Ruhusu Mpango wa Mungu
Senior Member
- May 15, 2023
- 137
- 220
Mimi hunipati ng'o nalindwa na damu ya Yesu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaaiiiii kaveli! 😂😂😂😂Uzoefu wangu, sijawahi tongozwa na mtoto wa kike na nikamkatalia, mie ni maharage ya mbeya, sijui kukataa..
Nimnyime ya nini hili RUNGU KIPEPE litakija kuliwa na nyenyere tu
To took the control.... 🤣tulikuwa tukienda direct, sentensi baada ya sentensi and very bold mpaka mkaka anashindwa to control the discussion, tulikuwa hatuachi nafasi ya mkaka to took the control
Utakuja kupigwa[emoji23][emoji23]Jamaa alini mind [emoji23][emoji23]
Alisema niache utoto jf sio Facebook [emoji1787]
Dah mambo ya hit and run siwezagi. Nikianzisha mahusiano hua na target mbali sana.Alikuwaje, kwani ni lazima ujenge kibanda,
Mimi dada yako mkubwa ujueKuwa na watoto ndio unanikwepa binti?
Hicho ndicho ulichoona,To took the control.... 🤣
Ulifanikiwa kuwapata wangapi!tulikuwa tukienda direct, sentensi baada ya sentensi and very bold mpaka mkaka anashindwa to control the discussion, tulikuwa hatuachi nafasi ya mkaka to took the control
Hamna mwenye huo ujasiri hata kama kichaa.....ukijifanya kufungua kifungo kwa shati lako anahema utadhani unamlisha sumuMlikuwa mnakutana na madomo zege bila shaka ama mazingira hayakuwa rafiki kwa faragha.
Unakutana na mtu kapombeka kiasi unamletea hizo pigo anakuinamisha chap au anapima SAE4O ama anakupa mate kwa spidi ya light.
Katika Kila 10 ni mmoja TU aliweza kumudu maongezi Tena wale humble guys , mabrazameni walichemka woteUlifanikiwa kuwapata wangapi!
🤣Shida wewe unawakabili kinyonge....unatakiwa umzidi na to control whatever he want to say....hata kama asubuhi atasema kuna mechi ya Arsenal anawahi
🤣lakini uwe na mwonekano walau..si uje na uso wako kama unangalia kwenye manyunyu ya mvua ufikiri utaonewa huruma
Yeaah.... nimeshangaa sana. Ulikuwa unakaa kutongoza wanaume kidato cha pili. Hukuvuka? Hicho kiingereza hata si cha aliyemaliza form 4.Hicho ndicho ulichoona,
Mwanaume atongozwe na mwanamke hlf ababaike au kujiuma uma, basi huyo siyo Mwanaume kamiliHome Arusha, Baba Mngoni, mama mchagga
Wanaume tupeni uzoefu mlipotongozwa live live bila tafsida na wanawake.....
Personally huu wehu alinifundisha mwanachuo mwenzangu flani tukiwa Kenya..... tukichoka kusoma ni muda wa kuanza kutongoza wanaume, wakaka, wababa wanajiona wajanja kuongea sana sasa jitie wenda wazimu jaribu kumtongoza seriously mkaka au mbaba uone wanavyojiuma, utajichekea mpaka uzimie
Kesho kawatongoze wanaume ofisini au sehemu yako ya kazi uone wanavoongea kama mtoto wa miaka mitatu
(HIKI NACHOANDIKA KWENYE MABANO SIO SEHEMU YA MJADALA : ni mwiko kwa mwanamke uliye na ndoa kuchepuka, hamna sababu ya kuhalilsha hilo hata kama mmeo ni mwingi huko njee, shoga endelea...tukikwambia unatuona sisi washamba endelea)
Hapo kwenye "brabra" unamaanisha nini muhishimiwa?Utomboy unaanzaga hvyo hvyo
Kuna binti alikuwa anavaa kiume afu anaenda disco anaanza kutongoza mademu wenzie akawa anafurah kuwaona wanavyotulia kumsikiliza
Nilienda chuo nikawa nasoma na madogo niliowazid miaka kama 10+ sasa kikatokea kibinti kidogo kiumri na kimwili kakanizoea sana kakawa kanakaa na mimi, siku moja kakaniambia kananipenda na brabra kadhaa hadi nilishangaa niliishia kukasapoti tu ila sikukamega
Huo mzaha kweli wanaangalia na watu wa kuwaletea ambao ni mandezi mimi sina tofauti na huyo mdau hapo juu tena muda wote natembea na kondomu ukijilengesha tu natomba na hua siangalii sura cha muhimu papuchi ina utelezi .Mwanaume ukifikia stage ya kutongozwa (KWA MZAHA) basi ww una shida, haupo sawa.
Wanawake wanajua kabisa fulani sio mtu wa kumfanyia masikhara, fulani ni ndezi ndezi tunaweza mchezea.
Ndio maana kuna watu wanawajua kabisa kwamba dakik mbili mbele kakuvua chupi. Hawaletagi mzaha.