Kama unataka kucheka tongoza wanaume. Wataongea kama kitoto cha miaka mitatu

Kama unataka kucheka tongoza wanaume. Wataongea kama kitoto cha miaka mitatu

Home Arusha, Baba Mngoni, mama mchagga

Wanaume tupeni uzoefu mlipotongozwa live live bila tafsida na wanawake.....

Personally huu wehu alinifundisha mwanachuo mwenzangu flani tukiwa Kenya..... tukichoka kusoma ni muda wa kuanza kutongoza wanaume, wakaka, wababa wanajiona wajanja kuongea sana sasa jitie wenda wazimu jaribu kumtongoza seriously mkaka au mbaba uone wanavyojiuma, utajichekea mpaka uzimie

Kesho kawatongoze wanaume ofisini au sehemu yako ya kazi uone wanavoongea kama mtoto wa miaka mitatu
Asante sana mama upewe uteuzi haraka
 
We ulikuwa unatania, Yani unamtongoza mtu mbele ya watu? Ushawahi kuona wapi? Mbananishe kichochoroni au mualike getto, mpikie supu ya pweza, vaa kanga moja halafu anza kumtongoza🤣🤣🤣
majaribu ya swala kwa simba hakuna cha zaidi ya mauaji
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119] sio mimi hebu nitongonzwe na pisi kali niionyeshe nini cha kufanya on the spot [emoji375][emoji375][emoji375]
hahah... utabakia kusema currently i a buss, check with me jioni....ikiwa jioni utasema nina kazi ya kufanya over the night nicheck baadae
 
Mazungumzo yalikuwa hivi
Her; una girlfriend
Me; No
Her; akanitongoza.............
Me; ningetamani Sana kuwa na girlfriend lakini sio wewe.
Her; ......... tangu siku hiyo hajawahi kuntafuta
alikuwa mjinga kuanza kukuliza kama una gfriend, angetakiwa akwambie nakutamani tena hapa sasa....sasa hivi usiogope watu wote ni watu wazima wanafanyaga
 
Back
Top Bottom