Kama unataka kufanikiwa kifedha kupitia mama ako basi usisubiri hadi upate hela nyingi. Fanya kama haya

Kama unataka kufanikiwa kifedha kupitia mama ako basi usisubiri hadi upate hela nyingi. Fanya kama haya

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Muweke kwenye fungu moja na watoto wako na familia yako. Yani kama ni hela ya matumizi basi uwe unampigia hesabu ya kila siku.

Kama unapanga kuwa una mpa lets say elfu 20 kila siku au lets say elfu kumi kila siku basi uwe unampa kila siku au kama unampa kwa wiki basi umpe kwa wiki.

Siku ukipiga buubaah umpe pia. Yani mtreat kama unavyo watreat watoto wako.

Zamani nilikuwaga kama wewe ndio maana nilikuwaga sina hela kama wewe.

Nilikuwa nasubiri mpaka nipate hela nyingi eti ndio ninampa maza hela.

Ila tangu nilipogundua siri hii na kuanza kuifanyia kazi nimekuwa increased kiuchumi kwa namna ya ajabu sana.

Nimemuweka mama angu kwenye kundi moja na watoto wangu.

Kwa mfano Mimi Kama baba huwaga siwezi kabisa Kula chakula cha kuanzia elfu 7 nje ya nyumbani kwangu bila watoto wangu nao Kula chakula chenye hadhi kama hiyo.

Kama nitapita pale AL URUBA HOTEL kariakoo ( kwa wasomali) halafu nikala supu ya mbuzi( elfu 7) kama nyumbani siku hiyo watakuwa hawajapika walau nyama ya ngombe basi siku hiyo lazima nitapita SHUU BUTCHER au nitaenda MBASHA MEAT SUPLY pale VINGUNGUTI nichukue nyama ya mbuzi kilo 2 niipeleke nyumbani watoto wangu wale. Kwa sababu nitajiona kama vile nimewafanyia dhulma watoto wangu. Sasa hivi nipo hivi hadi kama mama angu. Na tangu nimeanza kuwa hivyo, Mungu ame ongeza rizki yangu kwa viwango vya juu sana.



Hata wewe bado hujachelewa.

Anza leo:

1. Give money to ur mother.


2. Give money to your mother.

3. Give money to your mother.

THANK ME LATER
 
Kuna wamama wengine ukiwadekeza hivyo ndo inakuwa lazima tena atataka umuongezee akiamini unazo nyingi, shukuruni mna wamama waelewa
Hapa napo.... licha ya nia nzuri ya kutoa ila mambo yanaweza geuka tofauti matokeo yake iwe vurugu kichwani..

Unless awe haombi mpaka apewe, tatizo akishajenga mindset pale huwa napata anaweza jaribu hata kama haipo!.
 
Hapa napo.... licha ya nia nzuri ya kutoa ila mambo yanaweza geuka tofauti matokeo yake iwe vurugu kichwani..

Unless awe haombi mpaka apewe, tatizo akishajenga mindset pale huwa napata anaweza jaribu hata kama haipo!.
Na ukikwama ndo unaanza kutolewa mifano wa ndg zako au ukimpa aanze kukusifia na kukupendelea kwa kuwabagua ndg zako wasiompa hii nayo mbaya
 
Zote hizi ni alama za poverty. Kama wazazi wangekuwa wanajiweza wasingekuwa tegemezi kwako. Jitahidi sana wasiwe tegemezi kwako. Wawezeshe (Kama hawakujiwezesha wenyewe), wawe independent. Migogoro mingi kwenye familia zetu zinasababishwa na hii sense of entitlements. Wazazi wakijimudu, trust me, hata heshima ndani ya familia zetu itakuwepo.

Kesho ukifumba macho watu wanaanza kugombania mali za marehemu. Hata watoto wako na mkeo wanakuwa kwenye wakati mgumu. Siku zote jitahidi kusaidia. Ila usijione kwamba wewe ni indispensable kwamba bila wewe wazazi wako au wengine hawawezi kuishi.

Kuwasaidia wazazi ni vIzuri. Lakini kuepuka migogoro, tofautisha maisha ya familia yako na ndugu/wazazi.
 
Muweke kwenye fungu moja na watoto wako na familia yako. Yani kama ni hela ya matumizi basi uwe unampigia hesabu ya kila siku.

Kama unapanga kuwa una mpa lets say elfu 20 kila siku au lets say elfu kumi kila siku basi uwe unampa kila siku au kama unampa kwa wiki basi umpe kwa wiki.


Siku ukipiga buubaah umpe pia. Yani mtreat kama unavyo watreat watoto wako.

Zamani nilikuwaga kama wewe ndio maana nilikuwaga sina hela kama wewe.

Nilikuwa nasubiri mpaka nipate hela nyingi eti ndio ninampa maza hela.

Ila tangu nilipogundua siri hii na kuanza kuifanyia kazi nimekuwa increased kiuchumi kwa namna ya ajabu sana.

Nimemuweka mama angu kwenye kundi moja na watoto wangu.

Kwa mfano Mimi Kama baba huwaga siwezi kabisa Kula chakula cha kuanzia elfu 7 nje ya nyumbani kwangu bila watoto wangu nao Kula chakula chenye hadhi kama hiyo.

Kama nitapita pale AL URUBA HOTEL kariakoo ( kwa wasomali) halafu nikala supu ya mbuzi( elfu 7) kama nyumbani siku hiyo watakuwa hawajapika walau nyama ya ngombe basi siku hiyo lazima nitapita SHUU BUTCHER au nitaenda MBASHA MEAT SUPLY pale VINGUNGUTI nichukue nyama ya mbuzi kilo 2 niipeleke nyumbani watoto wangu wale. Kwa sababu nitajiona kama vile nimewafanyia dhulma watoto wangu. Sasa hivi nipo hivi hadi kama mama angu. Na tangu nimeanza kuwa hivyo, Mungu ame ongeza rizki yangu kwa viwango vya juu sana.



Hata wewe bado hujachelewa.

Anza leo:

1. Give money to ur mother.


2. Give money to your mother.

3. Give money to your mother.

THANK ME LATER
Mimi nikiwapa omba omba mjini hasa wazee wakike Huwa napata wateja sana Sasa nimejaribu kupima kama ni kweli momegubfus kusaidia wale watu Kuna baraka
 
Zote hizi ni alama za poverty. Kama wazazi wangekuwa wanajiweza wasingekuwa tegemezi kwako. Jitahidi sana wasiwe tegemezi kwako. Wawezeshe (Kama hawakujiwezesha wenyewe), wawe independent. Migogoro mingi kwenye familia zetu zinasababishwa na hii sense of entitlements. Wazazi wakijimudu, trust me, hata heshima ndani ya familia zetu itakuwepo.

Kesho ukifumba macho watu wanaanza kugombania mali za marehemu. Hata watoto wako na mkeo wanakuwa kwenye wakati mgumu. Siku zote jitahidi kusaidia. Ila usijione kwamba wewe ni indispensable kwamba bila wewe wazazi wako au wengine hawawezi kuishi.

Kuwasaidia wazazi ni vIzuri. Lakini kuepuka migogoro, tofautisha maisha ya familia yako na ndugu/wazazi.
Una hoja
 
Muweke kwenye fungu moja na watoto wako na familia yako. Yani kama ni hela ya matumizi basi uwe unampigia hesabu ya kila siku.

Kama unapanga kuwa una mpa lets say elfu 20 kila siku au lets say elfu kumi kila siku basi uwe unampa kila siku au kama unampa kwa wiki basi umpe kwa wiki.


Siku ukipiga buubaah umpe pia. Yani mtreat kama unavyo watreat watoto wako.

Zamani nilikuwaga kama wewe ndio maana nilikuwaga sina hela kama wewe.

Nilikuwa nasubiri mpaka nipate hela nyingi eti ndio ninampa maza hela.

Ila tangu nilipogundua siri hii na kuanza kuifanyia kazi nimekuwa increased kiuchumi kwa namna ya ajabu sana.

Nimemuweka mama angu kwenye kundi moja na watoto wangu.

Kwa mfano Mimi Kama baba huwaga siwezi kabisa Kula chakula cha kuanzia elfu 7 nje ya nyumbani kwangu bila watoto wangu nao Kula chakula chenye hadhi kama hiyo.

Kama nitapita pale AL URUBA HOTEL kariakoo ( kwa wasomali) halafu nikala supu ya mbuzi( elfu 7) kama nyumbani siku hiyo watakuwa hawajapika walau nyama ya ngombe basi siku hiyo lazima nitapita SHUU BUTCHER au nitaenda MBASHA MEAT SUPLY pale VINGUNGUTI nichukue nyama ya mbuzi kilo 2 niipeleke nyumbani watoto wangu wale. Kwa sababu nitajiona kama vile nimewafanyia dhulma watoto wangu. Sasa hivi nipo hivi hadi kama mama angu. Na tangu nimeanza kuwa hivyo, Mungu ame ongeza rizki yangu kwa viwango vya juu sana.



Hata wewe bado hujachelewa.

Anza leo:

1. Give money to ur mother.


2. Give money to your mother.

3. Give money to your mother.

THANK ME LATER
✅👏👏👏🙏
 
Hii ni imani kama imani zingine

Hakuna uhusiano wa mtu kufanikiwa na kusaidia au kutoa pesa kwa Mama au Baba.

Uwepo wa Watu wanaosaidia wazazi wao akiwemo Mama na bado maisha yao ni magumu kila idara ni moja ya sababu ya kupinga hoja yako.

Wapo pia waliofanikiwa kifedha na wanamaisha ya maana na karibu kila idara wapo vizuri na hawasaidii wazazi akiwemo Mama
 
Hii ni imani kama imani zingine

Hakuna uhusiano wa mtu kufanikiwa na kusaidia au kutoa pesa kwa Mama au Baba.

Uwepo wa Watu wanaosaidia wazazi wao akiwemo Mama na bado maisha yao ni magumu kila idara ni moja ya sababu ya kupinga hoja yako.

Wapo pia waliofanikiwa kifedha na wanamaisha ya maana na karibu kila idara wapo vizuri na hawasaidii wazazi akiwemo Mama
Kusaidia ni kusaidia tuu kwa moyo,Sasa baba umembagua ndio baraka?!
 
Back
Top Bottom