Kama unataka kucheka tongoza wanaume. Wataongea kama kitoto cha miaka mitatu

Kama unataka kucheka tongoza wanaume. Wataongea kama kitoto cha miaka mitatu

Mioyo ilikuwa inawaenda mbio Kwa sababu damu yote ishakimbilia chini🤣
Hao ukiwaambia nakupenda tu wanaloa, unaamsha upwiru🤣 Angalia usije kubakwa tu😂😂😂
.....oooh ujue tayari nina girlfriend itakuwa vigumu....No no please i just wanna to be your side chick na nataka tuondoke muda huu tukapumzike.....oooh mim nina pepa next week.... I HAVE TO TENA KWA WIKI HIIHII...Naomba nikubusu.... hapa hapana tusogee kidogo au njoo jioni....NO NO I WANT IT KNOW AND RIGHT HERE...haahaaah
 
Nishawakataa wadada zaidi ya wawili waliokuja kunitongoza. Hii kitu kipo.

Sikuweka focus kubwa sana kwenye mahusiano, niliwaona kama wataharibu malengo yangu.
umekuwa muwazi....mkaka lazima akatae muda ule baadae after some days anaanza kukutafuta..plse sikuwa namaanisha naomba urudie yale maneno
 
.....oooh ujue tayari nina girlfriend itakuwa vigumu....No no please i just wanna to be your side chick na nataka tuondoke muda huu tukapumzike.....oooh mim nina pepa next week.... I HAVE TO TENA KWA WIKI HIIHII...Naomba nikubusu.... hapa hapana tusogee kidogo au njoo jioni....NO NO I WANT KNOW AND RIGHT HERE...haahaaah
Hiiiii(in mwendazake voice)
Huo utundu ndiyo utakupa kuliwa sasa😎
 
Utajuta kuwa handsome af mdhungu😅
Tulikuwa tunachagua randomly, ...we kaka naitwa marytina na nashindwa kujizuia kuwa mkweli juu yako....nakuonaga najizuia ila leo bora niseme (MKAKA ANAANZA KUTOA MACHO) , nakupenda na naitaji nikukumbatie hapahapa naikifaa twende off campus tukapumzike
 
.....oooh ujue tayari nina girlfriend itakuwa vigumu....No no please i just wanna to be your side chick na nataka tuondoke muda huu tukapumzike.....oooh mim nina pepa next week.... I HAVE TO TENA KWA WIKI HIIHII...Naomba nikubusu.... hapa hapana tusogee kidogo au njoo jioni....NO NO I WANT IT KNOW AND RIGHT HERE...haahaaah
Mfano unakutana na mtu Kama makaveli10 hapo hajui kukataa, ukimwambia nataka nikubusu anakujibu "come on babe" unafanyaje?
Mi Kwa kweli siwezi kucheza na Moto😂😂
 
Mwanaume ukifikia stage ya kutongozwa (KWA MZAHA) basi ww una shida, haupo sawa.

Wanawake wanajua kabisa fulani sio mtu wa kumfanyia masikhara, fulani ni ndezi ndezi tunaweza mchezea.

Ndio maana kuna watu wanawajua kabisa kwamba dakik mbili mbele kakuvua chupi. Hawaletagi mzaha.
 
Tulikuwa tunachagua randomly, ...we kaka naitwa marytina na nashindwa kujizuia kuwa mkweli juu yako....nakuonaga najizuia ila leo bora niseme (MKAKA ANAANZA KUTOA MACHO) , nakupenda na naitaji nikukumbatie hapahapa naikifaa twende off campus tukapumzike
Yani kwangu mimi hivyo n vitu vya kawaida ntakuhug mpaka ujute kunifuata
 
Back
Top Bottom