Hana kama anayo ni yakuiba kwa urefu wa kamba!Mwigulu mchemba hana hiyo hela?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana kama anayo ni yakuiba kwa urefu wa kamba!Mwigulu mchemba hana hiyo hela?
Uvuvi unategemea ndugu kama unazo boti uvuvi ni deal sanaFanya kazi au biashara ambayo unaweza kukuinua, kuna kazi ukifanya automatically umejiandaa kuwa masikini.
Kazi zenye asili za kimasikini ni zile kazi ngumu ngumu zenye malipo madogo.
HUWEZI kujenga au kuwa na maisha ya maana kwa kazi ya Bodaboda nk
Fanya biashara ambayo histologically zimewatoa watu wengin. Haijalishi una mtaji ndogo au vipi.
Kazi zenye asili ya umasikini.
Ualimu
Upolisi
Bodaboda
Kumwaga zege
Uvuvi
Hapa nazungumzia local participants
Si washakalilishwa hao kua mwalimu hana hela, askari hana hela wenye hela ni wafanyabishara na wafanyakazi wa tra, ndicho kitu kipo akilini mwao.Mtu anaweza akawa polisi akajibana akapata mtaji akafanya biashara akapiga hela...traffic police wanapiga sana hela barabarani humo
Nani anajifananisha na Mo Dewji?Mo dewj ni big seller wa Bodaboda boxer
Unataka kujifananisha nae wew Bodaboda wa chanika mwisho
✅✅👏Mkuu uzi kama huu ukiutoa useme pia wewe ni nani na unamiliki biashara gani kwa tanzania na umeajiri watanzania wangapi, ili kuepusha kuchukua ushauri wa kitajiri kwa maskini kama sisi.
Hatari sanaMtoa mada Huna akili narudia tena kusema Huna akili.. usiiishi kwa mazoea mimi ni boda boda na nina uhakika kabisa hunipati kipato changu cha mwezi wala maisha ninayoishi bro sijui dada.. usikalili pesa ninayoingiza kwa siku ni 50000 kwa wiki ni 350000 na kwa mwezi ni 10400000 we unalipwa bei gan kwa mwezi tuanzie hapo
Yeye amesema ni mkurugenzi wa FAOMkuu uzi kama huu ukiutoa useme pia wewe ni nani na unamiliki biashara gani kwa tanzania na umeajiri watanzania wangapi, ili kuepusha kuchukua ushauri wa kitajiri kwa maskini kama sisi.
Hahaaa, Mungu akusameheFanya kazi au biashara ambayo unaweza kukuinua, kuna kazi ukifanya automatically umejiandaa kuwa masikini.
Kazi zenye asili za kimasikini ni zile kazi ngumu ngumu zenye malipo madogo.
HUWEZI kujenga au kuwa na maisha ya maana kwa kazi ya Bodaboda nk
Fanya biashara ambayo histologically zimewatoa watu wengin. Haijalishi una mtaji ndogo au vipi.
Kazi zenye asili ya umasikini.
Ualimu
Upolisi
Bodaboda
Kumwaga zege
Uvuvi
Hapa nazungumzia local participants