Kama unataka kufanikiwa kifedha kupitia mama ako basi usisubiri hadi upate hela nyingi. Fanya kama haya

Kama unataka kufanikiwa kifedha kupitia mama ako basi usisubiri hadi upate hela nyingi. Fanya kama haya

Unataka kila mtu awaze. Kama. Wew tatizo watanzania Dini na huruma Hisia mnaweka mbele kuliko mfumo wa utafutaji


Yani upoteze muda uko shule kwenyw course za ajabu afu uje useme ufanikiwe kwa kumtuza mama

Na sio kila business inalipa Kama unavo fikiria unaweza usitunze mtu na ukafanikiwa uchumi ni mipango sio Hisia. Acheni kudanganya vijana wanapata mitaji wanaishia kuhudumia wazaz ambao ujana wao wametumia. Kula pom e na. Kuzaliana. Kumsaidia mzaz ni pale. Unapo weza. Sio lazm kias hicho Kama baraka ukimsaidia hata maskin au homeless utabarikiwa
 
What about your Father? Je, Baba yako hastahili kupata matunzo ila mama yako peke yake?

Wewe ulizaliwa na mama tu bila Baba?
Kama Baba yako alishakufa, well, that is another story, lakini, ushauri wako haukupaswa kuegemea upande mmoja tu wa mzazi wakati kuna watu bado wana wazazi wote wawili.

Kosa kubwa sana mnalolifanya watu wengi ni kudhani au kuamini kuwa baraka zinatoka kwa mama. Hili ni kosa kubwa.

Katika familia mwenye mamlaka ya kutoa baraka kwa watoto wake ni Baba na siyo mama.

Baba ndiye aliyepewa mamlaka ya kumtawala mama na familia nzima, hivyo hata kwenye suala la kutoa baraka ni Baba ndiye aliye mwenye mamlaka hiyo.

Dini zote duniani zina vielelezo hivyo. Baba ndiye mwenye kutoa baraka kwa watoto wake. Sisemi mama adharaulike, hapana, bali ni vyema sana kuwaheshimu wazazi na kuwajali wote kwa usawa pasipo kuwabagua. Hata hivyo ukweli unabakia pale pale, Baba ndiye kichwa cha familia na yeye ndiye mwenye kutoa baraka kwa watoto wake.

MUNGU ndiye aliyempa Baba mamlaka hayo. Sasa Shetani kama kawaida yake kaja na udanganyifu wake hasa hasa kizazi hichi kwa kuwaaminisha watu kuwa mama ana mamlaka kuliko Baba au mama ni muhimu kuliko Baba.

Ni udanganyifu wa Shetani ndiyo maana hata kwenye media utasikia kelele nyingi sana kuwa "hakuna kama mama". Hii imefikia hatua sasa hivi mama anatukuzwa zaidi na wanadamu kuzidi hata MUNGU. Mtu anaposema "hakuna kama mama" ana maanisha hata MUNGU yupo chini ya mama. Huu ni wendawazimu! Kusema, hakuna kama mama, ni kufuru kubwa!!

Wazungu wamefikia hatua ya kuwatukuza mama zao kiasi wanakufuru kwa kusema "God is a woman"!!

Angalia jinsi kanisa katoliki linavyomtukuza bikira maria kuliko MUNGU. This is nonsense!!

Hii ni mbinu ya Shetani na imefanikiwa sana. Shetani anao uwezo wa kuwapa mali na pesa wale anaowapenda. Shetani amewadanganya kuwa baraka zinatoka kwa mama na ninyi mnawatukuza mama zenu na kuwadharau baba zenu halafu mnaona mnafanikiwa kumbe hayo mafanikio mnayopata hayatoki kwa MUNGU bali yanatoka kwa Shetani.

Katika Dini yangu nimefundishwa kuwa Shetani ni mjanja na mwerevu sana! Shetani ana mbinu nyingi na maarifa ya kuwadanganya Wanadamu.

Ushauri wangu wa mwisho kwa kila Mwanaume. Wewe mwanaume ndiyo KICHWA cha familia yako. Baraka za watoto wako zipo mikononi mwako na siyo mikononi mwa mke wako. Wewe mwanaume ndiye mwenye mamlaka halali ya kuwabariki au kuwalaani watoto wako.

Wewe mwanaume hakikisha katika maisha yako umewabariki watoto wako kwa kuwawekea mikono kichwani huku ukiwanenea maneno ya baraka uzitakazo wazipate. Zingatia hilo. Kamwe usikae kinyonge ukidhania baraka zitatoka kwa mke wako. Huo ni udanganyifu wa Shetani.

Mwenye masikio na asikie.
huu ndio ukweli
 
What about your Father? Je, Baba yako hastahili kupata matunzo ila mama yako peke yake?

Wewe ulizaliwa na mama tu bila Baba?
Kama Baba yako alishakufa, well, that is another story, lakini, ushauri wako haukupaswa kuegemea upande mmoja tu wa mzazi wakati kuna watu bado wana wazazi wote wawili.

Kosa kubwa sana mnalolifanya watu wengi ni kudhani au kuamini kuwa baraka zinatoka kwa mama. Hili ni kosa kubwa.

Katika familia mwenye mamlaka ya kutoa baraka kwa watoto wake ni Baba na siyo mama.

Baba ndiye aliyepewa mamlaka ya kumtawala mama na familia nzima, hivyo hata kwenye suala la kutoa baraka ni Baba ndiye aliye mwenye mamlaka hiyo.

Dini zote duniani zina vielelezo hivyo. Baba ndiye mwenye kutoa baraka kwa watoto wake. Sisemi mama adharaulike, hapana, bali ni vyema sana kuwaheshimu wazazi na kuwajali wote kwa usawa pasipo kuwabagua. Hata hivyo ukweli unabakia pale pale, Baba ndiye kichwa cha familia na yeye ndiye mwenye kutoa baraka kwa watoto wake.

MUNGU ndiye aliyempa Baba mamlaka hayo. Sasa Shetani kama kawaida yake kaja na udanganyifu wake hasa hasa kizazi hichi kwa kuwaaminisha watu kuwa mama ana mamlaka kuliko Baba au mama ni muhimu kuliko Baba.

Ni udanganyifu wa Shetani ndiyo maana hata kwenye media utasikia kelele nyingi sana kuwa "hakuna kama mama". Hii imefikia hatua sasa hivi mama anatukuzwa zaidi na wanadamu kuzidi hata MUNGU. Mtu anaposema "hakuna kama mama" ana maanisha hata MUNGU yupo chini ya mama. Huu ni wendawazimu! Kusema, hakuna kama mama, ni kufuru kubwa!!

Wazungu wamefikia hatua ya kuwatukuza mama zao kiasi wanakufuru kwa kusema "God is a woman"!!

Angalia jinsi kanisa katoliki linavyomtukuza bikira maria kuliko MUNGU. This is nonsense!!

Hii ni mbinu ya Shetani na imefanikiwa sana. Shetani anao uwezo wa kuwapa mali na pesa wale anaowapenda. Shetani amewadanganya kuwa baraka zinatoka kwa mama na ninyi mnawatukuza mama zenu na kuwadharau baba zenu halafu mnaona mnafanikiwa kumbe hayo mafanikio mnayopata hayatoki kwa MUNGU bali yanatoka kwa Shetani.

Katika Dini yangu nimefundishwa kuwa Shetani ni mjanja na mwerevu sana! Shetani ana mbinu nyingi na maarifa ya kuwadanganya Wanadamu.

Ushauri wangu wa mwisho kwa kila Mwanaume. Wewe mwanaume ndiyo KICHWA cha familia yako. Baraka za watoto wako zipo mikononi mwako na siyo mikononi mwa mke wako. Wewe mwanaume ndiye mwenye mamlaka halali ya kuwabariki au kuwalaani watoto wako.

Wewe mwanaume hakikisha katika maisha yako umewabariki watoto wako kwa kuwawekea mikono kichwani huku ukiwanenea maneno ya baraka uzitakazo wazipate. Zingatia hilo. Kamwe usikae kinyonge ukidhania baraka zitatoka kwa mke wako. Huo ni udanganyifu wa Shetani.

Mwenye masikio na asikie.
my father passed away in 2015.

Kama baba ako bado yupo hai unapaswa kumtunza pia kama unavyo mtunza mama ako.
 
Unataka kila mtu awaze. Kama. Wew tatizo watanzania Dini na huruma Hisia mnaweka mbele kuliko mfumo wa utafutaji


Yani upoteze muda uko shule kwenyw course za ajabu afu uje useme ufanikiwe kwa kumtuza mama

Na sio kila business inalipa Kama unavo fikiria unaweza usitunze mtu na ukafanikiwa uchumi ni mipango sio Hisia. Acheni kudanganya vijana wanapata mitaji wanaishia kuhudumia wazaz ambao ujana wao wametumia. Kula pom e na. Kuzaliana. Kumsaidia mzaz ni pale. Unapo weza. Sio lazm kias hicho Kama baraka ukimsaidia hata maskin au homeless utabarikiwa
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
 
Vipi akina mama wachawi nako ukitoa unafanikiwa?


Kwenye money flow - unatoa sehemu ambayo upo motivated haijalishi umempa tajiri wala masikini.


Ndo maana MTU ambaye anatoa kuwapa ombaomba wa barabarani anaweza kupata energy ndogo kufananisha na MTU anayetoa pesa kumsaidia MTU kujikwamua na hali ngumu ya maisha .


MTU Kama ni mchawi hana tatizo unampa ikiwa upo motivated na uchawi hauna energy ya Ku block ways zako za riziki.
 
Katika kutoa anavyosema mtoa mada yupo sahihi


Mtoa mada anavyotoa au kuhudumia familia yake ni sehemu ya responsibility yake Ila anapomsaidia na kumuhudumia mama yake hiyo maana yake anakuwa none benefit so Energy inayotoka kwa mama yake inakuwa kubwa Sana kuipita ile ya familia yake.


So the guy is smart and brilliant
 
Usilolijua ni km usiku wa giza, endelea kutabiri
Mamaza wa mjini wengi wana tabia za namna hiyo... Mama mzazi chochote anachokipata kwa mwanae anafurahi kweli! Kweli! Ukiona otherwise ujue huyo bi.mkubwa wa mjini.

Nna mfano wa bi.mkubwa fulani mwanae alikuwa amefanikiwa sana kimaisha, yuko serikalini ana wadhifa mzito! Sasa bi.mkubwa kidogo na yeye age ilienda, ana wajukuu kibao! Bi.mkubwa hata akipewa buku mbilli dua kama zote kwa mwanae, full mikumbatio na baraka za mate juu! Akisikia mwanae analalamikiwa anakuja juu kumtetea mwanae "Sasa kama hana hela afanye nini?!" na si kweli kwamba hana hela.

Je! Ingekuwa hawa Mamaza wa dunia ya leo na anajua mpaka wadhifa wa mwanae si ni balaa! Kuna Dada nafanya nae kazi, Mama'ake huwa anakuja ofisini. Ukimtazama yule bi.mkubwa tu utajua hapa zamani ilikuwa balaa! Wa mjini kinoma!!
 
Mamaza wa mjini wengi wana tabia za namna hiyo... Mama mzazi chochote anachokipata kwa mwanae anafurahi kweli! Kweli! Ukiona otherwise ujue huyo bi.mkubwa wa mjini.

Nna mfano wa bi.mkubwa fulani mwanae alikuwa amefanikiwa sana kimaisha, yuko serikalini ana wadhifa mzito! Sasa bi.mkubwa kidogo na yeye age ilienda, ana wajukuu kibao! Bi.mkubwa hata akipewa buku mbilli dua kama zote kwa mwanae, full mikumbatio na baraka za mate juu! Akisikia mwanae analalamikiwa anakuja juu kumtetea mwanae "Sasa kama hana hela afanye nini?!" na si kweli kwamba hana hela.

Je! Ingekuwa hawa Mamaza wa dunia ya leo na anajua mpaka wadhifa wa mwanae si ni balaa! Kuna Dada nafanya nae kazi, Mama'ake huwa anakuja ofisini. Ukimtazama yule bi.mkubwa tu utajua hapa zamani ilikuwa balaa! Wa mjini kinoma!!
Ok
 
Muweke kwenye fungu moja na watoto wako na familia yako. Yani kama ni hela ya matumizi basi uwe unampigia hesabu ya kila siku.

Kama unapanga kuwa una mpa lets say elfu 20 kila siku au lets say elfu kumi kila siku basi uwe unampa kila siku au kama unampa kwa wiki basi umpe kwa wiki.

Siku ukipiga buubaah umpe pia. Yani mtreat kama unavyo watreat watoto wako.

Zamani nilikuwaga kama wewe ndio maana nilikuwaga sina hela kama wewe.

Nilikuwa nasubiri mpaka nipate hela nyingi eti ndio ninampa maza hela.

Ila tangu nilipogundua siri hii na kuanza kuifanyia kazi nimekuwa increased kiuchumi kwa namna ya ajabu sana.

Nimemuweka mama angu kwenye kundi moja na watoto wangu.

Kwa mfano Mimi Kama baba huwaga siwezi kabisa Kula chakula cha kuanzia elfu 7 nje ya nyumbani kwangu bila watoto wangu nao Kula chakula chenye hadhi kama hiyo.

Kama nitapita pale AL URUBA HOTEL kariakoo ( kwa wasomali) halafu nikala supu ya mbuzi( elfu 7) kama nyumbani siku hiyo watakuwa hawajapika walau nyama ya ngombe basi siku hiyo lazima nitapita SHUU BUTCHER au nitaenda MBASHA MEAT SUPLY pale VINGUNGUTI nichukue nyama ya mbuzi kilo 2 niipeleke nyumbani watoto wangu wale. Kwa sababu nitajiona kama vile nimewafanyia dhulma watoto wangu. Sasa hivi nipo hivi hadi kama mama angu. Na tangu nimeanza kuwa hivyo, Mungu ame ongeza rizki yangu kwa viwango vya juu sana.



Hata wewe bado hujachelewa.

Anza leo:

1. Give money to ur mother.


2. Give money to your mother.

3. Give money to your mother.

THANK ME LATER
How if she is no more
 
my father passed away in 2015.

Kama baba ako bado yupo hai unapaswa kumtunza pia kama unavyo mtunza mama ako.
That is another case, your Father passed away, sorry for that. But, the fact remains that blessings comes from the Father.

Sasa hivi wewe ndiye Baba kwa watoto wako. Utajisikiaje kama watakubagua na kumjali zaidi mama yao (Mke wako) kuliko wewe?

My brother, fahamu kwamba unayo mamlaka kamili ya kuimiliki na kuibariki familia yako. Wewe ndiwe KICHWA cha familia yako. Don't forget that.
 
Muweke kwenye fungu moja na watoto wako na familia yako. Yani kama ni hela ya matumizi basi uwe unampigia hesabu ya kila siku.

Kama unapanga kuwa una mpa lets say elfu 20 kila siku au lets say elfu kumi kila siku basi uwe unampa kila siku au kama unampa kwa wiki basi umpe kwa wiki.

Siku ukipiga buubaah umpe pia. Yani mtreat kama unavyo watreat watoto wako.

Zamani nilikuwaga kama wewe ndio maana nilikuwaga sina hela kama wewe.

Nilikuwa nasubiri mpaka nipate hela nyingi eti ndio ninampa maza hela.

Ila tangu nilipogundua siri hii na kuanza kuifanyia kazi nimekuwa increased kiuchumi kwa namna ya ajabu sana.

Nimemuweka mama angu kwenye kundi moja na watoto wangu.

Kwa mfano Mimi Kama baba huwaga siwezi kabisa Kula chakula cha kuanzia elfu 7 nje ya nyumbani kwangu bila watoto wangu nao Kula chakula chenye hadhi kama hiyo.

Kama nitapita pale AL URUBA HOTEL kariakoo ( kwa wasomali) halafu nikala supu ya mbuzi( elfu 7) kama nyumbani siku hiyo watakuwa hawajapika walau nyama ya ngombe basi siku hiyo lazima nitapita SHUU BUTCHER au nitaenda MBASHA MEAT SUPLY pale VINGUNGUTI nichukue nyama ya mbuzi kilo 2 niipeleke nyumbani watoto wangu wale. Kwa sababu nitajiona kama vile nimewafanyia dhulma watoto wangu. Sasa hivi nipo hivi hadi kama mama angu. Na tangu nimeanza kuwa hivyo, Mungu ame ongeza rizki yangu kwa viwango vya juu sana.



Hata wewe bado hujachelewa.

Anza leo:

1. Give money to ur mother.


2. Give money to your mother.

3. Give money to your mother.

THANK ME LATER
Kwanini Mama tu....hiv why baba zetu tunawatenga sana, inaweza ikawa tunawapa lakini mpaka waombe. Hii haijakaa sawa kabisa ukizingatia hii ni kama cycle there is a day kuna mtu nae atakua baba na hii itamkuta pia. Wote ni wazazi wanastahili haki sawa kuna mmoja alikuzaa na akakupa mapenzi ya kimama na kuna mmoja pengine hakuoneakana uwepo wake sana lakin alikua anahakikisha upendo unaoona mama yako alikupa basi yeye ndo alikua anaupigania na kuhakikisha vyakula na malazi na nguo havikosekani...lets show equal love tusiwatenge na kama tunavyowapigania kina mama basi tuwapiganie na kina baba. Ukiangalia kiundani familia nyingi kina baba wanawahi kufariki na wengi hufariki cause kubwa ni depression kina mama wanajaza sumu nyingi kwa watoto ili wawaone baba zao hawajali kumbe sivyo...majukumu yanafanya baadhi ya kina baba kuwa mbali na familia, mwengine atauliza je wale walevi na malaya ...nadhani watakao hoji hili sana ni vijana wadogo ambaio bado hawajayajua maisha ila jibu tosha la kuwapa ni ngojeni mkue mkiyaona maisha mtayajua majibu ya maswali hayo.
 
Kwanini Mama tu....hiv why baba zetu tunawatenga sana, inaweza ikawa tunawapa lakini mpaka waombe. Hii haijakaa sawa kabisa ukizingatia hii ni kama cycle there is a day kuna mtu nae atakua baba na hii itamkuta pia. Wote ni wazazi wanastahili haki sawa kuna mmoja alikuzaa na akakupa mapenzi ya kimama na kuna mmoja pengine hakuoneakana uwepo wake sana lakin alikua anahakikisha upendo unaoona mama yako alikupa basi yeye ndo alikua anaupigania na kuhakikisha vyakula na malazi na nguo havikosekani...lets show equal love tusiwatenge na kama tunavyowapigania kina mama basi tuwapiganie na kina baba. Ukiangalia kiundani familia nyingi kina baba wanawahi kufariki na wengi hufariki cause kubwa ni depression kina mama wanajaza sumu nyingi kwa watoto ili wawaone baba zao hawajali kumbe sivyo...majukumu yanafanya baadhi ya kina baba kuwa mbali na familia, mwengine atauliza je wale walevi na malaya ...nadhani watakao hoji hili sana ni vijana wadogo ambaio bado hawajayajua maisha ila jibu tosha la kuwapa ni ngojeni mkue mkiyaona maisha mtayajua majibu ya maswali hayo.
Hijaelewa content yangu. Nimesema " kama unataka kufanikiwa kifedha kupitia mama ako" Msisitizo upo kwenye kupitia mama ako.

Unataka nimtaje baba kwenye Uzi wa mama?

What's up?
 
Kwa sisi ambao wamama zetu wanajiweza adi wamepitiliza unatushauri nn?
 
Back
Top Bottom