Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aloo hili jama se.nge sana limekuja kujishtakiHapa ndio kiini cha ujumbe wako, kumbe mgegedaji ni wewe mwenyewe shwain
😂😂😂Ukilinda kigamboni huku kunduchi tunavua ...
samaki ni wale wale
Dhambi ya kula mali ya mtu mwingine ni mbayaHabari zenu wakuu!
Bila kuwachosha naomba niwaeleze hii kitu,Kipindi naajiriwa (gvt)nimekuta watu wengi tu pale aliwepo mshikaj mmoja ambae alikuja kuwa mshikaji wangu sana.Baada ya kuzoeana sana nikamshauri akaongeze elimu (degree)na kwel baada ya miez kadhaa jamaa kaondoka kwenda Dom chuo fulani