Patra31
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 6,918
- 13,885
Hadi Sasa ninamachaguo mawiliWadigo hatari nyie jamani...wanajua kunyanduaba balaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi Sasa ninamachaguo mawiliWadigo hatari nyie jamani...wanajua kunyanduaba balaaa
Kila mtu na vipaumbele vyakeWanaume mnatuchanganya mjue......Mara utii, mara tabia, mara dako, mara sex.......hatujui tushike lipi.
Kuoa mzaramo ni kama kuishi na nyuki ndaniLicha ya kwamba tumekuwa tukiwaponda sana Wazaramo kwa tabia za kupenda ngoma na shughuri na mafiga matatu lakini leo wacha niwaeleze sifa za wanawake wa Kizaramo.
Hawa mademu wa Kizaramo wana sifa kuu mbili ambazo mwanaume yeyote anazihitaji, kwanza wanajuwa mapishi hasa ya nazi na pili kubwa kuliko yote sex kwao ni passion, mapungufu waliyonayo unaweza kuyafanyia kazi na kufurahia maisha kuliko hao wasomi wenu wanaowapa K kwa mgao kama wa Dawasa na wakirudi kazini nao wamechoka halafu demu linakukazia utadhani lenyewe ni dume pia.
Haya sasa vijana changamkeni na watoto wa kizaramo, mapungufu yao ni nafuu kuliko mateso mnayoyapata kwa kuowa degree badala ya kuowa mwanamke.
MANKA MUSHIMbona ndoa zao hazidumu? Bora hata za wale wanaosema ''mimi naendelea kusoma gazeti, ukimaliza niambie'', zinadumu mara dufu.
Sasa wewe owa degree, waache wenzio wapikiwe masotojo ya nazi.Kuoa mzaramo ni kama kuishi na nyuki ndani
Hahahhhaaaaaa nimecheka Kwa sauti nauli kwao mkuranga na Sare haizidi 15000 ampe tu🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸Na huu mfungo tatu anataka arudi kwao akafagilie makaburi, na sare ya kijora juu....sasa wewe mwambie huna pesa uone Kama huo wali wa nazi utapikiwa na usiku utapewa🤣🤣🤣
Hapa sasa umekosa jibu ukaamua kujipuliwa. Lets go the facts: ndoa za wazaramo zimejaa talaka na kuchepuka nje! Ni nini shida huku unawasifiwa kuwa wanajua mapenzi kwenye ndoa?Zinadumu huku unapiga punyeto wakati una mke ndani?
Huko ni kudumu au kudumaa?
Kwenye swala la talaka labda kwakuwa jamii kubwa ya Wazaramo ni waislamu, ndoa za kiislamu talaka inatamkwa tangu siku inapofungwa ndoa.Hapa sasa umekosa jibu ukaamua kujipuliwa. Lets go the facts: ndoa za wazaramo zimejaa talaka na kuchepuka nje! Ni nini shida huku unawasifiwa kuwa wanajua mapenzi kwenye ndoa?
Barack ObamaFrancis Chacha Wambura
Kazi; Mkulima
Umri: 98
Wake: 6
Watoto: 47
Wajukuu: 86
Sababu ya kifo: uzee
Lazaro Olemgbe
Kazi: Seremala
Umri: 115
Wake: 11
Watoto: 56
Wajukuu: 132
Sababu ya kifo: Uzee.
Mabura Mabondo Matinde
Kazi: Tailor
Umri: 109
Wake: 4
Watoto: 38
Wajukuu: 73
Sababu ya kifo: Uzee
Dk Benson Ngonyani (Phd)
Kazi: Mhadhiri
Umri: 53
Mke: 1
Watoto: 2
Wajukuu: 0
Sababu ya kifo: shinikizo la damu.
Samweli Julius Mushi
Kazi: Meneja wa Benki
Umri: 47
Mke: 1
Watoto; 2
Wajukuu; 0
Sababu ya kifo; BP, Sukari
Erick Charles James
Kazi: Mwalimu
Umri: miaka 43
Mke : 1
Watoto: 3
Wajukuu: 0
Sababu ya kifo: Msongo wa mawazo
Sisemi chochote. Ni juu yako kutoa tafsiri yako mwenyewe....😷😷😷🏃🏾♂️🏃🏾♂️🏃🏾♂️
Kazi?Barack Obama
Umri 62
Mke 1
Watoto 2
One of the richest and powerful person in the world
😄😄kupanga ni kuchagua
Mzaramo wewe haumo, we umesoma soma ushakuwa feminist🤣🤣🤣Nimepokea maua 💐💐💐💐 yao Kwa niaba .
Nawe tupe mwongozo wa Wazaramo lo!!
Nakuata wewe hapo alaways...Nawe tupe mwongozo wa Wazaramo lo!!
Noumaaa sana
😅😅😅😅Mzaramo wewe haumo, we umesoma soma ushakuwa feminist🤣🤣🤣
Maua pokea uwapelekee wenyewe, we haumo🤣🤣🤣
Anyday anytime lo. Thank uuuuuuNakuata wewe hapo alaways...
Wee tako na sex ndio muhimuWanaume mnatuchanganya mjue......Mara utii, mara tabia, mara dako, mara sex.......hatujui tushike lipi.