Kama unataka wife material kwa maana ya tendo la ndoa basi oweni Wazaramo mtafurahia ndoa zenu

Kama unataka wife material kwa maana ya tendo la ndoa basi oweni Wazaramo mtafurahia ndoa zenu

😄😄Watu hawaoi kwa ajili ya sex...kuna sababu nyingi za kuanzisha taasisi ya ndoa sex ni kitu kidogo sana manake sex unaweza kuipata popote pale kwamfano ukienda bar yoyote ukiongea vizuri na baamedi unaipata😂😂
Naona umepiga za uso Dr.wetu wa mihogo. Hata hiki kitu kidogo tu hakijui. Inasikitisha acha akina Msukuma wawashambulie wasomi wetu.
 
Dawa ukioa tu unaamia mbali ambapo atakuwa ana ukaribu (physical communication)sana na ndugu zake
Hakuna mzaramo anayekubali kuishi mbali na kwao, do your research 🤣🤣🤣🤣 Bora muachane Ila sio uhamie nae Kigoma🤣
Na ukimkuta huyo anayekubali kuishi mbali ujue kasoma soma, elimu hiyo mnayoamini inawafanya ke kuwa mafeminist🤣
 
Kwa ushirikina hawajambo utashangaa na mkeo unamkimbia moja kwa moja

Wanaume mnakazi
Mke huwezi mkimbia, sema Sasa mda mwingine unakuta hawa wife material wengi hua wanakua bize sana na maisha na watoto mara kuongeza elimu mara cheo kiasi Kwamba 6 kwa 6 sio priority kwao...ila Sasa kwa hzo jamii za pwani wao ndoa ni mdinyo 6 kwa 6 unapewa manjonjo na top up kibao
 
Umesema sahihi mno mtoa mada, hivyo kama wanajukwaa watakubaliana nami tukupe PhD nyingine Kwa utafiti ulioufanya mtoa mada🤗

Ukiwa mpenda sex basi hao watu huna budi kudate nao, hawana hiyana kwenye kukupa hadi utosheke😜
Ila huyo mchepuko hakikisha unampa dawa za uzazi wa mpango, manake akikuzalia kwenye malezi hao ni sufri bin Ziro......utajuta.
 
Hakuna mzaramo anayekubali kuishi mbali na kwao, do your research 🤣🤣🤣🤣 Bora muachane Ila sio uhamie nae Kigoma🤣
Na ukimkuta huyo anayekubali kuishi mbali ujue kasoma soma, elimu hiyo mnayoamini inawafanya ke kuwa mafeminist🤣


Inategemea MTU yoyote anaweza kubadilika na kuwa tofauti .
 
😄😄Watu hawaoi kwa ajili ya sex...kuna sababu nyingi za kuanzisha taasisi ya ndoa sex ni kitu kidogo sana manake sex unaweza kuipata popote pale kwamfano ukienda bar yoyote ukiongea vizuri na baamedi unaipata😂😂
Nimegoma kukuelewa.Hivi,tulia na utafakari,kama sex isingekuwepo watu wangeoana ili kitokee kitu gani?
 
😄😄Watu hawaoi kwa ajili ya sex...kuna sababu nyingi za kuanzisha taasisi ya ndoa sex ni kitu kidogo sana manake sex unaweza kuipata popote pale kwamfano ukienda bar yoyote ukiongea vizuri na baamedi unaipata😂😂
Endeleeni kuowa degree badala ya kuowa wanawake.
 
Niamini mimi bro.


Mwanamke hata akiwa vipi akipata mwanaume smart anabadilika

Mimi nimekaa uswahilini Temeke nimeona Sana hawa Dada zetu wazaramo huwa wanakuwa wameathirika kisaikolojia tu Ila wakipata smartest man huwa wanabadilika.

Ukijiona uwezo na ufahamu wako sio mzuri utwaogopa wazaramo Ila they are very humble.
 
Licha ya kwamba tumekuwa tukiwaponda sana Wazaramo kwa tabia za kupenda ngoma na shughuri na mafiga matatu lakini leo wacha niwaeleze sifa za wanawake wa Kizaramo.

Hawa mademu wa Kizaramo wana sifa kuu mbili ambazo mwanaume yeyote anazihitaji, kwanza wanajuwa mapishi hasa ya nazi na pili kubwa kuliko yote sex kwao ni passion, mapungufu waliyonayo unaweza kuyafanyia kazi na kufurahia maisha kuliko hao wasomi wenu wanaowapa K kwa mgao kama wa Dawasa na wakirudi kazini nao wamechoka halafu demu linakukazia utadhani lenyewe ni dume pia.

Haya sasa vijana changamkeni na watoto wa kizaramo, mapungufu yao ni nafuu kuliko mateso mnayoyapata kwa kuowa degree badala ya kuowa mwanamke.
Kama ndio ni sex pekee jiulize swali moja dogo tu. Kwa nini ndoa za wanawake wengi wanaojiita makungwi hazidumu ? Licha ya kwamba ndio wanasifika kwa ufundi kitandani hata kupewa jukumu la kuwafunda mabinti.
 
Hakuna mzaramo anayekubali kuishi mbali na kwao, do your research 🤣🤣🤣🤣 Bora muachane Ila sio uhamie nae Kigoma🤣
Na ukimkuta huyo anayekubali kuishi mbali ujue kasoma soma, elimu hiyo mnayoamini inawafanya ke kuwa mafeminist🤣
Kaenda mbali yuko Moro ila taarifa za kwao pwani na Dar anafuatilia masaa 24 , ndugu yake akikohoa basi anakuja kumuangalia eti anaumwa
 
Back
Top Bottom