Kama unataka kuondoka kwenye umasikini, waepuke masikini kama ukoma

Ambacho hujajua,
Matajiri mitaji wote wakubwa, mitaji yao Ni watu maskini.

Kuanzia wafanyakazi, bidhaa zao Hadi Bei wanazouza sokoni Ni kwa ajili ya watu maskini
Ndiyo maana hata mleta mada anauza kitabu cha wewe/sisi jinsi ya kutajirika
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yeye anazijua tabia za kuwa tajiri, lakini anatuuzia kitabu. Kwanini asigawe bure ili na sisi tuzijue hizo tabia za kitajiri
 
Eti anatafuta pesa kwa kuwafundisha watu jinsi ya kupata pesa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nikiwaambia muache kuuliza maswali ya kijinga mnakimbilia kupaniki.
Nimekupa maelekezo hapo, bado unalazimisha kile unataka wewe.
Ndiyo maana nasema pata pesa na maswali ya kijinga kama haya hutasumbua nayo watu.
Kila la kheri.
Mwanzoni nilikuona una maana kumbe hakuna kitu, swali rahisi sana lakini wewe unapanik, jibu Utajiri ni nini kwa mtazamo wako au ili mnunuzi wa kitabu ajue huo utajiri ni waaina gani
 
Uko na akili sana kuliko mleta mada
 
Nimesoma vizuri lakini nikaona mwenye biashara ya kitabu yeye mwenyew ajani shauri bado sana tajiri sio dalali
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umegundua kuwa ni dalali?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Achana naye, mleta mada ni kama dalali hakuna anachojua, umemuuliza maswali ya msingi kaishia kupaniki tu
 
Mkuu, mbona una mawazo mgando sana.
Unashindwa kuelewa mambo madogo hivi huo utajiri utauweza kweli?
Tumeshajadiliana na kumaliza lako, lakini bado una nyongo tu.
Get a life mkuu, utakufa siku siyo zako.
And by the way, Get Money, #NothingElseMatters
Hauko serious, wewe nakuona kama masikini ambaye unauza kitabu cha jinsi ya kuwa tajiri wakati wewe ni masikini. Pole mkuu
 
Mkuu una busara sana, pia unajua ku control hisia/hasira zako.
 
Mwanzoni nilikuona una maana kumbe hakuna kitu, swali rahisi sana lakini wewe unapanik, jibu Utajiri ni nini kwa mtazamo wako au ili mnunuzi wa kitabu ajue huo utajiri ni waaina gani
Hahhaha.
 
Mwanzoni nilikuona una maana kumbe hakuna kitu, swali rahisi sana lakini wewe unapanik, jibu Utajiri ni nini kwa mtazamo wako au ili mnunuzi wa kitabu ajue huo utajiri ni waaina gani
Mkuu,
Maswali ya kijinga yanapaswa kujibiwa kijinga.
Na kama majibu yanakera, tatizo siyo majibu, tatizo ni huna pesa.
Hivyo badala ya kukomaza mshipa na majibu ya mtandaoni, invest your energy in making some money.
You will thank me later.
 
Hauko serious, wewe nakuona kama masikini ambaye unauza kitabu cha jinsi ya kuwa tajiri wakati wewe ni masikini. Pole mkuu
Mkuu,
Am just having fun selling my book to get money.
And am pretty aware people have deep rooted negative bias on anything about money.
Tell people you are poor and they will sympathise with you.
Tell them you want to get super rich and they will mock you.
So in this thread, i will go over the head and bust any kind of nonsense and BS people will reply here about money.
So take this as hardcore tough love and get angry to make money.
Because, it's all that matters.
Get your money right and am sure you will have no time posting nonsense in these kinds of thread.
That's what i wish i can help you here.
If you can’t get that then you are beyond help.
And if you are happy without money theb good for you.
I didn’t come to your house and force you to read this thread.
Hope you get it.
All the best.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…