Kama unataka kucheka tongoza wanaume. Wataongea kama kitoto cha miaka mitatu

Kama unataka kucheka tongoza wanaume. Wataongea kama kitoto cha miaka mitatu

Home Arusha, Baba Mngoni, mama mchagga

Wanaume tupeni uzoefu mlipotongozwa live live bila tafsida na wanawake.

Personally huu wehu alinifundisha mwanachuo mwenzangu fulani tukiwa Kenya. Tukichoka kusoma ni muda wa kuanza kutongoza wanaume, wakaka, wababa wanajiona wajanja kuongea sana sasa jitie wenda wazimu jaribu kumtongoza seriously mkaka au mbaba uone wanavyojiuma, utajichekea mpaka uzimie.

Kesho kawatongoze wanaume ofisini au sehemu yako ya kazi uone wanavoongea kama mtoto wa miaka mitatu!

(HIKI NACHOANDIKA KWENYE MABANO SIO SEHEMU YA MJADALA : Ni mwiko kwa mwanamke uliye na ndoa kuchepuka, hamna sababu ya kuhalilsha hilo hata kama mmeo ni mwingi huko nje, shoga endelea...tukikwambia unatuona sisi washamba endelea).
Ni kwanini mwanamke anakasirika akiambiwa yeye ndiye alimtongoza man wake? Kuna.1, ali nitongoza sikufanya kosa, tukiwa kwenye mahusiano siku moja, nikamwambia wewe ndiye ulinianza, alikasirika, ikabidi nimwambie nilikuwa nakupenda ukaniwahi.[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Home Arusha, Baba Mngoni, mama mchagga

Wanaume tupeni uzoefu mlipotongozwa live live bila tafsida na wanawake.

Personally huu wehu alinifundisha mwanachuo mwenzangu fulani tukiwa Kenya. Tukichoka kusoma ni muda wa kuanza kutongoza wanaume, wakaka, wababa wanajiona wajanja kuongea sana sasa jitie wenda wazimu jaribu kumtongoza seriously mkaka au mbaba uone wanavyojiuma, utajichekea mpaka uzimie.

Kesho kawatongoze wanaume ofisini au sehemu yako ya kazi uone wanavoongea kama mtoto wa miaka mitatu!

(HIKI NACHOANDIKA KWENYE MABANO SIO SEHEMU YA MJADALA : Ni mwiko kwa mwanamke uliye na ndoa kuchepuka, hamna sababu ya kuhalilsha hilo hata kama mmeo ni mwingi huko nje, shoga endelea...tukikwambia unatuona sisi washamba endelea).
Njoo PM unitongoze
 
Umenikumbusha wakati nipo undergraduate, kuna mrembo mmoja alianza mazoea na mm akanitongoza tulipofanya mapenzi tuu akaniacha, aisee siwez sahau ile kitu.
Alinifanyia ile HIT AND RUN, sikuamini macho yangu.
Haukumgegeda vzr ndomaana. Ukipata chance kwa mara ya kwanza, unatakiwa upige kweli kweli.
 
Uzuri muda ule unakuwa mwanaume hijajiamini, ukisema I love you....nashika shati najifanya kukufungua vifungo na kusisitiza hapahapa hamna mtoto nataka touchings hata kama mbele ya darasa....wakaka wanaanza sasa baadae...ooh nina pepa wiki ijayoooo....tulikuwa tunacheka sana
Sasa ustaarabu gani huo, hayo ni mambo ya kufanya mbele ya darasa kweli? Kwa binadamu mstaarabu lazima aone aibu.
 
Huyo hakuwa na tabia kama zako nafikiri, ww unafanya hivo kwa sababu unapenda ile hali ya kuwaona wanaume wanaweweseka na wanajing'atang'ata...yule demu bhana alikuwa nahic ni sex addict, alikuwa anapenda sana kufanya mapenzi na alikuwa hapendagi kugandana
Sasa hao si ndo wazuri, maana unajipatia mbususu karibu kila siku.
 
Nakamwambiaje....karibu 99% ya wanaume walibabaika
Walibabaika kwasababu uliwatongoza kwenye mazingira ya watu wengi, sasa mfate mtu eneo la mafichoni uone. Au njoo unitongoze mimi uone.
 
Wanawake waojaribu kuwatongoza wanaume unaweza kuta ni dumejike yaani shemales, so wanaume nikuwa makini nao sana, alafu haileti utamu au harara mwanamke kumtongoza mwanaume sbb kwa mila zetu utaitwa au utaonekana malaya uliyepitiliza mstari mwekundu. Mwanaume kama hajapenda ujue uume hausimami so hadi mwanaume akupende akutongoze avutiwe na mwanamke ndio uume husimama kwa nguvu zote then mapenzi yanafanyika, na sio kinyume chake.
Aliyekwambia tupo emotional kama wanawake ni nani, eti ili ubo.o usimame mpaka tumpende mwanamke huyo mwanamke, hiyo siyo kweli, tunadindisha popote pale na kupiga pipe ile ile.
 
Huyo huyo mjanja siku hiyo hataamini kama kawa bwege kashindwa to turn the discussion on his benefits, atabakia kukupa ahadi, na excuse nyingi.....na sisi tulikuwa tunakomalia hapohapo yaan hata mbele ya darasa tena tunamtongoza akiwa na wenzake wanasikia
Ha ha haa dada yangu mbona utundu wenu huo haujatoa uhalisia?

Unajua nyie mlivyokua kua mkiwa surprise mmadhani ndo udhaifu wenyewe huo,hapana.

Iko hivi,mtu yoyote hata kitoto Cha darasa la Tatu kikikuvamia ghafla na kukuomba sh 200 TU,hata kama una milion Tano mfukoni za kwako na unaenda nazo bar kutumia,ni lazima utapagawa na kujikanyaga kwa sababu hujui huyo mtoto katumwa,ana shida kweli ama ni mtego.
Huwezi kutoa TU ghafla Hadi ujiridhishe.
Kitu chochote Cha ghafla ndio hua na majibu ya tabia hizo ulizoziona kwa hao wakaka.
Hebu fikiria akili yake ilikua off kabisa juu Yako then ukaanza kumtiongoza kwa kawaida hata kua na majibu tayaritayri kitu amabcho wewe ndio unaita kujikanyaga.
Any way wewe ndio ilikua furaha Yako kuona mwanaume kakosa majibu ya ghafla.
 
Uzuri muda ule unakuwa mwanaume hijajiamini, ukisema I love you....nashika shati najifanya kukufungua vifungo na kusisitiza hapahapa hamna mtoto nataka touchings hata kama mbele ya darasa....wakaka wanaanza sasa baadae...ooh nina pepa wiki ijayoooo....tulikuwa tunacheka sana
Hapo hakuna uhalisia ndio maana wanaume walikua wanakua puzzled.
Kwa sababu hata wanawake hatuwatongozi kwa mtindo huo kwamba nataka touching hata mbele ya darasa.
Hata huyo Mpenzi wako TU huwezi mfanyia hivyo.sembuse mtu uliemshitukiza?
 
Back
Top Bottom