Nachojua ktk Ulimwengu wa Roho. Wachawi wa mtaa au kijiji usiku Saa sita kamili wachawi baada ya kupigwa filimbi ya kichawi ukitana kijiweni kwao then kabla awajanza kuwanga huwa wanazunguka njia au barabara zote za kijiji au mtaa huku wakitamka na kuwanenea laana ya umasikini, magonjwa,na dhiki za KILA aina wakaazi wote wa mtaa au kijiji husika, wakimaliza ndipo uruka kuwanga na wakirudi ufanya hivyo hivyo kupiga laana kwa watu waliolala then ndipo utawanyika. So mtu yeyeto kuanzia aflajiri atakaekanyaga au tumia barabara hizo zile laaana zitamvaa kama hana nguvu nyingine ya ziada au usaidizi mwingine, thus unakuta mtaa au kijiji wote level moja ya maisha ya dhiki kama umasikini ni wote, nyumba chakavu wote, Hakuna anaefaulu iwe elimu, maisha wote level sawa, unakuta mtaa mzima hakuna hata mwenye kumudu kuweka taa nje.
Ukiona ufanikiwi mtaa fulani au eneo fulani kama huna nguvu ya ziada au usaidizi, ushauri hama. Laana ndio uleta tabia na tabia ndio uzaa umasikini. Na umasikini ndio chanzo cha mambo yote maovu.