Makirita Amani
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 1,915
- 3,422
- Thread starter
- #41
Nikiwaambia muache kuuliza maswali ya kijinga mnakimbilia kupaniki.Mkuu samahani sana kwa sababu nadhani kwamba kitabu chako kinaelezea tabia za kitajiri ambazo ndio issue kubwa inayofanya kitabu hiko kiwe sokoni.
Na wala kitabu hiko chenye page 200 zote sidhani kama page hizo zinazungumzia nini maana ya utajiri,bali ninatumai kwamba maana ya neno utajiri hasa kwako haina ulazima wa kununua kitabu ndipo utuelekeze.
Kwa sababu maelezo yako katika uzi huu yakikadiriwa yanafika page hata moja.
So kama umeweza kuandika maelezo anayochukua page moja vipi ishindikane kuelezea maana ya utajiri ambayo huwenda isifike hata nusu page ikiwa utaamua kufupisha maana ?
Nimekupa maelekezo hapo, bado unalazimisha kile unataka wewe.
Ndiyo maana nasema pata pesa na maswali ya kijinga kama haya hutasumbua nayo watu.
Kila la kheri.