Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Inauma hiyo πKashapoteza nafasi
Basi soonHilo niachie mimi
Ufanye chap maana nataka nisafiri kuja arushaBasi soon
Naona mambo ni bam bamUfanye chap maana nataka nisafiri kuja arusha
Ashindwe yeye mwenyeweNaona mambo ni bam bam
Asante sana mama upewe uteuzi harakaHome Arusha, Baba Mngoni, mama mchagga
Wanaume tupeni uzoefu mlipotongozwa live live bila tafsida na wanawake.....
Personally huu wehu alinifundisha mwanachuo mwenzangu flani tukiwa Kenya..... tukichoka kusoma ni muda wa kuanza kutongoza wanaume, wakaka, wababa wanajiona wajanja kuongea sana sasa jitie wenda wazimu jaribu kumtongoza seriously mkaka au mbaba uone wanavyojiuma, utajichekea mpaka uzimie
Kesho kawatongoze wanaume ofisini au sehemu yako ya kazi uone wanavoongea kama mtoto wa miaka mitatu
Mtuambie mapema tushone sareAshindwe yeye mwenyewe
Sare zanini au tunaanzisha timu?Mtuambie mapema tushone sare
We jizime tu dataπSare zanini au tunaanzisha timu?
Haina hJa mie nije huko wewe njoo halafu unipe offer ya dinner mwaya mie nitakununulia hizi bangili za ngozi za kiume nzuri nzuriUfanye chap maana nataka nisafiri kuja arusha
majaribu ya swala kwa simba hakuna cha zaidi ya mauajiWe ulikuwa unatania, Yani unamtongoza mtu mbele ya watu? Ushawahi kuona wapi? Mbananishe kichochoroni au mualike getto, mpikie supu ya pweza, vaa kanga moja halafu anza kumtongozaπ€£π€£π€£
Naandaa mistari tulia πππLeta sound hizo, kama nazuga hivi alafu nakubali fasta[emoji23]
πππ Mama K wa motoMamy K huwa ananifurahisha sana, wa moto sana. Vibe ipo juu, alafu muda wowote anabadilika[emoji23]
πππ wana kitu haoMama K na kyuti wana undugu, wapo na vibe la kutosha muda wote. Hakuna kukunja[emoji23][emoji23]
hahah... utabakia kusema currently i a buss, check with me jioni....ikiwa jioni utasema nina kazi ya kufanya over the night nicheck baadae[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119] sio mimi hebu nitongonzwe na pisi kali niionyeshe nini cha kufanya on the spot [emoji375][emoji375][emoji375]
alikuwa mjinga kuanza kukuliza kama una gfriend, angetakiwa akwambie nakutamani tena hapa sasa....sasa hivi usiogope watu wote ni watu wazima wanafanyagaMazungumzo yalikuwa hivi
Her; una girlfriend
Me; No
Her; akanitongoza.............
Me; ningetamani Sana kuwa na girlfriend lakini sio wewe.
Her; ......... tangu siku hiyo hajawahi kuntafuta