Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume unaachaje utelezi 😂Ila nyie wanaume wengi ni maharage ya Mbeya🤣
Basi tu tunawasitiri
Hahaha kwahiyo sasahivi huwezi kutongoza?Yaan ningekuangalia right kwenye macho, tena nikiwa na mashoga zangu nakutongoza kwa sauti, bandua bandika....utachochora tu
Mam k kwenye ubora wako[emoji23]Mioyo ilikuwa inawaenda mbio Kwa sababu damu yote ishakimbilia chini[emoji1787]
Hao ukiwaambia nakupenda tu wanaloa, unaamsha upwiru[emoji1787] Angalia usije kubakwa tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Yo mamsap, sap, nipoze roho mama, nimechanganyikiwa penzi lako la maana, mapenzi si ugomvi,mpaenzi si uhasama.😳😳😳😳😳😳
😂 uwanja ni wako karibuMimi Namtongoza Half american njoo nikupe mistari please
Ukileta huo utani kwangu nakufukuza coz huwa sio mtu wa mzaha mzahaHuyo huyo mjanja siku hiyo hataamini kama kawa bwege kashindwa to turn the discussion on his benefits, atabakia kukupa ahadi, na excuse nyingi.....na sisi tulikuwa tunakomalia hapohapo yaan hata mbele ya darasa tena tunamtongoza akiwa na wenzake wanasikia
ataliwa bila kupendaWe ulikuwa unatania, Yani unamtongoza mtu mbele ya watu? Ushawahi kuona wapi? Mbananishe kichochoroni au mualike getto, mpikie supu ya pweza, vaa kanga moja halafu anza kumtongoza🤣🤣🤣
Kaka Mkubwa🤦....Mam k kwenye ubora wako[emoji23]
Bado unaupiga mwingi sana.
Usisahau mrejeshoHaya... em njoo PM
No ni uamuzi na ukitaka kumwonea mtu basi lazima uhakikishe kuna siku alichemka kitoto....very fun yaan....nimeona nije na huyu mwenzangu ajaribu kukueleza anavyoumia juu yako...tumekaa wadada wawili tutakukaba mpaka ukituona baadae unajisikia aibuMlikua na ujasiri sana
Tena asijitusu, mie sinaga utani..Mfano unakutana na mtu Kama makaveli10 hapo hajui kukataa, ukimwambia nataka nikubusu anakujibu "come on babe" unafanyaje?
Mi Kwa kweli siwezi kucheza na Moto😂😂
Gari ishawaka hiyo[emoji23], alafu upo kwenye slopeKaka Mkubwa[emoji1751]....
Me sijawahi, hua wananifata wenyewe. Nisiowaelewa wanakula cha mbavuMwanaume unaachaje utelezi 😂
Mzidi kutusitiri tu hakuna namna. Nawewe umewahi tongoza?
Sitaki!Yo mamsap, sap, nipoze roho mama, nimechanganyikiwa penzi lako la maana, mapenzi si ugomvi,mpaenzi si uhasama.
Nigga J..
hahahaha wewe kiboko....mwenzako nilimvua koti nikamvalisha la kwangu akatetemeka........Tena asijitusu, mie sinaga utani..
Akishaniambia ananipenda sisubiri aniombe kunibusu, jibu langu namuomba denda kabisa, ili ajue nimekubali mazima.
Umenikumbusha wakati nipo undergraduate, kuna mrembo mmoja alianza mazoea na mm akanitongoza tulipofanya mapenzi tuu akaniacha, aisee siwez sahau ile kitu.Home Arusha, Baba Mngoni, mama mchagga
Wanaume tupeni uzoefu mlipotongozwa live live bila tafsida na wanawake.....
Personally huu wehu alinifundisha mwanachuo mwenzangu flani tukiwa Kenya..... tukichoka kusoma ni muda wa kuanza kutongoza wanaume..wakaka, wababa wanajiona wajanja kuongea sana sasa jitie wenda wazimu jaribu kumtongoza seriously mkaka au mbaba uone wanavyojiuma....utajichekea mpaka uzimie
Kesho kawatongoze wanaume ofisini au sehemu yako ya kazi uone wanavoongea kama mtoto wa miaka mitatu
Mlongo kyanii..!!!??Home Arusha, Baba Mngoni, mama mchagga
Wanaume tupeni uzoefu mlipotongozwa live live bila tafsida na wanawake.....
Personally huu wehu alinifundisha mwanachuo mwenzangu flani tukiwa Kenya..... tukichoka kusoma ni muda wa kuanza kutongoza wanaume..wakaka, wababa wanajiona wajanja kuongea sana sasa jitie wenda wazimu jaribu kumtongoza seriously mkaka au mbaba uone wanavyojiuma....utajichekea mpaka uzimie
Kesho kawatongoze wanaume ofisini au sehemu yako ya kazi uone wanavoongea kama mtoto wa miaka mitatu
Me sijawahi, hua wananifata wenyewe. Nisiowaelewa wanakula cha mbavuMwanaume unaachaje utelezi 😂
Mzidi kutusitiri tu hakuna namna. Nawewe umewahi tongoza?