Kama upimaji wa TEZI DUME ndiyo uko hivi naomba niandaliwe mapema tu Gereza langu kwani nitaua Mtu!

Kama upimaji wa TEZI DUME ndiyo uko hivi naomba niandaliwe mapema tu Gereza langu kwani nitaua Mtu!

Status
Not open for further replies.
Kwa ' Full Ndole Screening ' hawajanipata bado GENTAMYCINE na hata hiyo ya mashine nayo nina wasiwasi nayo na kwamba wanajaribu tu kutupanga / kututengeneza Kisaiokolojia ila ukweli ni kwamba Wanaume wa Dar es Salaam kuna hatari ' tukatambaliziwa ' mno ' Ndole ' na Madaktari wa Tezi Dume walioratibiwa na Mkuu wa Mkoa Makonda.
Omba Mungu wako usije kupata ugonjwa wa Bawasiri daktari ni lazima avae gloves ulale kitandani aingize vidole ili apate uhakika utapona kwa dawa au ni lazima ufanyiwe oparesheni.

Humu inaonekana wengi bado hamjaishi muda mrefu hapa duniani na kushuhudia majanga, kuna mtu yupo tayari akatwe hata uume kama ndio itakuwa tiba ya kumponya. Furahisheni baraza tu.
 
  1. Daktari anakuambia uiname ukiwa mtupu.
  2. Anakuchungulia ' Unyabeni / Sehemu yako ya Haja Kubwa ' Kiumakini
  3. Anazishikashika ' Kende / Pumbu ' zako
  4. Anapapasapapasa ' Makalio ' yako
  5. Anachezea sehemu zako za Siri hasa ' Mkuyenge / Uume '
  6. Anakulazimisha Udindishe / Usimamishe Uume Kiukakamavu kabisa kama mnara wa Babeli
  7. Anakamua mara kwa mara Kende / Pumbu zako
Natoa angalizo langu mapema kwa nyie Madaktari ambao nasikia wengi wenu mnaoandaliwa kutufanyie hii ' Screening ' ya Tezi Dume ni Wanaume kuwa mwambieni kabisa huyo aliyewatuma kuwa ahakikishe kabisa ameshayaandaa ' Makaburi ' yenu ya ' Kuzikiwa ' kwani hatutowaacha salama.

Yaani kabisa ' Poti ' mzima kama Mimi Mwanaume wa Mkoani Mara ( Musoma ) nifanyiwe huu ' Upuuzi ' na hawa Madaktari halafu niwaache hivi hivi? Kama ni kweli upimaji wenu wa Tezi Dume ndiyo huwa hivyo nilivyoandika hapo juu nawakaribisheni mapema tu Kwangu ili niwapeni ' tiketi ' za haraka za kwenda Mbinguni kwa Mungu Kuume kwa Baba kupitia Kaburini.

Nawasilisha.
Kama huwezi kumsikiliza mwana wa mfalume basi hama kwenye mkoa wake.

Karibu huku Mwanjelwa viwanja kibao na mashamba.
Huku hakuna mambo ya kutiana madole kwa lazima
 
Poleni sana wanaume wa

Watoto wa kusingiziwa mpo na mnaadabishwa na mtu ambae ana uwezo ata kudunga mimba

Pia upimaji wa tezi dume nyinyi tena kilazima mnafanyiwa cheakup ya tako kwa bashasha duu

Makonda kawazalau sana uwezo

Yaaani anajifananisha yeye na nyinyi poleni sana mtakao kubali
 
Sehemu nyingi za Haja Kubwa za Wanaume wengi huwa ni ngumu ngumu na kavu kavu hivyo ili kuleta ushirikiano uliotukuka baina ya Vidole vya Madaktari na Minyero / Minyabe ya Kiume nadhani itabidi ' Wese / Futa ' lihusike kwa sana tu. Ila sijui na yale ' Mapori ' yetu Tengefu ya Ihefu yanayokuweko huko itakuwaje Mkuu kwani huko huwa yanastawi mno.
Kuna madoctor wana vidole kama mguu wa mtoto, akipima ni full kufumua malinda.
 
wakisha ingiza kidole kwenye exoz wanachokonoa kutafuta goroli ya tezi dume inakuwa kwa chini Ni kama g sport HV uchukua dk 10 HV.
 
Itaje tafadhali kwani baada ya kumsikia Daktari mmoja akinielezea hizo hatua Kuu Saba ( 7 ) tajwa hapo juu kiukweli nimekasirika na nimechukia hata kabla hao Madaktari wa Tezi Dume wa Makonda hawajanigongea hodi. Yaani nawatamani kweli ili nitoe mfano bora na siku zingine waache ' viherehere ' na kutanguliwa katika hatari isiyo ya lazima.
Yaani hiyo hatua ya mwisho utauwa mtu MURA maana vinatumika mpaka Vilainishi.
 
Ni kosa kubwa kwa dactari kutokufanya DRE(digital rectal examination) kwa mgonjwa...kuna conditions mbili za kutofanya DRE either daktari hana kidole au mgonjwa hana mkund** in Dr Kategile(urologist MNH) voice.
 
Makonda hajawahi fanya kitu kikafanikiwa na kukubalika hata ndani ya chama chake mfu.
 
Kwa kweli namna ya kupima tezi dume huwa inakatisha tamaa sana. Ingawa ndugu yangu GENTAMYCINE umeongezea chumvi kidogo, lakini kile kitendo cha kuingiziwa kidole cha kati ndani ya njia ya haja kubwa wakati wa kupimwa tezi dume kinafedhehesha sana tena sana.

Mimi sitakaa nije kupimwa tezi dume. Namwomba sana MUNGU BABA aniepushe na gonjwa hili lenye kufedhehesha.
Mwanaume hutakiwi kuogopa dole, hayo ni mazoezi tu siku ukifumaniwa na mke wa mtu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom