Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha Ww jamaa fala haswaUzoefu wangu, sijawahi tongozwa na mtoto wa kike na nikamkatalia, mie ni maharage ya mbeya, sijui kukataa..
Nimnyime ya nini hili RUNGU KIPEPE litakija kuliwa na nyenyere tu
Mtumie nauli ajeNo angekuja ningempa hug la joto angelipa
Aisee mie nimtumie hapana aisee mwenyewe hapa nilipo nimepauka kabisa yeye ndio anitumie nauli nije nikampe kampani kwa 3 days tu niende dar kumpokea sisterMtumie nauli aje
Hayuko serious hata kidogo 😂Kashayumba hayupo siriaz naona anataka tu kunichezea moyo wangu 😂
Badala anivutie ananivuta
🤣🤣🤣Hahaha Ww jamaa fala haswa
🤣🤣🤣🤣 Sipati picha yani.Mna sehemu yenu special[emoji23], itabidi nifanye juu chini niwakutanishe
tulikuwa tukifanya kama namna yetu ya to relax, nilikuwa namkaba mwanaume sentensi baada ya sentensi mpaka unamwona mapigo ya moyo yanamwenda kasi.
Nikuvue nikuache😳...mi nakupitia dogo🤒njoo univue boksa afu uniache
Watu wee weeehhh!!!Naanzaje kukuacha sasa!!
🤣🤣
Hilo niachie mimiNitafikia wapi??
Mwambie maana nafasi ni chache ila wapo wengi😅Hayuko serious hata kidogo 😂
Hili ni tusi la nguoni 🤣Ila nyie wanaume wengi ni maharage ya Mbeya🤣
Basi tu tunawasitiri
lakini uwe na mwonekano walau..si uje na uso wako kama unangalia kwenye manyunyu ya mvua ufikiri utaonewa hurumaHawakataagi,wanakupitia chap!
Hii inaitwa jasho la mtu lilipwe kabla halijakauka🤣Tena asijitusu, mie sinaga utani..
Akishaniambia ananipenda sisubiri aniombe kunibusu, jibu langu namuomba denda kabisa, ili ajue nimekubali mazima.
Unatafunwa kisawa sawa tu 🤣Kuna wanaume hawana aibu, tena ukute ndio alikua anakupigia hesabu then ukajileta mwenyewe kwenye 18 hawezi kukuacha salama
Kashapoteza nafasiMwambie maana nafasi ni chache ila wapo wengi😅
Kwa mfano mdada akinitongoza inategemea na mwonekano wake, kama sijavutiwa nae namkataa kijanja, nitakua namkwepa, asipoelewa ndo namwambia straight kuwa sipo interested. Siwezi sex na kila mwanamke ninaemwona Marytinaumekuwa muwazi....mkaka lazima akatae muda ule baadae after some days anaanza kukutafuta..plse sikuwa namaanisha naomba urudie yale maneno