Kama unataka wife material kwa maana ya tendo la ndoa basi oweni Wazaramo mtafurahia ndoa zenu

Kama unataka wife material kwa maana ya tendo la ndoa basi oweni Wazaramo mtafurahia ndoa zenu

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Licha ya kwamba tumekuwa tukiwaponda sana Wazaramo kwa tabia za kupenda ngoma na shughuli na mafiga matatu lakini leo wacha niwaeleze sifa za wanawake wa Kizaramo.

Hawa mademu wa Kizaramo wana sifa kuu mbili ambazo mwanaume yeyote anazihitaji, kwanza wanajua mapishi hasa ya nazi na pili kubwa kuliko yote sex kwao ni passion, mapungufu waliyonayo unaweza kuyafanyia kazi na kufurahia maisha kuliko hao wasomi wenu wanaowapa mbususu kwa mgawo kama wa DAWASA na wakirudi kazini nao wamechoka halafu demu linakukazia utadhani lenyewe ni dume pia.

Haya sasa vijana changamkeni na watoto wa kizaramo, mapungufu yao ni nafuu kuliko mateso mnayoyapata kwa kuowa degree badala ya kuowa mwanamke.
 
IMG-20240601-WA0181.jpg
 
Licha ya kwamba tumekuwa tukiwaponda sana Wazaramo kwa tabia za kupenda ngoma na shughuri na mafiga matatu lakini leo wacha niwaeleze sifa za wanawake wa Kizaramo.

Hawa mademu wa Kizaramo wana sifa kuu mbili ambazo mwanaume yeyote anazihitaji, kwanza wanajuwa mapishi hasa ya nazi na pili kubwa kuliko yote sex kwao ni passion, mapungufu waliyonayo unaweza kuyafanyia kazi na kufurahia maisha kuliko hao wasomi wenu wanaowapa K kwa mgao kama wa Dawasa na wakirudi kazini nao wamechoka halafu demu linakukazia utadhani lenyewe ni dume pia.

Haya sasa vijana changamkeni na watoto wa kizaramo, mapungufu yao ni nafuu kuliko mateso mnayoyapata kwa kuowa degree badala ya kuowa mwanamke.
Mbona ndoa zao hazidumu? Bora hata za wale wanaosema ''mimi naendelea kusoma gazeti, ukimaliza niambie'', zinadumu mara dufu.
 
Shida ni moja hawana heshima Kwa mume, na hii ni kutokana na mfumo wao wa matrilineal....mama na ujombani ndo Wana nguvu..usitegemee Baba utakuwa na sauti kwenye familia.

Hiyo nanihii unaweza kuanza kunyimwa kisa umemfokea mtoto hajafanya homework, au umemchapa binti yako aliyetoroka nyumbani kwenda kulala Kwa bwana.
 
Umesema sahihi mno mtoa mada, hivyo kama wanajukwaa watakubaliana nami tukupe PhD nyingine Kwa utafiti ulioufanya mtoa mada🤗

Ukiwa mpenda sex basi hao watu huna budi kudate nao, hawana hiyana kwenye kukupa hadi utosheke😜
 
Sex ndio namba moja mengine ndio yanafuata.
Sasa hivi mshabadilisha kipaumbele?. si mnasema hitaji la Kwanza la mwanaume ni heshima?, ndo tunaoamini katika ngano za uwepo wa Mungu tunasema amemuaru mke amtii mumewe.....

Sa ina maana gani kuoa mke anayekupa sex utakavyo ila hana adabu, anakugombeza na kukuchamba huku Majirani wanasikia.
 
Licha ya kwamba tumekuwa tukiwaponda sana Wazaramo kwa tabia za kupenda ngoma na shughuri na mafiga matatu lakini leo wacha niwaeleze sifa za wanawake wa Kizaramo.

Hawa mademu wa Kizaramo wana sifa kuu mbili ambazo mwanaume yeyote anazihitaji, kwanza wanajuwa mapishi hasa ya nazi na pili kubwa kuliko yote sex kwao ni passion, mapungufu waliyonayo unaweza kuyafanyia kazi na kufurahia maisha kuliko hao wasomi wenu wanaowapa K kwa mgao kama wa Dawasa na wakirudi kazini nao wamechoka halafu demu linakukazia utadhani lenyewe ni dume pia.

Haya sasa vijana changamkeni na watoto wa kizaramo, mapungufu yao ni nafuu kuliko mateso mnayoyapata kwa kuowa degree badala ya kuowa mwanamke.
Hawa si ndio madada poa wamejazana mwananyamala na manzese???
 
Shida ni moja hawana heshima Kwa mume, na hii ni kutokana na mfumo wao wa matrilineal....mama na ujombani ndo Wana nguvu..usitegemee Baba utakuwa na sauti kwenye familia.

Hiyo nanihii unaweza kuanza kunyimwa kisa umemfokea mtoto hajafanya homework, au umemchapa binti yako aliyetoroka nyumbani kwenda kulala Kwa bwana.
Dawa ukioa tu unaamia mbali ambapo atakuwa ana ukaribu (physical communication)sana na ndugu zake
 
Back
Top Bottom