Kama unataka kucheka tongoza wanaume. Wataongea kama kitoto cha miaka mitatu

Kama unataka kucheka tongoza wanaume. Wataongea kama kitoto cha miaka mitatu

Home Arusha, Baba Mngoni, mama mchagga

Wanaume tupeni uzoefu mlipotongozwa live live bila tafsida na wanawake.....

Personally huu wehu alinifundisha mwanachuo mwenzangu flani tukiwa Kenya..... tukichoka kusoma ni muda wa kuanza kutongoza wanaume..wakaka, wababa wanajiona wajanja kuongea sana sasa jitie wenda wazimu jaribu kumtongoza seriously mkaka au mbaba uone wanavyojiuma....utajichekea mpaka uzimie


Kesho kawatongoze wanaume ofisini au sehemu yako ya kazi uone wanavoongea kama mtoto wa miaka mitatu
Ajichanganye mtu anitongoze aone!
 
Napenda kufanyiwa hit and run na mwanamke alafu aniharibie maisha , mimi sijui kukataa nikitongozwa kichwa rungu wangu anapenda kulowekwa sana na kuharibiwa maisha.

Njoeni mnitongoze mniharibie maisha , mni hit na m-run
 
Napenda kufanyiwa hit and run na mwanamke alafu aniharibie maisha , mimi sijui kukataa nikitongozwa kichwa rungu wangu anapenda kulowekwa sana na kuharibiwa maisha.

Njoeni mnitongoze mniharibie maisha , mni hit na m-run
 
Home Arusha, Baba Mngoni, mama mchagga

Wanaume tupeni uzoefu mlipotongozwa live live bila tafsida na wanawake.....

Personally huu wehu alinifundisha mwanachuo mwenzangu flani tukiwa Kenya..... tukichoka kusoma ni muda wa kuanza kutongoza wanaume..wakaka, wababa wanajiona wajanja kuongea sana sasa jitie wenda wazimu jaribu kumtongoza seriously mkaka au mbaba uone wanavyojiuma....utajichekea mpaka uzimie


Kesho kawatongoze wanaume ofisini au sehemu yako ya kazi uone wanavoongea kama mtoto wa miaka mitatu
Ungeweka basi mfano angalau mmoja. Mjibizano wa maneno, alivyokuwa anauma uma vidole nk..
 
Uzuri muda ule unakuwa mwanaume hijajiamini, ukisema I love you....nashika shati najifanya kukufungua vifungo na kusisitiza hapahapa hamna mtoto nataka touchings hata kama mbele ya darasa....wakaka wanaanza sasa baadae...ooh nina pepa wiki ijayoooo....tulikuwa tunacheka sana
Hahaha! Kumbe unachokifanya ni kuhakikisha hampo kwenye mazingira yanayoruhusu kazi!

Kwa mazingira hayo ntakupa mipapaso ya kuibia mpaka uniogope! Nitakuwa na tahadhari sana, lakini nitafanya namna niingize mkono nishike chuchu ya titi ili uwe mbali nami.😂

Dharau hujibiwa kwa vitendo,
 
Home Arusha, Baba Mngoni, mama mchagga

Wanaume tupeni uzoefu mlipotongozwa live live bila tafsida na wanawake.....

Personally huu wehu alinifundisha mwanachuo mwenzangu flani tukiwa Kenya..... tukichoka kusoma ni muda wa kuanza kutongoza wanaume..wakaka, wababa wanajiona wajanja kuongea sana sasa jitie wenda wazimu jaribu kumtongoza seriously mkaka au mbaba uone wanavyojiuma....utajichekea mpaka uzimie


Kesho kawatongoze wanaume ofisini au sehemu yako ya kazi uone wanavoongea kama mtoto wa miaka mitatu
Ajichanganye mtu aone.
 
Hahaha! Kumbe unachokifanya ni kuhakikisha hampo kwenye mazingira yanayoruhusu kazi!

Kwa mazingira hayo ntakupa mipapaso ya kuibia mpaka uniogope! Nitakuwa na tahadhari sana, lakini nitafanya namna niingize mkono nishike chuchu ya titi ili uwe mbali nami.😂

Dharau hujibiwa kwa vitendo,
Nakamwambiaje....karibu 99% ya wanaume walibabaika
 
Back
Top Bottom