Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
AsanteDah!!! uwe na maisha marefu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AsanteDah!!! uwe na maisha marefu....
Sasa unaringa lazima nitafute namna kama hunitaki basi nitaita majeshi National Anthem njoo babe wangu Half american ananitisha nisipomtaka atanitesa tu ataniitia majeshi please njoo
Hutonukq weweIli ninuke ngozi useme nanuka kimbuzi mbuzi uniache 😅
Sana, namkubali[emoji23][emoji23][emoji23] Mama K wa moto
Muhimu ukubali, hayo ya pesa yanazungumzika[emoji23]Naandaa mistari tulia [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila pesa utanihonga wewe, tukubaliane kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan ni ajabu mwanaume kutongozwa na mwanamke??Utomboy unaanzaga hvyo hvyo
Kuna binti alikuwa anavaa kiume afu anaenda disco anaanza kutongoza mademu wenzie akawa anafurah kuwaona wanavyotulia kumsikiliza
Nilienda chuo nikawa nasoma na madogo niliowazid miaka kama 10+ sasa kikatokea kibinti kidogo kiumri na kimwili kakanizoea sana kakawa kanakaa na mimi, siku moja kakaniambia kananipenda na brabra kadhaa hadi nilishangaa niliishia kukasapoti tu ila sikukamega
😂😂😂KakaUzoefu wangu, sijawahi tongozwa na mtoto wa kike na nikamkatalia, mie ni maharage ya mbeya, sijui kukataa..
Nimnyime ya nini hili RUNGU KIPEPE litakija kuliwa na nyenyere tu
Kama wewe ni.mweupe usilogwe ukajitongozeshe kanda ya ziwa. siku hiyo hiyo unapata mimbaHome Arusha, Baba Mngoni, mama mchagga
Wanaume tupeni uzoefu mlipotongozwa live live bila tafsida na wanawake.....
Personally huu wehu alinifundisha mwanachuo mwenzangu flani tukiwa Kenya..... tukichoka kusoma ni muda wa kuanza kutongoza wanaume, wakaka, wababa wanajiona wajanja kuongea sana sasa jitie wenda wazimu jaribu kumtongoza seriously mkaka au mbaba uone wanavyojiuma, utajichekea mpaka uzimie
Kesho kawatongoze wanaume ofisini au sehemu yako ya kazi uone wanavoongea kama mtoto wa miaka mitatu
(HIKI NACHOANDIKA KWENYE MABANO SIO SEHEMU YA MJADALA : ni mwiko kwa mwanamke uliye na ndoa kuchepuka, hamna sababu ya kuhalilsha hilo hata kama mmeo ni mwingi huko njee, shoga endelea...tukikwambia unatuona sisi washamba endelea)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwanza nakuangalia unafananaje ukiwa pisi mbovu nakufukuza kabla hata ujaanza kushusha mistari
Naijua hiyoHutonukq wewe
Lenie unaona ? 😅Sasa unaringa lazima nitafute namna kama hunitaki basi nitaita majeshi National Anthem njoo babe wangu Half american ananitisha nisipomtaka atanitesa tu ataniitia majeshi please njoo
😂😂😂😂 ila watu umejuaje kama natembea?
HahahahahManzi akikudondokea kuna picha la kutisha linakuja kichwani,either ana ukimwi au hana akili timamu
Aunt nimekumissIla humu ndanii bhana, full heka heka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tulikuwa tukifanya tunapochoka kusoma....tunajichekea wakaka wanavyobabaikaHongereni kwa ujasiri
Ila wengine ndiyo hatukupata hiyo bahati ya kumwagiwa mistari na mademu
Watu wanachimba chimba sana dah eti navyotembea 😂
😂😂😂Nimecheka balaaWatu wanachimba chimba sana dah eti navyotembea 😂