Mngoni, mama mchagga

Wanaume tupeni uzoefu mlipotongozwa live live bila tafsida na wanawake.....

Personally huu wehu alinifundisha mwanachuo mwenzangu flani tukiwa Kenya..... tukichoka kusoma ni muda wa kuanza kutongoza wanaume..wakaka, wababa wanajiona wajanja kuongea sana sasa jitie wenda wazimu jaribu kumtongoza seriously mkaka au mbaba uone wanavyojiuma....utajichekea mpaka uzimie


Kesho kawatongoze wanaume ofisini au sehemu yako ya kazi uone wanavoongea kama mtoto wa miaka mitatu
Khaaaa nasubiriiii
 
Utomboy unaanzaga hvyo hvyo

Kuna binti alikuwa anavaa kiume afu anaenda disco anaanza kutongoza mademu wenzie akawa anafurah kuwaona wanavyotulia kumsikiliza

Nilienda chuo nikawa nasoma na madogo niliowazid miaka kama 10+ sasa kikatokea kibinti kidogo kiumri na kimwili kakanizoea sana kakawa kanakaa na mimi, siku moja kakaniambia kananipenda na brabra kadhaa hadi nilishangaa niliishia kukasapoti tu ila sikukamega
 
Utomboy unaanzaga hvyo hvyo

Kuna binti alikuwa anavaa kiume afu anaenda disco anaanza kutongoza mademu wenzie akawa anafurah kuwaona wanavyotulia kumsikiliza...
tulikuwa tukifanya kama namna yetu ya to relax, nilikuwa namkaba mwanaume sentensi baada ya sentensi mpaka unamwona mapigo ya moyo yanamwenda kasi.
 
tulikuwa tukifanya kama namna yetu ya to relax, nilikuwa namkaba mwanaume sentensi baada ya sentensi mpaka unamwona mapigo ya moyo yanamwenda kasi....
Mioyo ilikuwa inawaenda mbio Kwa sababu damu yote ishakimbilia chini🤣
Hao ukiwaambia nakupenda tu wanaloa, unaamsha upwiru🤣 Angalia usije kubakwa tu😂😂😂
 
Kutongoza ni namna ya kushawishi mtu kuhusu jambo fulani. Kwahiyo hata mwanamke kumtongoza mwanaume si kwa ubaya Kama wengi wanavyo dhani.

Ni jambo la kawaida tu kumweleza mtu hisia zako, na utegemee matokeo mawili ukubaliwe au ukataliwe. Ingawaje sio utamaduni wetu wengi kwa maisha ya watanzania, mwanamke kumtongoza mwanaume.

😳😳
 
Home Arusha, Baba Mngoni, mama mchagga

Wanaume tupeni uzoefu mlipotongozwa live live bila tafsida na wanawake.....

Personally huu wehu alinifundisha mwanachuo mwenzangu flani tukiwa Kenya..... tukichoka kusoma ni muda wa kuanza kutongoza wanaume..wakaka, wababa wanajiona wajanja kuongea sana sasa jitie wenda wazimu jaribu kumtongoza seriously mkaka au mbaba uone wanavyojiuma....utajichekea mpaka uzimie


Kesho kawatongoze wanaume ofisini au sehemu yako ya kazi uone wanavoongea kama mtoto wa miaka mitatu
Am victim of this sheets
 
Wanawake wa hivyo ni rahisi sana, mimi nikigundua anafanya huo mzaha namkomalia mpka aliwe, nikishakula namshiti na hapo yeye anakuwa mtumwa maana lazima ataanza kuhitaji zaidi.

Mwanamke ni mwanamke tu, labda huwa mnakutana na wanaume waoga.
 
Back
Top Bottom