Btw ikimpendeza Bebi kupeleka K yake mahali huwezi kumzuia.Bebi anataka kubadilisha simu aliyonayo kaichoka, anataka Simu nyingine.
Huo mkwamo gani ? au kutiana jazba tu..
ππππ
Yeye kama kuna sehemu atataka apeleke K yake, yeye apele tuβΉοΈ cha msingi arudi nayo.
Walau chakula na beer!Tatizo Vocha ataitumia kuongea na mshenzi mwenzie sasa kwanini udhamini fedhuli, kulikoni nimpe vocha bora nimnunulie chakula ale πππ
Hapana vizinga this year πKama tulivyokubaliana katika kikao kilichopita mkuu!π
Yeah, unamtumia vocha ili ampigie danga kuuliza alipo ampelekee mbunye πWalau chakula na beer!
Kabisa mkuu Ukizingatia Chama Chetu kimeshindwa Kusajiliwa kwa ukosefu wa Buku Shing Tano tuu.Swali chonnganishi bhana
Sisi UWABATA unatutesa tuanze kuwa wazia wapenzi wetu maana tumewabahili kama nini ila tunaenda nao tu kibabe
Sasa unapoleta swali kama hilo unaanza kutufanya kuwaza tumegongewa mara ngap na MABAHARIA
Si mzazi wake πLabda 'Always' anawezaje kumwomba baba pesa ya kitu kama hicho ??
Na nyie nawashauri muwe mnaomba kwa mwanaume mmoja na sio kufanya udangaji yan kila mwanaume unamuomba hela...Ukiona unanyimwa pia ujitafakari ...Wanaume mmeumbiwa majukumu.acheni kuyakwepa
Hela ya vocha tu mwenzio kachacha unakimbia kulea familia akibeba mimba utaweza? Na huko jukumu pia wengi mnakimbia kwa kukataa mimba.
Utamnyima hela lakini jua ukimuoa utamtunza.ukishindwa watamchukua wenzio wamtunze.
Hata katiba ya nchi kuhusu ndoa unasema mojawapo ya haki ya mke katika ndoa ni kutunzwa na mme wake.
Wanawake angalieni wanaume mnaotoka nao.mwanaume akiwa mbinafsi kwa kidogo usitarajie akawa mkarimu kwa kikubwa.
Epuka mwanaume mkimbiaji majukumu,atakucost!
Akili kubwaHakuna chakukimbia wala kukwepa, wanawake wanachukulia mahusiano kama ajira hivyo mwanaume anatakiwa kulipa mshahara ili apate huduma...
Ishakua biashara isiyo rasmi..
Mi naweza nikakupenda namna unavyojipenda kwa mitindo ya nywele full kubadili viwalo, mcheshi na wakati nakufuata unanihakikishia huna mtu..
Inakuaje ukiwa na mimi hivyo vitu vinakua ni jukumu langu kiasi nikishindwa mapenzi Yanakua basi?
All in all hakuna mwanaume asiyependa kumuhudumia mwenza wake, tatizo ni namana gani anatakiwa kumuhudumia, binafsi sikai au kuishi na wewe huduma zangu ni kwa mapenzi yangu... na wala si wajibu. Ukitaka niwajibike njoo kwangu tuyajue maisha yalivyo kwa pamoja siku sina hela nitakopa unga tupike tule.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ubahili nomaNakusalimu bibie.
Hivi huo utamu wanawake huwa hawaupati au kuwa na uhitaji nao?
Mimi nafikiri huduma na msaada vitolewe kwenye mahusiano kwa sababu ya UPENDO na JUKUMU (Ndoani).
Sijui kwanini huo usemi naona unahalalisha ule usemi wa "mwanamke ni chombo cha starehe" au "mwanamke hana cha 'kuoffer' kwenye mahusiano zaidi ya 'gh***fjk'"
Ila ubahili mbaya sana, ikizungumziwa pesa unaweza kujikuta unaandika humalizi.
Mkiacha kutanga tanga ..mtahudumiwa haiwezekani mwanamke mmoja ahudumiwe na wanaume kumi huo ni ukahabaSijambo mimi kaka
Utamu tunapata wote hatukatai lakini mwanaume unatakiwa ujue wajibu wako basi sio mpaka ifikie hatua ya kuombwa
Unajua una mtu ana mahitaji yake muhudumie isifikie uko kwenye kuombana
Ndio maana mmesomeshwa ili mtafute kazi mjisimamie πππ we badala kutafta kazi unatafta bwana ili umuombe hela!?Mara nyingi ukishakuwa mtu mzima na siyo mwanafunzi ni ngumu kumwomba mzazi pesa za matumizi ya kawaida.
Wazazi ukimaliza shule na wao wanajitoa rasmi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hawa wadangaji washenzi mnoo ...mwanamke niwakupewa service tuu hakuna kushika hela ...akitaka nauli apande ubber akishuka ntalipa ...,Yeah, unamtumia vocha ili ampigie danga kuuliza alipo ampelekee mbunye [emoji16]
Hahahah tatizo sio maaminifu haya makitu! Ukijua upo mwenyewe kumbe kawapanga mko 6![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hawa wadangaji washenzi mnoo ...mwanamke niwakupewa service tuu hakuna kushika hela ...akitaka nauli apande ubber akishuka ntalipa ...,
Note: Asije akiwa p ...
Sio kweli mkuu wanawake mara nyingi still wanakua under parental controls & care mpaka wakiolewa Tatizo ni tamaa zao na ukahaba tuuMara nyingi ukishakuwa mtu mzima na siyo mwanafunzi ni ngumu kumwomba mzazi pesa za matumizi ya kawaida.
Wazazi ukimaliza shule na wao wanajitoa rasmi.
Mkuu hawa viumbe ukiwaendekeza unalost mazima, kama hatuishi nao. Bora tuwekane wazi ngono kwa pesa ila sio kuigiza maisha ya ndoa huku kila mtu ana hamsini zake.Akili kubwa
Sure mkuu kuna wachache Wana upeo kidogo Kwenye kufanya majukumu yao kwa mwanaume ...The rest ni wanatumia jinsia yao kwa kutafuta pesa kwa nguvu ...Yan ukikutana na demu ana damu ya kikahaba ..utamgundua mapema tuu...Mkuu hawa viumbe ukiwaendekeza unalost mazima, kama hatuishi nao. Bora tuwekane wazi ngono kwa pesa ila sio kuigiza maisha ya ndoa huku kila mtu ana hamsini zake.
Wanatakaa huduma zetu huku sisi hatupati huduma zao, unakuta mtu unajitengea maji ya kuoga, unajipikia, unajisafishia mazingira yako halafu anataka uwajibike juu ya maisha yake.
Na kamwe tusijaribu kuwashirikisha majukum yetu pindi hatuishi nao, akija unamchukulia mgeni kama wageni wengine usitake akupikiee au akufulie wala akusaidie kazi zaidi awajibike kwa bed tuu maan nauli ni lazima utaisimamia hata akitumia yake mlipe mmalizane ki hivyo
mengine yabaki kwa kupenda mwenyewe shida zao zote zinahitaji hela na hata akisema hajala muite aje kula kuhusu saloon na mavazi au urembo urembo mwingine tuwahudumie wake zetu tuu.
Ila kuna wenye akili ambao wanaelewa dharula na shida za hapa na pale, hao hata kwa kukopa kama sina nitafanya hivyo maana nae anaelewa siku huna kitu anasimamia show.