Kama unataka kucheka tongoza wanaume. Wataongea kama kitoto cha miaka mitatu

Kama unataka kucheka tongoza wanaume. Wataongea kama kitoto cha miaka mitatu

Home Arusha, Baba Mngoni, mama mchagga

Wanaume tupeni uzoefu mlipotongozwa live live bila tafsida na wanawake.....

Personally huu wehu alinifundisha mwanachuo mwenzangu flani tukiwa Kenya..... tukichoka kusoma ni muda wa kuanza kutongoza wanaume, wakaka, wababa wanajiona wajanja kuongea sana sasa jitie wenda wazimu jaribu kumtongoza seriously mkaka au mbaba uone wanavyojiuma, utajichekea mpaka uzimie

Kesho kawatongoze wanaume ofisini au sehemu yako ya kazi uone wanavoongea kama mtoto wa miaka mitatu

(HIKI NACHOANDIKA KWENYE MABANO SIO SEHEMU YA MJADALA : ni mwiko kwa mwanamke uliye na ndoa kuchepuka, hamna sababu ya kuhalilsha hilo hata kama mmeo ni mwingi huko njee, shoga endelea...tukikwambia unatuona sisi washamba endelea)
Manzi akikudondokea kuna picha la kutisha linakuja kichwani,either ana ukimwi au hana akili timamu
 
alikuwa mjinga kuanza kukuliza kama una gfriend, angetakiwa akwambie nakutamani tena hapa sasa....sasa hivi usiogope watu wote ni watu wazima wanafanyaga
Nisingekubali maana Kwanza ingenipa mashaka Sana hasa ningewaza kuhusu afya Yangu.
 
samples were selected randomly.....ila kuna wakaka tulikuwa tunawafungia kazi tunawabananisha mpaka hata kama ni jumanne saa tano atakwambia anawahi kanisani ibada wkt hamna kanisa lenye ibada muda huo
Hongereni kwa ujasiri

Ila wengine ndiyo hatukupata hiyo bahati ya kumwagiwa mistari na mademu
 
Uzoefu wangu, sijawahi tongozwa na mtoto wa kike na nikamkatalia, mie ni maharage ya mbeya, sijui kukataa..
Nimnyime ya nini hili RUNGU KIPEPE litakija kuliwa na nyenyere tu
Ni upumbavu kutongozwa na mwanamke halafu ukakataa.

Mwanamke akikutongoza unapaswa ukubal bila kumuonesha mashaka ya mtongozo wake.

Mengine yatajulikana baadae.
 
Kuna sehemu wanawake wanatongoza wnaume kama Bongo hasa Dar?. Ni kwamba utongozaji wao sio huu wa maneno. Wanatongoza kwa matendo. Au wewe unadhani kutongoza mpaka aseme kwa mdomo?
Tofautisha kutongoza kwa hisia na kushawishi wa ukahaba,
kushawishi mtu mwingine kwa matendo ili kupeana mahaba huu unaitwa ukahaba.
kwahiyo wanawake wa dar es salaam baadhi yao ni makahaba.

😳 😳
 
Back
Top Bottom