Vien
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 6,585
- 10,363
Nashangaa watu wanaohofia kuchapiwa ..zama hz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashangaa watu wanaohofia kuchapiwa ..zama hz
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwamba ni unafiki tuuOGOPA SANA MWANAMKE MWENYE KUWEKA JUMBE ZA SIJUI YESU HIVI,MUNGU VILE KWENYE STATUS ZAO. HILO CHAKA ULILOINGIA TOKA/TOKAPO.
Mkuu, achana na mambo ya tabia, piga hiyo kituNikumuomba najua hataninyima ila hyo tabia sina
Mkuu nitumie namba yake pm, mimi nimuombe hìyo mbunyeHahahaha yaan sijui mabinti wa Singda wanalelewaje
Hahahahahahahaaaaaaaa,hata ukienda kucheza bao au draft watu watagegeda tu,usicheze na akili za mwanamke.Kokote utakapoenda watu watafanya tu,
haijalishi umeenda kwenye semina au kwenye makambi ya wasabato au umeenda kuhubiri injili au umeenda kuloga huku watafanya tu
Watu wanafanyana hata kwenye misiba!!!
Huyo mme mwenzio hata usimwambie atajua tu si unajua penzi kikohozi
Hii ni battle yangu mimi na ww,Tangu mwanzo nimekuonya kutumia wingi kwenye sentensi zako.Anyway naona hunimudu ebu kusanya vilaza wenzio wa ukoo mzma me tupambane kwa hoja.Hapo ndo utakuwa na uhalali wa kutumia WINGI.Upo confused
Mara "sijui Kingereza andika Kiswahili niweze kusoma"..
Halafu hapo hapo unarudi nyuma unasema "Kingereza chako ni changu cha Nursery"
Sasa tukuelewe wewe ni nani?
How can we believe you eti unajua Kingereza?
By that hatuwezi kukuamini kwa chochote
Tunachoamini ni sentensi yako ya mwanzo kwamba hujui Kingereza tuandike Kiswahili ili uweze kusoma
Therefore unachoharisha sasa hivi ni uwongo unajitahidi kujitetea na upumbavu wako uliosema mwanzo kwamba indeed wewe ni mbumbumbu wa kusoma na kuandika Kingereza.
Solution ni kurudi shule na kujifunza,acha kunya kunya mamaeee!
1. Highly temperedUpo confused
Mara "sijui Kingereza andika Kiswahili niweze kusoma"..
Halafu hapo hapo unarudi nyuma unasema "Kingereza chako ni changu cha Nursery"
Sasa tukuelewe wewe ni nani?
How can we believe you eti unajua Kingereza?
By that hatuwezi kukuamini kwa chochote
Tunachoamini ni sentensi yako ya mwanzo kwamba hujui Kingereza tuandike Kiswahili ili uweze kusoma
Therefore unachoharisha sasa hivi ni uwongo unajitahidi kujitetea na upumbavu wako uliosema mwanzo kwamba indeed wewe ni mbumbumbu wa kusoma na kuandika Kingereza.
Solution ni kurudi shule na kujifunza,acha kunya kunya mamaeee!
Ni kawaida akili ndogo kujidhihirisha wazi mbele za watu kwa kutukana ovyo.Kutumia sentensi yenye "wingi" implication inakuwasha nini?
Kuna watu categorically nimetaja majina yao kwamba nipo nao?
Sijataja,sasa wewe maiti matako yanakuwasha nini hasa?
Its me,the nigga himself,whatcha want?
Kuna sentensi yenye "wingi" inakuuma matako?
I use it,kimekuuma,thats not my business,umechukia sana,jump into the ocean...
🤣🤣🤣🤣upo sahihi sana mkuu japo umempandisha sana hizo akili hawezi hata kuwa mwalimu.1. Highly tempered
2. Having inferiority complex
3. Needs to win for everything so possibly itakua wewe ni mfupi kwa kimo
4. That Ego means you interact with people having low IQ.. which also means possibly wewe ni Mwalimu wa shule fulani.
Hello Teacher.. take your time!! take your time.
Mama J mbona hasomi na sura mbovu ila jamaa kampa-kampa Tena?Habari zenu wakuu!
Bila kuwachosha naomba niwaeleze hii kitu,Kipindi naajiriwa (gvt)nimekuta watu wengi tu pale aliwepo mshikaj mmoja ambae alikuja kuwa mshikaji wangu sana.Baada ya kuzoeana sana nikamshauri akaongeze elimu (degree)na kwel baada ya miez kadhaa jamaa kaondoka kwenda Dom chuo fulani kusoma UHASIBU.
Hao watu siku akiamua anaweza kumpa hata mbwaDuuh haya mambo hayana formula.