Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Mwenyewe hata sijui, nasikiaga tu😂Mi najua ni sehemu ya mwili tu hayo mengine siyajui. 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyewe hata sijui, nasikiaga tu😂Mi najua ni sehemu ya mwili tu hayo mengine siyajui. 😂
Sikuliwa, sikujinasisha hata siku mmoja....wakaka wenyewe mnaanza kigugumizi na wenge najiondoa kabla akili haijakukaa vizuri....kesho ukiniona kama sikujuiHiiiii(in mwendazake voice)
Huo utundu ndiyo utakupa kuliwa sasa😎
Fanya ujue alafu unijulishe 😝😝Mwenyewe hata sijui, nasikiaga tu😂
🤣🤣🤣 How you wish!sio mtutongoze tu, mtupe pia....
na sisi mtufanyie hit and run, hatutolalamika😁
Hapana, me bado anda 18Fanya ujue alafu unijulishe 😝😝
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] dah umenikumbusha mbali sana , asante kwa kunitengenezea siku ya furaha .Home Arusha, Baba Mngoni, mama mchagga
Wanaume tupeni uzoefu mlipotongozwa live live bila tafsida na wanawake.....
Personally huu wehu alinifundisha mwanachuo mwenzangu flani tukiwa Kenya..... tukichoka kusoma ni muda wa kuanza kutongoza wanaume..wakaka, wababa wanajiona wajanja kuongea sana sasa jitie wenda wazimu jaribu kumtongoza seriously mkaka au mbaba uone wanavyojiuma....utajichekea mpaka uzimie
Kesho kawatongoze wanaume ofisini au sehemu yako ya kazi uone wanavoongea kama mtoto wa miaka mitatu
Under 18 Jf lakini sio mtaani 😂Hapana, me bado anda 18
Niwacheeeee🤣Under 18 Jf lakini sio mtaani 😂
Nyuma ya keyboard ni over 18
Huyo huyo mjanja siku hiyo hataamini kama kawa bwege kashindwa to turn the discussion on his benefits, atabakia kukupa ahadi, na excuse nyingi.....na sisi tulikuwa tunakomalia hapohapo yaan hata mbele ya darasa tena tunamtongoza akiwa na wenzake wanasikiaMwanaume ukifikia stage ya kutongozwa (KWA MZAHA) basi ww una shida, haupo sawa.
Wanawake wanajua kabisa fulani sio mtu wa kumfanyia masikhara, fulani ni ndezi ndezi tunaweza mchezea.
Ndio maana kuna watu wanawajua kabisa kwamba dakik mbili mbele kakuvua chupi. Hawaletagi mzaha.
Naomba unikabe sentensi baada ya sentensi tafadhali.tulikuwa tukifanya kama namna yetu ya to relax, nilikuwa namkaba mwanaume sentensi baada ya sentensi mpaka unamwona mapigo ya moyo yanamwenda kasi....
Mlikua na ujasiri sanaHuyo huyo mjanja siku hiyo hataamini kama kawa bwege kashindwa to turn the discussion on his benefits, atabakia kukupa ahadi, na excuse nyingi.....na sisi tulikuwa tunakomalia hapohapo yaan hata mbele ya darasa tena tunamtongoza akiwa na wenzake wanasikia
😂 aachwi mtu hapa tena wewe!!!Niwacheeeee🤣
😳😳😳😳😳😳Uzoefu wangu, sijawahi tongozwa na mtoto wa kike na nikamkatalia, mie ni maharage ya mbeya, sijui kukataa..
Nimnyime ya nini hili RUNGU KIPEPE litakija kuliwa na nyenyere tu
Yaan ningekuangalia right kwenye macho, tena nikiwa na mashoga zangu nakutongoza kwa sauti, bandua bandika....utachochora tuNaomba unikabe sentensi baada ya sentensi tafadhali.
Ila nyie wanaume wengi ni maharage ya Mbeya🤣😂 aachwi mtu hapa tena wewe!!!
Haya... em njoo PMHuyo huyo mjanja siku hiyo hataamini kama kawa bwege kashindwa to turn the discussion on his benefits, atabakia kukupa ahadi, na excuse nyingi.....na sisi tulikuwa tunakomalia hapohapo yaan hata mbele ya darasa tena tunamtongoza akiwa na wenzake wanasikia
We ulikuwa unatania, Yani unamtongoza mtu mbele ya watu? Ushawahi kuona wapi? Mbananishe kichochoroni au mualike getto, mpikie supu ya pweza, vaa kanga moja halafu anza kumtongoza🤣🤣🤣Huyo huyo mjanja siku hiyo hataamini kama kawa bwege kashindwa to turn the discussion on his benefits, atabakia kukupa ahadi, na excuse nyingi.....na sisi tulikuwa tunakomalia hapohapo yaan hata mbele ya darasa tena tunamtongoza akiwa na wenzake wanasikia