Kama unataka kufanikiwa kifedha kupitia mama ako basi usisubiri hadi upate hela nyingi. Fanya kama haya

Kama unataka kufanikiwa kifedha kupitia mama ako basi usisubiri hadi upate hela nyingi. Fanya kama haya

Kuna wamama wengine ukiwadekeza hivyo ndo inakuwa lazima tena atataka umuongezee akiamini unazo nyingi, shukuruni mna wamama waelewa
Kumbuka na wewe ulipokuwa chini ya uangalizi wake ulikua na madai mengi na mengine yakiwa nje ya uwezo wake lakini alijitahidi kukutimizia
 
Back
Top Bottom