- Thread starter
- #21
Y
YEahDunia ipo Kasi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YEahDunia ipo Kasi sana
Haya mganga mie namtaka huyo wa kwenye picha awe mke wangu kipenzi na wewe ndio uwe mshenga wangu niambie tunafanyaje kwa hilo?.HABARI NJEMA KWA WANAUME NA WANAWAKE WANAIHITAJI MKE AU MME
Kama wewe ni manadada unatamani kuolewa lakini hakuna WANAUME walio serious kukutongoza ili wakuoe Sasa tatizo Hilo linatatuliwa Kwa HARAKA sana Kwa kutumia dawa unakuwa umepata mchumba WA uhakika WA kukuoa na SIO kuchezewa Kwa kutumia dawa una uwezo WA kuolewa na umtakae ndani ya SIKU TATU Cha kufanya njoo inbox hata kama uliambiwa eti una mkosi unampata mwanaume umtakae ndani ya SIKU TATU tu hata kama alikuwa anakuzingua Kwa kutumia dawa YETU hataweza kukuzingua
Kwa WANAUME kama UNATAKA kuoa madem Wana tabia ya kuchagua WANAUME wenye pesa lakini Kwa kutumia dawa unamtongoza SIKU MOJA tu na hata ukitaka kumuoa SIKU HIYO hiyo hata iwe pisi Kali ukitumia dawa yangu hakuna kuzinguliwa hata kama ni mtoto WA geti Kali unamuoa kama kawaida
NB:UNATAKIWA KUMCHUMBIA MTU AMBAE UNA NIA YA DHATI YA KUMUOA NA SIO KUMCHEZEA
Yeyote MWENYE Nia ya DHATI njoo inbox
Utakoma nimesha agiza dawa[emoji1787][emoji1787]Aisee [emoji849][emoji849]
Hahahaha 😂😂..Utakoma nimesha agiza dawa[emoji1787][emoji1787]
We cheka tuHahahaha 😂😂..
Em tusubiri tuone kama dawa zitafanya kaziWe cheka tu
Ndugu zako wote umewaozesha tayari?H
TA hivyo hujalazimishwa kama hutaki KAA kimya
EeNdugu zako wote umewaozesha tayari?
Mkuu ni rahisi tuHaya mganga mie namtaka huyo wa kwenye picha awe mke wangu kipenzi na wewe ndio uwe mshenga wangu niambie tunafanyaje kwa hilo?.
Nipe huo urahisi tuweze kumleta huyu kwenye himaya yangu.Mkuu ni rahisi tu