B Burkinabe JF-Expert Member Joined Feb 12, 2023 Posts 2,354 Reaction score 4,024 Nov 14, 2023 Thread starter #21 Dustin Rhys said: Ukisema ni lazima Obama aliingia state house na utajiri kiasi gani? Au measure yako ya utajiri ni ipi mkuu? Click to expand... Kwa hiyo Barack Obama ni maskini rafiki yangu?!
Dustin Rhys said: Ukisema ni lazima Obama aliingia state house na utajiri kiasi gani? Au measure yako ya utajiri ni ipi mkuu? Click to expand... Kwa hiyo Barack Obama ni maskini rafiki yangu?!
B Burkinabe JF-Expert Member Joined Feb 12, 2023 Posts 2,354 Reaction score 4,024 Nov 14, 2023 Thread starter #22 fidel castro wapili said: Malengo yao nikutafuta utajiri huku kungine wameukosa, wakaona kwenye siasa utajiri wataupata! Click to expand... Exactly
fidel castro wapili said: Malengo yao nikutafuta utajiri huku kungine wameukosa, wakaona kwenye siasa utajiri wataupata! Click to expand... Exactly
GreenLight JF-Expert Member Joined Oct 27, 2023 Posts 300 Reaction score 542 Nov 14, 2023 #23 Tate Mkuu said: Nchi masikini ni 🚮 kabisa. I wish ningezaliwa kwa jamaa yangu putin. Click to expand... Bahati mbaya umezaliwa hapa hapa kwa wasambaa
Tate Mkuu said: Nchi masikini ni 🚮 kabisa. I wish ningezaliwa kwa jamaa yangu putin. Click to expand... Bahati mbaya umezaliwa hapa hapa kwa wasambaa
B Burkinabe JF-Expert Member Joined Feb 12, 2023 Posts 2,354 Reaction score 4,024 Nov 14, 2023 Thread starter #24 Poor Brain said: Kuwa mwanasiasa nayo inakughalimu kiasi fulani... Click to expand... Yeah, ni kweli Mkuu. Huku kwetu huwa tunapigiwa magoti kabisa na wanasiasa wakati wa kampeni
Poor Brain said: Kuwa mwanasiasa nayo inakughalimu kiasi fulani... Click to expand... Yeah, ni kweli Mkuu. Huku kwetu huwa tunapigiwa magoti kabisa na wanasiasa wakati wa kampeni
B Burkinabe JF-Expert Member Joined Feb 12, 2023 Posts 2,354 Reaction score 4,024 Nov 14, 2023 Thread starter #25 balimar said: Null hypothesis hii Wenyeviti wa vijiji na vitongoji wa Chama na mabalozi wao wana hali mbaya tu kiuchumi Hii tunaita fallacy generalazation Click to expand... Sawa, lakini ujue kwamba utajiri ni "relative term", so hao wenyeviti wa vijiji na mitaa unaowaona maskini, huko waliko wao ndo matajiri!
balimar said: Null hypothesis hii Wenyeviti wa vijiji na vitongoji wa Chama na mabalozi wao wana hali mbaya tu kiuchumi Hii tunaita fallacy generalazation Click to expand... Sawa, lakini ujue kwamba utajiri ni "relative term", so hao wenyeviti wa vijiji na mitaa unaowaona maskini, huko waliko wao ndo matajiri!