Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii record ikitokea haitakuja kuvunjwa tena iko very uniqueJamaa Ana mpango wa kuhakiksha kuwa wanaume wote wa Dar wametiwa dole.
Anaiogopa yeye mwenyeweMkuu Genta, kuna hatua muhimu umeiruka hapo
Omba Mungu wako usije kupata ugonjwa wa Bawasiri daktari ni lazima avae gloves ulale kitandani aingize vidole ili apate uhakika utapona kwa dawa au ni lazima ufanyiwe oparesheni.Kwa ' Full Ndole Screening ' hawajanipata bado GENTAMYCINE na hata hiyo ya mashine nayo nina wasiwasi nayo na kwamba wanajaribu tu kutupanga / kututengeneza Kisaiokolojia ila ukweli ni kwamba Wanaume wa Dar es Salaam kuna hatari ' tukatambaliziwa ' mno ' Ndole ' na Madaktari wa Tezi Dume walioratibiwa na Mkuu wa Mkoa Makonda.
Kama huwezi kumsikiliza mwana wa mfalume basi hama kwenye mkoa wake.Natoa angalizo langu mapema kwa nyie Madaktari ambao nasikia wengi wenu mnaoandaliwa kutufanyie hii ' Screening ' ya Tezi Dume ni Wanaume kuwa mwambieni kabisa huyo aliyewatuma kuwa ahakikishe kabisa ameshayaandaa ' Makaburi ' yenu ya ' Kuzikiwa ' kwani hatutowaacha salama.
- Daktari anakuambia uiname ukiwa mtupu.
- Anakuchungulia ' Unyabeni / Sehemu yako ya Haja Kubwa ' Kiumakini
- Anazishikashika ' Kende / Pumbu ' zako
- Anapapasapapasa ' Makalio ' yako
- Anachezea sehemu zako za Siri hasa ' Mkuyenge / Uume '
- Anakulazimisha Udindishe / Usimamishe Uume Kiukakamavu kabisa kama mnara wa Babeli
- Anakamua mara kwa mara Kende / Pumbu zako
Yaani kabisa ' Poti ' mzima kama Mimi Mwanaume wa Mkoani Mara ( Musoma ) nifanyiwe huu ' Upuuzi ' na hawa Madaktari halafu niwaache hivi hivi? Kama ni kweli upimaji wenu wa Tezi Dume ndiyo huwa hivyo nilivyoandika hapo juu nawakaribisheni mapema tu Kwangu ili niwapeni ' tiketi ' za haraka za kwenda Mbinguni kwa Mungu Kuume kwa Baba kupitia Kaburini.
Nawasilisha.
drum stick appearance finger nails,ni mgonjwa mwenye hivo vidoleHalafu vuta picha daktari mwenyewe ana mkono kama huuView attachment 753310
Kuna madoctor wana vidole kama mguu wa mtoto, akipima ni full kufumua malinda.Sehemu nyingi za Haja Kubwa za Wanaume wengi huwa ni ngumu ngumu na kavu kavu hivyo ili kuleta ushirikiano uliotukuka baina ya Vidole vya Madaktari na Minyero / Minyabe ya Kiume nadhani itabidi ' Wese / Futa ' lihusike kwa sana tu. Ila sijui na yale ' Mapori ' yetu Tengefu ya Ihefu yanayokuweko huko itakuwaje Mkuu kwani huko huwa yanastawi mno.
Yaani hiyo hatua ya mwisho utauwa mtu MURA maana vinatumika mpaka Vilainishi.Itaje tafadhali kwani baada ya kumsikia Daktari mmoja akinielezea hizo hatua Kuu Saba ( 7 ) tajwa hapo juu kiukweli nimekasirika na nimechukia hata kabla hao Madaktari wa Tezi Dume wa Makonda hawajanigongea hodi. Yaani nawatamani kweli ili nitoe mfano bora na siku zingine waache ' viherehere ' na kutanguliwa katika hatari isiyo ya lazima.
wakisha ingiza kidole kwenye exoz wanachokonoa kutafuta goroli ya tezi dume inakuwa kwa chini Ni kama g sport HV uchukua dk 10 HV.
KUtiwa shule ya kule visiwani ZanzibarMkuu Genta, kuna hatua muhimu umeiruka hapo
Mwanaume hutakiwi kuogopa dole, hayo ni mazoezi tu siku ukifumaniwa na mke wa mtuKwa kweli namna ya kupima tezi dume huwa inakatisha tamaa sana. Ingawa ndugu yangu GENTAMYCINE umeongezea chumvi kidogo, lakini kile kitendo cha kuingiziwa kidole cha kati ndani ya njia ya haja kubwa wakati wa kupimwa tezi dume kinafedhehesha sana tena sana.
Mimi sitakaa nije kupimwa tezi dume. Namwomba sana MUNGU BABA aniepushe na gonjwa hili lenye kufedhehesha.