towashi wa kushi
JF-Expert Member
- May 15, 2024
- 332
- 729
Naona umepiga za uso Dr.wetu wa mihogo. Hata hiki kitu kidogo tu hakijui. Inasikitisha acha akina Msukuma wawashambulie wasomi wetu.😄😄Watu hawaoi kwa ajili ya sex...kuna sababu nyingi za kuanzisha taasisi ya ndoa sex ni kitu kidogo sana manake sex unaweza kuipata popote pale kwamfano ukienda bar yoyote ukiongea vizuri na baamedi unaipata😂😂
Hakuna mzaramo anayekubali kuishi mbali na kwao, do your research 🤣🤣🤣🤣 Bora muachane Ila sio uhamie nae Kigoma🤣Dawa ukioa tu unaamia mbali ambapo atakuwa ana ukaribu (physical communication)sana na ndugu zake
Mke huwezi mkimbia, sema Sasa mda mwingine unakuta hawa wife material wengi hua wanakua bize sana na maisha na watoto mara kuongeza elimu mara cheo kiasi Kwamba 6 kwa 6 sio priority kwao...ila Sasa kwa hzo jamii za pwani wao ndoa ni mdinyo 6 kwa 6 unapewa manjonjo na top up kibaoKwa ushirikina hawajambo utashangaa na mkeo unamkimbia moja kwa moja
Wanaume mnakazi
Ila huyo mchepuko hakikisha unampa dawa za uzazi wa mpango, manake akikuzalia kwenye malezi hao ni sufri bin Ziro......utajuta.Umesema sahihi mno mtoa mada, hivyo kama wanajukwaa watakubaliana nami tukupe PhD nyingine Kwa utafiti ulioufanya mtoa mada🤗
Ukiwa mpenda sex basi hao watu huna budi kudate nao, hawana hiyana kwenye kukupa hadi utosheke😜
Hakuna mzaramo anayekubali kuishi mbali na kwao, do your research 🤣🤣🤣🤣 Bora muachane Ila sio uhamie nae Kigoma🤣
Na ukimkuta huyo anayekubali kuishi mbali ujue kasoma soma, elimu hiyo mnayoamini inawafanya ke kuwa mafeminist🤣
Nimegoma kukuelewa.Hivi,tulia na utafakari,kama sex isingekuwepo watu wangeoana ili kitokee kitu gani?😄😄Watu hawaoi kwa ajili ya sex...kuna sababu nyingi za kuanzisha taasisi ya ndoa sex ni kitu kidogo sana manake sex unaweza kuipata popote pale kwamfano ukienda bar yoyote ukiongea vizuri na baamedi unaipata😂😂
Acha hizo wewe, hapo ukute umetoka kumpikia mumeo supu kwa chapati, unatype huku umevaa kanga moja tu....afu unashauri kataa ndoa,......Kataa ndoa, ndoa ni kucheza kamari.....😹
Niamini mimi bro.Inategemea MTU yoyote anaweza kubadilika na kuwa tofauti .
Amekula supu halafu akala 😹Acha hizo wewe, hapo ukute umetoka kumpikia mumeo supu kwa chapati, unatype huku umevaa kanga moja tu....afu unashauri kataa ndoa,......
Tunaijua hiyooo.....
Endeleeni kuowa degree badala ya kuowa wanawake.😄😄Watu hawaoi kwa ajili ya sex...kuna sababu nyingi za kuanzisha taasisi ya ndoa sex ni kitu kidogo sana manake sex unaweza kuipata popote pale kwamfano ukienda bar yoyote ukiongea vizuri na baamedi unaipata😂😂
Niamini mimi bro.
Kama ndio ni sex pekee jiulize swali moja dogo tu. Kwa nini ndoa za wanawake wengi wanaojiita makungwi hazidumu ? Licha ya kwamba ndio wanasifika kwa ufundi kitandani hata kupewa jukumu la kuwafunda mabinti.Licha ya kwamba tumekuwa tukiwaponda sana Wazaramo kwa tabia za kupenda ngoma na shughuri na mafiga matatu lakini leo wacha niwaeleze sifa za wanawake wa Kizaramo.
Hawa mademu wa Kizaramo wana sifa kuu mbili ambazo mwanaume yeyote anazihitaji, kwanza wanajuwa mapishi hasa ya nazi na pili kubwa kuliko yote sex kwao ni passion, mapungufu waliyonayo unaweza kuyafanyia kazi na kufurahia maisha kuliko hao wasomi wenu wanaowapa K kwa mgao kama wa Dawasa na wakirudi kazini nao wamechoka halafu demu linakukazia utadhani lenyewe ni dume pia.
Haya sasa vijana changamkeni na watoto wa kizaramo, mapungufu yao ni nafuu kuliko mateso mnayoyapata kwa kuowa degree badala ya kuowa mwanamke.
Wewe ni mpumbavu wa kwanza, maana wa mwisho ana nafuu.Alafu jamaa anajiita wakati haelewi kitu kidogo kama hiki. Dr. Sijui ni Dr wa nini ila kichwani ni ngumbaru tu.
Kaenda mbali yuko Moro ila taarifa za kwao pwani na Dar anafuatilia masaa 24 , ndugu yake akikohoa basi anakuja kumuangalia eti anaumwaHakuna mzaramo anayekubali kuishi mbali na kwao, do your research 🤣🤣🤣🤣 Bora muachane Ila sio uhamie nae Kigoma🤣
Na ukimkuta huyo anayekubali kuishi mbali ujue kasoma soma, elimu hiyo mnayoamini inawafanya ke kuwa mafeminist🤣
Mkungwi ni utapeli wa mjini .Kama ndio ni sex pekee jiulize swali moja dogo tu. Kwa nini ndoa za wanawake wengi wanaojiita makungwi hazidumu ? Licha ya kwamba ndio wanasifika kwa ufundi kitandani hata kupewa jukumu la kuwafunda mabinti.