Kama upelelezi hautafanyika vizuri Kanisa la Masanja basi tutarajie tukio jingine

Hata mim nakubali masanja asingeua kishamba hivyo. Ila kwa sababu hili Jambo linauaiaha uhai wa mtu ni muhimu polisi watoe maekezo
Angeua vipi?..

Mfano tu kama alitaka ajue ulimwengu ujue ukitembe na mke wake lazima upoteze uhai.. lakini pia kwa tukio hilo kumziba mke wake mdomo kama alitaka kulalamika vile jamaa alivyokuwa mchepukaji mzuri.. n.k what If kwenye kama jamaa aliuwawa walitumia finga print kuingia kwenye simu yake na kisha kupost hayo maneno..

Yani dhakira ya mtu kujiua na kupost mitandao ya jamii ni ipi??..

1.ukizingatia alikuwa anatembea na mke wa mtu..

2.Kama ni kweli alimpenda Monica asingejiua na kumuanika hadharani iliamuharibie kwa mumewe na duniani.. kiukweli jwenye hili swala la Katibu kuna uwalakini..

Mimi binafsi kuna pastor aliwahizinguana na mwanangu akaniambia kwa namna mwanangu anataka kumchafua.. na yeye kapambana miaka mingi kukusanya makondoo mpaka kuanza kula asali anaweza kumsingizia hata kesi ya madawa.. yani ayaweke nyumbani kwa jamaa polisi wayakute [emoji23] [emoji23]

Sasa nyie sikieni tu kwa watu kugongewa.. tena mke ni jambo ambalo sio kila mwanaume anaweza especially ugundue alietenda ni mtu wa karibu ambae anajua ni kwa kiasi gani huyo mwanamke anaumuhimu kwako yani unaweza ua kiukweli kama unako na low "Emotional Intelligence " inaumizaga moyo kama vile umichomwa na kisu chenye ncha kali

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Mtoa mada anafanya speculations na watu wanajaa na speculations zao. Idiots.
 
Bongo sidhan Kama polisi wetu wanayo teknolojia hii
Ipo kumbuka ile simulizi ya yule kijana aliyekaa mahabusu miaka tisa kisa demu wa jamaa yake alifia geto kwake hiyo tech ndio ilimuokoa
 
Kama siasa isipoingia jeshini!
Jeshi linawataalam wazuri sana! Shida pale taarifa ya kipolisi itatakiwa ihakikiwe na waziri au RC hapo ndo miyeyusho huanzia!
Ila polisi nawajua wako vizuri tu shida ni Amri
Huu ni Ukweli kabisa
 
Picha inaongea
 
Hii inaonekana ni clear assasination. Na waliofanya sio proffesional. Walipataje password? Hapo ni kutia ndani huyo mchungaji wa mchongo pamoja na mke wake. Siku mbili ni nyingi ukweli wote utajulikana.
Hawezi kuguswa kabisa nani atatangaza madaraja na ma fly over. Ccm kumejaa uchafu
 
Cyber crime polices should come up with a clear info before opening the case to the court, I know it's easy and possible for them.

I-4 days deal done.
 
Kwanini kwenye ujumbe hakuomba msamaha kwa mke wake kutokana na alichokuwa akifanya?

Je tuhitimishe kuwa kauliwa na mwenye mke?
Je mwenye mke kaamua kumuweka mke wake kwenye ujumbe ili talaka itoke kirahisi?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Kwa police wa Tz hii imeisha ila ingekuwa mamtoni masanja angekamatwa kwa upelelezi
 
Na kweli ndo mana kasepa mamtoni ili akishukiwa aseme alikuwa US
 

Kwa Mujibu wa J4 Muliro kwenye uchunguzi wa Awali,napenda kuongea ukweli ambao ni mchungu kwa Baba Askofu na Baadhi ya Kondoo Wake.

ITOSHE KUSEMA MAMA MCHUNGAJI AMELIWA NA KATIBU.

Case Closed.
 
Kwahiyo Ukiliwa mke wako Polisi hawahusiki kwenye Uchunguzi? Ila Ukiwaonyesha Polisi kwamba Wananilia Mke wangu Ndipo Unataka Uchunguzi..

Wewe Mtoa mada Subiri Zamu Yako Tu Itafika.... Inawezekana na Wewe una Tabia za Katibu
Polisi hawahusiki na ugoni Ila ukiua wanakuja chap.
 

Damu ya mtu ni nzito kuliko pesa.
 
mitandao na mapenzi au ndoa sio vitu vinakwenda sawa.

ule ulikuwa ushamba sana,hata kuweka mke status huwa naogopa.
Kabisa kumuweka mke kwenye mitandao ni hatari sana
Sasa mke awe na tko mshepu
Usumbufu lazima [emoji1]

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…