Pre GE2025 Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli 2025, Iachane na Urais, Ujikite Serikali za Mitaa, Ubunge na Udiwani, Urais labda 2030!

Pre GE2025 Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli 2025, Iachane na Urais, Ujikite Serikali za Mitaa, Ubunge na Udiwani, Urais labda 2030!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, nakuja na makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", leo nazungumzia kitu kinachoitwa the Political Vision, Focus na Targets.

Moja ya matatizo makubwa ya siasa zetu ni ukosefu wa clear vision, na hii sio kwa opposition tuu pekee wa Tanzania, hata chama tawala na serikali yetu nayo sometimes inakosa vision ndio maana Tanzania kama nchi tunashindwa kuwa na clear vision na hivyo kushindwa kupanga vipaumbele vyetu. https://www.jamiiforums.com/threads...-aibu-na-hatari-kupikia-kuni-na-mkaa.1966529/

Hivyo tukija kwenye siasa zetu ndio kabisa!, besides siasa za figisu, sheria mbovu za uchaguzi, Tume isiyo Shirikishi ya Uchaguzi na ushindani usio sawa kwenye uwanja tenge, lack of focus ni tatizo kubwa zaidi kwenye siasa zetu kuliko matatizo hayo mengine yote.

Mikutano ya siasa imeruhusiwa, Samia atabadili sheria za uchaguzi, ataruhusu hadi wagombea binafsi, atarekebisha Tume ya Uchaguzi kwa kuunda Tume Huru na Shirikishi, ataleta katiba mpya, lakini bado ni CCM ndio itaendelea kushinda na kutawala Tanzania, kwa kipindi kirefu kijacho and probably milele.

Kwasababu bado hatuna any serious and credible opposition to checks out CCM!. Watu wanamatumaini sana na Chadema, lakini amini usiamini, Chadema kwa hivi ilivyo, ni hakuna kitu pale!, labda ibadilike, kule juu iingie mijitu bold kama Heche. https://www.jamiiforums.com/threads...us-credible-mature-enough-opposition.1249668/

Nimesema hatuna any serious and credible opposition kwasababu upinzani uliopo ni myopic, una short distance vision ya siasa za leo, hawana good vision ya kuona mbali kuwa wanataka nini kesho, wanakwenda wapi na watafikaje, hivyo kukosa a clear vision of its target, na kukosa clear focus hivyo kushindwa ku focus and eventually end up missing the target. https://www.jamiiforums.com/threads...he-target-adui-mkubwa-sio-ccm-bali-ni.310532/

Nakiri kuwa inspired kupandisha bandiko hili https://www.jamiiforums.com/threads...za-nchi-hii-ngumu-sana.2057792/#post-45011402 toka kwa hoja ya mwana JF huyu

Naunga mkono hoja, kweli Chadema ni moto wa kuotea mbali, tatizo lake haijajipanga na haijipangi. https://www.jamiiforums.com/threads...angi-na-hamtajipanga-2015-ni-ccm-tena.624364/ Forget about 2025, the time is too little too late. The focus should be 2030.

Politics is a science of politics, political science, therefore it follows scientific theories and proofs, hivyo kwa political dynamics ya siasa zetu, kwa sasa hapa tulipo hadi 2025, bado hatuna chama chochote kingine cha siasa cha kuitikisha CCM kwenye urais.

Kwa vile uchaguzi Mkuu mwingine ni 2025, baada ya Rais Samia kuruhusu mikutano ya siasa, naona vyama uchwala vinakurupuka kwa mikutano ya hadhara to focus on uchaguzi wa 2025 only, that is lack of clear focus na clear vision, hivyo they are myopic.

2025 is a bit too close, too near, hivyo vyama vina too little time too late to do a worthwhile thing!. The focus kwenye urais should be 2030!. 2025 they should focus on ubunge only.

Nimeona Chadema wanakwenda kuanzia Kanda ya Ziwa, hii ni Kanda determinant ya nani anakuwa rais wa Tanzania, hivyo chaguo la JPM kuwa mgombea wa CCM ile 2015 was not bahati nasibu na wala sio JPM aliingia kwa ku beep!. It was a premeditated move na ni mimi niliisema humu ile 2014.

Kwa vile JPM alitoka Kanda ya Ziwa, then PM kutoka pengine popote was possible, lakini kwa 2025, kwa vile rais sio kutokea Kanda determinant ya Ziwa, then piga ua galagaza the next PM ni lazima atoke Kanda ya Ziwa!. Kubali kataa!.

Sasa uchaguzi wa rais wa 2030 ndio fursa nyingine kwa opposition, kama ile fursa ya 2015 ambayo Chadema walikuwa nayo, but for being myopic na lack of focus, they missed the target.

Fursa ya 2030 kwa opposition, mimi niliizungumza toka February 2018 https://www.jamiiforums.com/threads...ga-karibu-wote-watakuwa-wamemalizika.1401652/ https://www.jamiiforums.com/threads...ga-karibu-wote-watakuwa-wamemalizika.1401652/ 12 years before.
The the opposition wetu, will they be ready to take up the challenge
Paskali.
Ushauri wako ni wa kijinga , Tumeupuuza
 
Well said
JamiiForums195514995_540x540.jpg
 
Mkuu fazili , sijamaanisha Chadema wasigombee urais 2025 no!, vision na focus iwe kwenye ubunge na sio urais!. Mfano 2025 mgombea urais wa Chadema atakuwa ni Freeman Mbowe (for a very good reason), mgombea. Mwenza ni Salum Mwalimu Lissu, Lema, Wenje, Bulaya, wakayagomboe majimbo waliopoteza kwa figusu, japo Samia sio mtu wa figusu, lakini ukiisha zoea vya kunyonga, vya kuchinja huviwezi, hivyo kuna figisu fulani ni CCM kama chama, kitamlazimisha Samia aziridhie atake asitake kwasababu https://www.jamiiforums.com/threads...ishindwa-ndio-itakufa-jumla-itakubali.777548/ hivyo opposition ijikite kwenye kukomboa majimbo, Zitto, Mnyika, Sugu and the like warudi Bungeni.
Kwa urais it's too little too late!.
P
Hapa nimekupata vizuri, unapodai CCM kama chama imeshazoea figisu, na japo Samia sio mtu wa figisu, lakini CCM kama chama kitamlazimisha afanye hizo figisu..

Sasa kwa msingi huo, unaposema Chadema haijajipanga na haijipangi, naona unamaanisha Chadema watafute njia nyingine ya kufanya nje ya huu mfumo wa kipuuzi wa uchaguzi uliopo sasa..
 
Tangu ulipoamua kuwa mwanachama wa ccm umekuwa ukitoa hoja zisizoeleweka sana
Sasa ndugu Mayalla kwa nini waliamua kuipiga marufuku mikutano ya vyama vya upinzani?Waliogopa nini?
Na kwa nini hawataki katiba mpya?Nadhani majibu unayo.
IMG_20221114_112805.jpg
 
Mambo ya upinzani yanakuhusu nini wewe wakati unajua vyema kwamba ccm wamebaki kuiba kura kila uchaguzi unapofanyika sasa wamekwambia hiyo 2030 ndio hawataiba.
Mama anatosha sio? Nadhani mwanzozuri ni kuwa na wabunge wengi naadiwani wengi ili kuleta chamoto Bungeni namna ya kuiwajibisha serikali ilete maendeleo kwa wananchi.
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, nakuja na makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", leo nazungumzia kitu kinachoitwa the Political Vision, Focus na Targets.

Moja ya matatizo makubwa ya siasa zetu ni ukosefu wa clear vision, na hii sio kwa opposition tuu pekee wa Tanzania, hata chama tawala na serikali yetu nayo sometimes inakosa vision ndio maana Tanzania kama nchi tunashindwa kuwa na clear vision na hivyo kushindwa kupanga vipaumbele vyetu. https://www.jamiiforums.com/threads...-aibu-na-hatari-kupikia-kuni-na-mkaa.1966529/

Hivyo tukija kwenye siasa zetu ndio kabisa!, besides siasa za figisu, sheria mbovu za uchaguzi, Tume isiyo Shirikishi ya Uchaguzi na ushindani usio sawa kwenye uwanja tenge, lack of focus ni tatizo kubwa zaidi kwenye siasa zetu kuliko matatizo hayo mengine yote.

Mikutano ya siasa imeruhusiwa, Samia atabadili sheria za uchaguzi, ataruhusu hadi wagombea binafsi, atarekebisha Tume ya Uchaguzi kwa kuunda Tume Huru na Shirikishi, ataleta katiba mpya, lakini bado ni CCM ndio itaendelea kushinda na kutawala Tanzania, kwa kipindi kirefu kijacho and probably milele.

Kwasababu bado hatuna any serious and credible opposition to checks out CCM!. Watu wanamatumaini sana na Chadema, lakini amini usiamini, Chadema kwa hivi ilivyo, ni hakuna kitu pale!, labda ibadilike, kule juu iingie mijitu bold kama Heche. https://www.jamiiforums.com/threads...us-credible-mature-enough-opposition.1249668/

Nimesema hatuna any serious and credible opposition kwasababu upinzani uliopo ni myopic, una short distance vision ya siasa za leo, hawana good vision ya kuona mbali kuwa wanataka nini kesho, wanakwenda wapi na watafikaje, hivyo kukosa a clear vision of its target, na kukosa clear focus hivyo kushindwa ku focus and eventually end up missing the target. https://www.jamiiforums.com/threads...he-target-adui-mkubwa-sio-ccm-bali-ni.310532/

Nakiri kuwa inspired kupandisha bandiko hili https://www.jamiiforums.com/threads...za-nchi-hii-ngumu-sana.2057792/#post-45011402 toka kwa hoja ya mwana JF huyu

Naunga mkono hoja, kweli Chadema ni moto wa kuotea mbali, tatizo lake haijajipanga na haijipangi. https://www.jamiiforums.com/threads...angi-na-hamtajipanga-2015-ni-ccm-tena.624364/ Forget about 2025, the time is too little too late. The focus should be 2030.

Politics is a science of politics, political science, therefore it follows scientific theories and proofs, hivyo kwa political dynamics ya siasa zetu, kwa sasa hapa tulipo hadi 2025, bado hatuna chama chochote kingine cha siasa cha kuitikisha CCM kwenye urais.

Kwa vile uchaguzi Mkuu mwingine ni 2025, baada ya Rais Samia kuruhusu mikutano ya siasa, naona vyama uchwala vinakurupuka kwa mikutano ya hadhara to focus on uchaguzi wa 2025 only, that is lack of clear focus na clear vision, hivyo they are myopic.

2025 is a bit too close, too near, hivyo vyama vina too little time too late to do a worthwhile thing!. The focus kwenye urais should be 2030!. 2025 they should focus on ubunge only.

Nimeona Chadema wanakwenda kuanzia Kanda ya Ziwa, hii ni Kanda determinant ya nani anakuwa rais wa Tanzania, hivyo chaguo la JPM kuwa mgombea wa CCM ile 2015 was not bahati nasibu na wala sio JPM aliingia kwa ku beep!. It was a premeditated move na ni mimi niliisema humu ile 2014.

Kwa vile JPM alitoka Kanda ya Ziwa, then PM kutoka pengine popote was possible, lakini kwa 2025, kwa vile rais sio kutokea Kanda determinant ya Ziwa, then piga ua galagaza the next PM ni lazima atoke Kanda ya Ziwa!. Kubali kataa!.

Sasa uchaguzi wa rais wa 2030 ndio fursa nyingine kwa opposition, kama ile fursa ya 2015 ambayo Chadema walikuwa nayo, but for being myopic na lack of focus, they missed the target.

Fursa ya 2030 kwa opposition, mimi niliizungumza toka February 2018 https://www.jamiiforums.com/threads...ga-karibu-wote-watakuwa-wamemalizika.1401652/ https://www.jamiiforums.com/threads...ga-karibu-wote-watakuwa-wamemalizika.1401652/ 12 years before.
The the opposition wetu, will they be ready to take up the challenge
Paskali.
Paskal nature can not be recreated or destroyed. Tume ya uchaguzi kwa uumbaji ni huru- haiwezi kuwa shirikishi na tukabaki salama. Tuache kuwachekea hawa wanasiasa (winner take all VS bad loser) waliopoteza chembe ya kuaminiana kati yao. Paskali hebu fikiria TFF iwape Yanga na Simba watafute waamuzi wa mechi yao- nakuapia hiyo mechi haitachezwa.
 
Hapa nimekupata vizuri, unapodai CCM kama chama imeshazoea figisu, na japo Samia sio mtu wa figisu, lakini CCM kama chama kitamlazimisha afanye hizo figisu..

Sasa kwa msingi huo, unaposema Chadema haijajipanga na haijipangi, naona unamaanisha Chadema watafute njia nyingine ya kufanya nje ya huu mfumo wa kipuuzi wa uchaguzi uliopo sasa..
Nadhani anataka chadema iingie msituni
 
Hunaga jipya bro, vinginevyo ungeanzisha chama upate hiyo nafasi.
Mkuu Tindo , kwanza ni kweli sina jipya kwasababu in reality, there is nothing new under the sun!, hivyo jipya litoke wapi?. Nianzishe chama cha nini wakati Tanzania kwa chama kweli cha siasa ambacho ni chama as chama, tunacho kimoja tuu!, the one and only!, humu ndimo nilimo.
Ww ni motivational speaker fulani ambaye huna achievement yoyote unayoweza kuonyesha.
Mimi sio motivational speaker, mimi ni mwandishi tuu wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea, ila ni kweli sina any achievement yoyote ya Kuonekanika ninayoweza kuonyesha, ila kalamu yangu ina ncha kali, baadhi ya maswali yangu, hoja zangu na maandishi yana waingia yawachoma na wana badilika ila watu hawaoni!, mimi ninayeandika na kushuhudia maandishi yangu yakileta mabadiliko chanya ni faraja tosha kwangu!. Kama utapata muda pitia hizi baadhi ya kauli umba zangu uone zilivyoleta matokeo chanya https://www.jamiiforums.com/threads...na-kauli-umba-ambazo-huumba-shuhudia.2013308/ ambayo japo hayaonekaniki kwa macho lakini matokeo yake yanaonekana.
Mtu mjinga tu ndio anaweza kufuata ushauri wako.
Ushauri wangu huwa ni ushauri wa bure, mama ni mtu mjinga tuu anayeweza kufuata ushauri wangu, hii inamaansha ushauri wangu ni wa kijinga!, then, angalia ushauri wangu hapa niliishauri nini CCM na Chadema https://www.jamiiforums.com/threads/ccm-imechokwa-chadema-haijajipanga.87532/ angalia nani alifuata ushauri wangu na akapata nini, na nani alipuuza na matokeo yake, sasa hapo nani mjinga?.
Ww ni mmoja ya waliowaingiza mkenge CDM wamchukue Lowassa, yule Mzee tapeli wa kisiasa.,
Hili la Lowassa naomba usinikumbushe litaniumiza kwasababu nili invest sana kwenye ushauri wa bure na matokeo nikuyakumbuka naumia mpaka kesho,
  1. Licha ya kumsupport Lowassa nilitoa angalizo hili https://www.jamiiforums.com/threads...e-rais-wetu-2015-rais-wetu-wa-2015-ni.800075/
  2. Mchakato wa CCM ulipoanza, nikapenyeshewa hii https://www.jamiiforums.com/threads/licha-ya-kukubalika-jina-la-lowassa-halitafika-hata-cc.827807/
  3. Na kweli Lowassa alichinjiwa baharini, baada ya kuchinjwa kwanza nilishauri https://www.jamiiforums.com/threads...ubali-matokeo-vunja-kambi-jisalimishe.883808/
  4. Kisha nikauliza https://www.jamiiforums.com/threads...-mwanzo-wa-safari-halisi-ya-matumaini.882751/ hivyo hapa ukisema niliwaingiza mkenge Chadema, hapa you would be right. I was very genuine when writing that ila it's very unfortunately Mungu aliisha panga.
  5. Baada ya uchaguzi nimewashauri https://www.jamiiforums.com/threads...tokeo-tushukuru-kwa-yote-life-goes-on.964000/
  6. Hivyo uamuzi wa Chadema kumchukua Lowassa was the best of the best kwa wakati huo Chadema had no one compared!. Hata 2025 Chadema has no one kushindana na mgombea wa CCM, hivyo rais wa 2025 ni mgombea wa CCM!.
Huu ushauri unaowapa wapinzani ungeutumia ww
Kuna baadhi ya ushauri mzuri nimewapa wapinzani, wakaufuata na ukawasaidia sana!.
Mfano
  1. Lissu ni mdogo wangu, nimemtangulia vidato pale Ilboru, ni mimi ndiye niliye mshauri Lissu agombee https://www.jamiiforums.com/threads...0-ameonyesha-uwezo-zaidi-ya-magufuli.1289828/ na labda hata zile pyu pyu ni ili kuzuia asigombee!.
  2. Akiwa ubelgiji Lissu aligoma kurudi bila kuhaikishiwa usalama wake na Siro, ni mimi tena niliye mshauri Lissu arudi https://www.jamiiforums.com/threads...aendelea-kukulinda-welcome-back-home.1712173/ lisu akapokea ushauri akakubali kurudi
  3. https://www.jamiiforums.com/threads...-njema-na-nchi-hii-mpeni-ushirikiano.1939827/ ushauri huu umefutwa wamewasilisha hoja mezani, wamesikilizwa sasa nao wanalamba asali!
  4. https://www.jamiiforums.com/threads...onde-msiandamane-mwenye-nguvu-mpishe.1088394/ Chadema walifuata ushauri huu na kuepusha shari
  5. https://www.jamiiforums.com/threads...nly-survival-do-or-die-msirudie-kosa.1813313/ Chadema imefuata ushauri huu
  6. https://www.jamiiforums.com/threads...ngukia-bali-angalia-pale-ulipojikwaa.1993155/ ushauri huu sasa unafatwa
  7. https://www.jamiiforums.com/threads...-19-ni-mashujaa-kuendelea-ubunge-wao.1815648/ Chadema wamekubali matokeo sasa wana survive
  8. https://www.jamiiforums.com/threads...tokeo-tushukuru-kwa-yote-life-goes-on.964000/ ushauri huu ulifuatwa
  9. https://www.jamiiforums.com/threads...-kuzira-je-si-tabia-za-kike-si-utoto.1011874/ ushauri huu unafuatwa sasa Chadema sio Chadema susa susa au Chadema zira zira, sasa ni Chadema kazi kazi huku kazi iendelee
  10. https://www.jamiiforums.com/threads/kuelekea-2015-chadema-kuchukua-nchi-kwa-kishindo-only-if.323057/ ilikuwa Chadema wachukue nchi, kwa kupuuza ushauri huu, Chadema inaendelea kupiga mark time!.
P
 
Kikubwa ni kujipanga ili hiyo 2030 wawe wako ktk position nzuri.
usiwakatishe tamaa na kumbuka wao wanajitambua vyema kabisa!
No siwakatishi tamaa bali nawaeleza ukweli. Mtu anayekueleza ukweli, anakusaidia sana, na kiukweli sio najisifu, bali ni kweli ninaisaida sana Chadema. Ukiwa na great expectations za kushinda, kumbe ni matumaini hewa, yule anayekuambia ukweli kuwa hayo ni matumaini hewa, hauwezi kushinda, huyu ndiye anakusaidia!, kukupunguzia impact ya matokeo!. Mfano hapa https://www.jamiiforums.com/threads...i-wenu-mkuu-sio-ccm-lazima-mbadilike.1356810/ https://www.jamiiforums.com/threads...wa-je-tunarejea-nchi-ya-chama-kimoja.1358762/
Matokeo ya ushauri huu ni hata baada ya Chadema kula mweleka uchaguzi wa 2020, walikubali matokeo kwa heshima na adabu bila vurugu yoyote.
P
 
No siwakatishi tamaa bali nawaeleza ukweli. Mtu anayekueleza ukweli, anakusaidia sana, na kiukweli sio najisifu, bali ni kweli ninaisaida sana Chadema. Ukiwa na great expectations za kushinda, kumbe ni matumaini hewa, yule anayekuambia ukweli kuwa hayo ni matumaini hewa, hauwezi kushinda, huyu ndiye anakusaidia!, kukupunguzia impact ya matokeo!. Mfano hapa https://www.jamiiforums.com/threads...i-wenu-mkuu-sio-ccm-lazima-mbadilike.1356810/ https://www.jamiiforums.com/threads...wa-je-tunarejea-nchi-ya-chama-kimoja.1358762/
Matokeo ya ushauri huu ni hata baada ya Chadema kula mweleka uchaguzi wa 2020, walikubali matokeo kwa heshima na adabu bila vurugu yoyote.
P
Eti walikula Mweleka! Hiivi ninyi SUKUMA GANG huwa mnatumia nini kufikiri??Kilichotokea mwaka huo sitokuja kukisahau kualika Wanajeshi kutoka Rwanda na Burundi kusimamia usalama wa uchaguzi mkuu ilikuwa ni halali?Hayo mambo endeleeni kuyashabikia lakini vizazi vinatofautiana sana bahati nzuri au mbaya mnapeleka watoto wenu International Schools hawa watakuja kuwaumbua na kalamu zenu mtazitupa chini maana hawa hawana uvumilivu.
 
Mkuu Tindo , kwanza ni kweli sina jipya kwasababu in reality, there is nothing new under the sun!, hivyo jipya litoke wapi?. Nianzishe chama cha nini wakati Tanzania kwa chama kweli cha siasa ambacho ni chama as chama, tunacho kimoja tuu!, the one and only!, humu ndimo nilimo.

Mimi sio motivational speaker, mimi ni mwandishi tuu wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea, ila ni kweli sina any achievement yoyote ya Kuonekanika ninayoweza kuonyesha, ila kalamu yangu ina ncha kali, baadhi ya maswali yangu, hoja zangu na maandishi yana waingia yawachoma na wana badilika ila watu hawaoni!, mimi ninayeandika na kushuhudia maandishi yangu yakileta mabadiliko chanya ni faraja tosha kwangu!. Kama utapata muda pitia hizi baadhi ya kauli umba zangu uone zilivyoleta matokeo chanya https://www.jamiiforums.com/threads...na-kauli-umba-ambazo-huumba-shuhudia.2013308/ ambayo japo hayaonekaniki kwa macho lakini matokeo yake yanaonekana.

Ushauri wangu huwa ni ushauri wa bure, mama ni mtu mjinga tuu anayeweza kufuata ushauri wangu, hii inamaansha ushauri wangu ni wa kijinga!, then, angalia ushauri wangu hapa niliishauri nini CCM na Chadema https://www.jamiiforums.com/threads/ccm-imechokwa-chadema-haijajipanga.87532/ angalia nani alifuata ushauri wangu na akapata nini, na nani alipuuza na matokeo yake, sasa hapo nani mjinga?.

Hili la Lowassa naomba usinikumbushe litaniumiza kwasababu nili invest sana kwenye ushauri wa bure na matokeo nikuyakumbuka naumia mpaka kesho,
  1. Licha ya kumsupport Lowassa nilitoa angalizo hili https://www.jamiiforums.com/threads...e-rais-wetu-2015-rais-wetu-wa-2015-ni.800075/
  2. Mchakato wa CCM ulipoanza, nikapenyeshewa hii https://www.jamiiforums.com/threads/licha-ya-kukubalika-jina-la-lowassa-halitafika-hata-cc.827807/
  3. Na kweli Lowassa alichinjiwa baharini, baada ya kuchinjwa kwanza nilishauri https://www.jamiiforums.com/threads...ubali-matokeo-vunja-kambi-jisalimishe.883808/
  4. Kisha nikauliza https://www.jamiiforums.com/threads...-mwanzo-wa-safari-halisi-ya-matumaini.882751/ hivyo hapa ukisema niliwaingiza mkenge Chadema, hapa you would be right. I was very genuine when writing that ila it's very unfortunately Mungu aliisha panga.
  5. Baada ya uchaguzi nimewashauri https://www.jamiiforums.com/threads...tokeo-tushukuru-kwa-yote-life-goes-on.964000/
  6. Hivyo uamuzi wa Chadema kumchukua Lowassa was the best of the best kwa wakati huo Chadema had no one compared!. Hata 2025 Chadema has no one kushindana na mgombea wa CCM, hivyo rais wa 2025 ni mgombea wa CCM!.

Kuna baadhi ya ushauri mzuri nimewapa wapinzani, wakaufuata na ukawasaidia sana!.
Mfano
  1. Lissu ni mdogo wangu, nimemtangulia vidato pale Ilboru, ni mimi ndiye niliye mshauri Lissu agombee https://www.jamiiforums.com/threads...0-ameonyesha-uwezo-zaidi-ya-magufuli.1289828/ na labda hata zile pyu pyu ni ili kuzuia asigombee!.
  2. Akiwa ubelgiji Lissu aligoma kurudi bila kuhaikishiwa usalama wake na Siro, ni mimi tena niliye mshauri Lissu arudi https://www.jamiiforums.com/threads...aendelea-kukulinda-welcome-back-home.1712173/ lisu akapokea ushauri akakubali kurudi
  3. https://www.jamiiforums.com/threads...-njema-na-nchi-hii-mpeni-ushirikiano.1939827/ ushauri huu umefutwa wamewasilisha hoja mezani, wamesikilizwa sasa nao wanalamba asali!
  4. https://www.jamiiforums.com/threads...onde-msiandamane-mwenye-nguvu-mpishe.1088394/ Chadema walifuata ushauri huu na kuepusha shari
  5. https://www.jamiiforums.com/threads...nly-survival-do-or-die-msirudie-kosa.1813313/ Chadema imefuata ushauri huu
  6. https://www.jamiiforums.com/threads...ngukia-bali-angalia-pale-ulipojikwaa.1993155/ ushauri huu sasa unafatwa
  7. https://www.jamiiforums.com/threads...-19-ni-mashujaa-kuendelea-ubunge-wao.1815648/ Chadema wamekubali matokeo sasa wana survive
  8. https://www.jamiiforums.com/threads...tokeo-tushukuru-kwa-yote-life-goes-on.964000/ ushauri huu ulifuatwa
  9. https://www.jamiiforums.com/threads...-kuzira-je-si-tabia-za-kike-si-utoto.1011874/ ushauri huu unafuatwa sasa Chadema sio Chadema susa susa au Chadema zira zira, sasa ni Chadema kazi kazi huku kazi iendelee
  10. https://www.jamiiforums.com/threads/kuelekea-2015-chadema-kuchukua-nchi-kwa-kishindo-only-if.323057/ ilikuwa Chadema wachukue nchi, kwa kupuuza ushauri huu, Chadema inaendelea kupiga mark time!.
P

Nimecheka kwa nguvu, eti uliwahauri CDM kumchukua Lowassa. Unachofanya ww ni sawa na wafanyacho wanafunzi kwenye maswali ya multiple choice. Unakuta mtu hatujui jibu, ila ananyanyua kalamu juu na kushusha kwenye jibu, hapo kalamu itakapotua anafanya ndio jibu. Akipatia jibu anajifanya anajua.

Unachoongea ni kubashiri, ndio maana unaweka mabandiko mengi tofauti tofauti, ikitokea bandiko lako moja likashabihiana na litakalotokea, unasema uliwahi kusema! Huu uhuni upo pia kwenye ilani ya CCM, wameweka list ya mahitaji yote ya wananchi. Ikitokea wakatekeleza chochote katika hiyo list, wanasema wanatekeleza ilani yao.

Halafu kwa kukusaidia tu, ujue kuanzia leo, CCM sio chama cha siasa bali ni kikundi cha dola kilichojivika koti la chama cha siasa. Hivyo wakati unakisifia ili kikutoe kimaisha, usiwe mbali na ukweli huu.
 
No siwakatishi tamaa bali nawaeleza ukweli. Mtu anayekueleza ukweli, anakusaidia sana, na kiukweli sio najisifu, bali ni kweli ninaisaida sana Chadema. Ukiwa na great expectations za kushinda, kumbe ni matumaini hewa, yule anayekuambia ukweli kuwa hayo ni matumaini hewa, hauwezi kushinda, huyu ndiye anakusaidia!, kukupunguzia impact ya matokeo!. Mfano hapa https://www.jamiiforums.com/threads...i-wenu-mkuu-sio-ccm-lazima-mbadilike.1356810/ https://www.jamiiforums.com/threads...wa-je-tunarejea-nchi-ya-chama-kimoja.1358762/
Matokeo ya ushauri huu ni hata baada ya Chadema kula mweleka uchaguzi wa 2020, walikubali matokeo kwa heshima na adabu bila vurugu yoyote.
P

Usijekuta unaona uchaguzi wa 2020 ulikuwa ni uchaguzi. Ule haukuwa uchaguzi, bali yalikuwa ni maenesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Uchaguzi uko Kenya boss. Kwahiyo ukiongelea uchaguzi ule inabidi uongee kwa kujificha. Na ukitaka kujua haukuwa uchaguzi, ingia kwenye tovuti ya tume ya uchaguzi uone kama kuna matokeo.
 
Mama anatosha sio? Nadhani mwanzozuri ni kuwa na wabunge wengi naadiwani wengi ili kuleta chamoto Bungeni namna ya kuiwajibisha serikali ilete maendeleo kwa wananchi.
Kutawaliwa na chama hicho hicho kwa zaidi ya nusu karne inaonyesha ni kiasi gani wananchi katika nchi hiyo walivyo mbumbumbu.

Na nafuu kama chama hicho kingekuwa kina chaguliwa kihalali na wananchi lakini sasa hawa wanajitangaza wenyewe kwamba wameshinda pasipo hata uchaguzi kufanyika. Bure kabisa.
 
Narudia tena mkuu , 2025 tunakwenda kuchukua hii nchi ...kizuri ni kuwa hata chadema, TISS, polisi na ccm hawataamini kitakacho tokea kwenye huo ushindi . .. itakuwa kama ndoto vile , kumbe ndo ukweli wenyewe... Hiyo 2030 ni zubaisha bwege tu mkuu ...hakuna kipindi rahisi kuichukua hii nchi kama 2025 ...kwn ccm bado wako kwenye ulevi wa kimadaraka na wasijue mambo yamebadilika ...
Mkuu Geofre Maseta , kiukweli wewe ni mtu muhimu sana kwa Chadema, kwasababu unatumia kitu kinachoitwa "the power of positivism", ikitokea wewe ukawa ni powerful kweli, then 2025 Chadema wanatinga Ikulu yetu!.
Huku chadema ikiingia kwa nguvu kubwa ambayo haipata tokea tangia mfumo wa vyama vingi urejee 1992 ... Kile kimbunga Cha 2015 kinakwenda kujirudia 2025 ..ila safari hii itakuwa tofauti kidogo, kwn 2015 chadema ilijiamini mnoo kuwa inachukua nchi bila kikwazo chochote ...
Hapa sikuulizi hiyo nguvu kubwa ni nguvu gani na itatoka wapi, ili usitoe siri za mipango mkakati kwa adui, I just wish you all the best!.
2025 ccm wataingia na mazoea Yale yale kuwa ushindi ni lazima kumbe zilonga mbali na zitendwa mbali...2025 goli liko wazi kweli kweli.. tushindwe wenyewe tu
Kuna kosa nimeisha linote, hii ya kudhani 2025 goli liko wazi kwa sababu unadhani kipa ni demu, hivyo ukipiga mashuti makali, badala ya kubana, ataacha na atapanua na nyie kuingiza kiulaini!. 2025 you will be surprised!. Kipa wa 2025 sio demu!.
P
 
Hunaga jipya bro, vinginevyo ungeanzisha chama upate hiyo nafasi. Ww ni motivational speaker fulani ambaye huna achievement yoyote unayoweza kuonyesha. Mtu mjinga tu ndio anaweza kufuata ushauri wako. Ww ni mmoja ya waliowaingiza mkenge CDM wamchukue Lowassa, yule Mzee tapeli wa kisiasa.

Huu ushauri unaowapa wapinzani ungeutumia ww na waandishi wenzako wa habari, ili mpambane na sheria mbaya za vyombo vya habari.
Very fact.
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, nakuja na makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", leo nazungumzia kitu kinachoitwa the Political Vision, Focus na Targets.

Moja ya matatizo makubwa ya siasa zetu ni ukosefu wa clear vision, na hii sio kwa opposition tuu pekee wa Tanzania, hata chama tawala na serikali yetu nayo sometimes inakosa vision ndio maana Tanzania kama nchi tunashindwa kuwa na clear vision na hivyo kushindwa kupanga vipaumbele vyetu. https://www.jamiiforums.com/threads...-aibu-na-hatari-kupikia-kuni-na-mkaa.1966529/

Hivyo tukija kwenye siasa zetu ndio kabisa!, besides siasa za figisu, sheria mbovu za uchaguzi, Tume isiyo Shirikishi ya Uchaguzi na ushindani usio sawa kwenye uwanja tenge, lack of focus ni tatizo kubwa zaidi kwenye siasa zetu kuliko matatizo hayo mengine yote.

Mikutano ya siasa imeruhusiwa, Samia atabadili sheria za uchaguzi, ataruhusu hadi wagombea binafsi, atarekebisha Tume ya Uchaguzi kwa kuunda Tume Huru na Shirikishi, ataleta katiba mpya, lakini bado ni CCM ndio itaendelea kushinda na kutawala Tanzania, kwa kipindi kirefu kijacho and probably milele.

Kwasababu bado hatuna any serious and credible opposition to checks out CCM!. Watu wanamatumaini sana na Chadema, lakini amini usiamini, Chadema kwa hivi ilivyo, ni hakuna kitu pale!, labda ibadilike, kule juu iingie mijitu bold kama Heche. https://www.jamiiforums.com/threads...us-credible-mature-enough-opposition.1249668/

Nimesema hatuna any serious and credible opposition kwasababu upinzani uliopo ni myopic, una short distance vision ya siasa za leo, hawana good vision ya kuona mbali kuwa wanataka nini kesho, wanakwenda wapi na watafikaje, hivyo kukosa a clear vision of its target, na kukosa clear focus hivyo kushindwa ku focus and eventually end up missing the target. https://www.jamiiforums.com/threads...he-target-adui-mkubwa-sio-ccm-bali-ni.310532/

Nakiri kuwa inspired kupandisha bandiko hili https://www.jamiiforums.com/threads...za-nchi-hii-ngumu-sana.2057792/#post-45011402 toka kwa hoja ya mwana JF huyu

Naunga mkono hoja, kweli Chadema ni moto wa kuotea mbali, tatizo lake haijajipanga na haijipangi. https://www.jamiiforums.com/threads...angi-na-hamtajipanga-2015-ni-ccm-tena.624364/ Forget about 2025, the time is too little too late. The focus should be 2030.

Politics is a science of politics, political science, therefore it follows scientific theories and proofs, hivyo kwa political dynamics ya siasa zetu, kwa sasa hapa tulipo hadi 2025, bado hatuna chama chochote kingine cha siasa cha kuitikisha CCM kwenye urais.

Kwa vile uchaguzi Mkuu mwingine ni 2025, baada ya Rais Samia kuruhusu mikutano ya siasa, naona vyama uchwala vinakurupuka kwa mikutano ya hadhara to focus on uchaguzi wa 2025 only, that is lack of clear focus na clear vision, hivyo they are myopic.

2025 is a bit too close, too near, hivyo vyama vina too little time too late to do a worthwhile thing!. The focus kwenye urais should be 2030!. 2025 they should focus on ubunge only.

Nimeona Chadema wanakwenda kuanzia Kanda ya Ziwa, hii ni Kanda determinant ya nani anakuwa rais wa Tanzania, hivyo chaguo la JPM kuwa mgombea wa CCM ile 2015 was not bahati nasibu na wala sio JPM aliingia kwa ku beep!. It was a premeditated move na ni mimi niliisema humu ile 2014.

Kwa vile JPM alitoka Kanda ya Ziwa, then PM kutoka pengine popote was possible, lakini kwa 2025, kwa vile rais sio kutokea Kanda determinant ya Ziwa, then piga ua galagaza the next PM ni lazima atoke Kanda ya Ziwa!. Kubali kataa!.

Sasa uchaguzi wa rais wa 2030 ndio fursa nyingine kwa opposition, kama ile fursa ya 2015 ambayo Chadema walikuwa nayo, but for being myopic na lack of focus, they missed the target.

Fursa ya 2030 kwa opposition, mimi niliizungumza toka February 2018 https://www.jamiiforums.com/threads...ga-karibu-wote-watakuwa-wamemalizika.1401652/ https://www.jamiiforums.com/threads...ga-karibu-wote-watakuwa-wamemalizika.1401652/ 12 years before.
The the opposition wetu, will they be ready to take up the challenge
Paskali.
Update
Mchango very objective

Mkuu Tindo , kwanza ni kweli sina jipya kwasababu in reality, there is nothing new under the sun!, hivyo jipya litoke wapi?. Nianzishe chama cha nini wakati Tanzania kwa chama kweli cha siasa ambacho ni chama as chama, tunacho kimoja tuu!, the one and only!, humu ndimo nilimo.

Mimi sio motivational speaker, mimi ni mwandishi tuu wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea, ila ni kweli sina any achievement yoyote ya Kuonekanika ninayoweza kuonyesha, ila kalamu yangu ina ncha kali, baadhi ya maswali yangu, hoja zangu na maandishi yana waingia yawachoma na wana badilika ila watu hawaoni!, mimi ninayeandika na kushuhudia maandishi yangu yakileta mabadiliko chanya ni faraja tosha kwangu!. Kama utapata muda pitia hizi baadhi ya kauli umba zangu uone zilivyoleta matokeo chanya https://www.jamiiforums.com/threads...na-kauli-umba-ambazo-huumba-shuhudia.2013308/ ambayo japo hayaonekaniki kwa macho lakini matokeo yake yanaonekana.

Ushauri wangu huwa ni ushauri wa bure, mama ni mtu mjinga tuu anayeweza kufuata ushauri wangu, hii inamaansha ushauri wangu ni wa kijinga!, then, angalia ushauri wangu hapa niliishauri nini CCM na Chadema https://www.jamiiforums.com/threads/ccm-imechokwa-chadema-haijajipanga.87532/ angalia nani alifuata ushauri wangu na akapata nini, na nani alipuuza na matokeo yake, sasa hapo nani mjinga?.

Hili la Lowassa naomba usinikumbushe litaniumiza kwasababu nili invest sana kwenye ushauri wa bure na matokeo nikuyakumbuka naumia mpaka kesho,
  1. Licha ya kumsupport Lowassa nilitoa angalizo hili https://www.jamiiforums.com/threads...e-rais-wetu-2015-rais-wetu-wa-2015-ni.800075/
  2. Mchakato wa CCM ulipoanza, nikapenyeshewa hii https://www.jamiiforums.com/threads/licha-ya-kukubalika-jina-la-lowassa-halitafika-hata-cc.827807/
  3. Na kweli Lowassa alichinjiwa baharini, baada ya kuchinjwa kwanza nilishauri https://www.jamiiforums.com/threads...ubali-matokeo-vunja-kambi-jisalimishe.883808/
  4. Kisha nikauliza https://www.jamiiforums.com/threads...-mwanzo-wa-safari-halisi-ya-matumaini.882751/ hivyo hapa ukisema niliwaingiza mkenge Chadema, hapa you would be right. I was very genuine when writing that ila it's very unfortunately Mungu aliisha panga.
  5. Baada ya uchaguzi nimewashauri https://www.jamiiforums.com/threads...tokeo-tushukuru-kwa-yote-life-goes-on.964000/
  6. Hivyo uamuzi wa Chadema kumchukua Lowassa was the best of the best kwa wakati huo Chadema had no one compared!. Hata 2025 Chadema has no one kushindana na mgombea wa CCM, hivyo rais wa 2025 ni mgombea wa CCM!.

Kuna baadhi ya ushauri mzuri nimewapa wapinzani, wakaufuata na ukawasaidia sana!.
Mfano
  1. Lissu ni mdogo wangu, nimemtangulia vidato pale Ilboru, ni mimi ndiye niliye mshauri Lissu agombee https://www.jamiiforums.com/threads...0-ameonyesha-uwezo-zaidi-ya-magufuli.1289828/ na labda hata zile pyu pyu ni ili kuzuia asigombee!.
  2. Akiwa ubelgiji Lissu aligoma kurudi bila kuhaikishiwa usalama wake na Siro, ni mimi tena niliye mshauri Lissu arudi https://www.jamiiforums.com/threads...aendelea-kukulinda-welcome-back-home.1712173/ lisu akapokea ushauri akakubali kurudi
  3. https://www.jamiiforums.com/threads...-njema-na-nchi-hii-mpeni-ushirikiano.1939827/ ushauri huu umefutwa wamewasilisha hoja mezani, wamesikilizwa sasa nao wanalamba asali!
  4. https://www.jamiiforums.com/threads...onde-msiandamane-mwenye-nguvu-mpishe.1088394/ Chadema walifuata ushauri huu na kuepusha shari
  5. https://www.jamiiforums.com/threads...nly-survival-do-or-die-msirudie-kosa.1813313/ Chadema imefuata ushauri huu
  6. https://www.jamiiforums.com/threads...ngukia-bali-angalia-pale-ulipojikwaa.1993155/ ushauri huu sasa unafatwa
  7. https://www.jamiiforums.com/threads...-19-ni-mashujaa-kuendelea-ubunge-wao.1815648/ Chadema wamekubali matokeo sasa wana survive
  8. https://www.jamiiforums.com/threads...tokeo-tushukuru-kwa-yote-life-goes-on.964000/ ushauri huu ulifuatwa
  9. https://www.jamiiforums.com/threads...-kuzira-je-si-tabia-za-kike-si-utoto.1011874/ ushauri huu unafuatwa sasa Chadema sio Chadema susa susa au Chadema zira zira, sasa ni Chadema kazi kazi huku kazi iendelee
  10. https://www.jamiiforums.com/threads/kuelekea-2015-chadema-kuchukua-nchi-kwa-kishindo-only-if.323057/ ilikuwa Chadema wachukue nchi, kwa kupuuza ushauri huu, Chadema inaendelea kupiga mark time!.
P
Pambaneni na sheria mbaya za vyombo vya habari.
 
Back
Top Bottom