Kama upo hapa, please tuwasiliane mara moja

Kama upo hapa, please tuwasiliane mara moja

Bill Lugano

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
1,189
Reaction score
6,450
Nipo Las Vegas hapa USA kama kuna mtu yupo karibu please tuwasiliane maana nipo tu bored. kulikuwa na kikao tumemaliza toka Jumamosi so nikaona nikae kae kidogo kuonana na jamaa zangu. bahati mbaya nao ratiba zao zimebana so tumeonana kwa muda mfupi tu wakati wa Breakfast na Lunch. nina muda mrefu wa kutosha kama kuna mtu anataka angalau tutembee tembee kufanya shopping hapa Las Vegas kabla sijaondoka kuelekea Italy kununua Nguo na France nako kuna Perfumes kali za designers flani wanazindua Jumamosi ijayo. so mdau yeyote aliye pande hizi anijulishe mi nitashughulikia suala lake la usafiri na malazi asiwe na mashaka kuwa itakuaje kwa hayo mambo.

Na huko Tz mnaendeleje? maana nina muda kidogo sijafika. kuna screen kubwa nataka nije nayo toka huku ni inch 292 sasa nawaza namna ya kuiingiza pale home maana naona kama mlangoni haitapita but nilitaka kujua kama naweza pata kampuni kubwa ya Ujenzi ambayo wanaweza wakabomoa sehemu tukaiingiza hiyo TV then wakarudishia kama palivyokuwa awali. hili nimeona niweze kushare nanyi tu maana inawezekana kukawa na wengine wenye uzoefu na jambo kama hili. then ile TV yangu ya inch 150 naangalia nipeleke kituo gani cha watoto yatima wawe nao wanaangalia vitu kama vilivyo. mimi napenda TV zangu nione mtu kwa height yake kama ilivyo na gari nalo lionekane kwa size yake halisi. hizi sijui za inch 70 plus ...naona kama zinaumiza macho na mtu unakuwa kama unachungulia kwenye simu.
 
Nipo Las Vegas hapa USA kama kuna mtu yupo karibu please tuwasiliane maana nipo tu bored. kulikuwa na kikao tumemaliza toka Jumamosi so nikaona nikae kae kidogo kuonana na jamaa zangu. bahati mbaya nao ratiba zao zimebana so tumeonana kwa muda mfupi tu wakati wa Breakfast na Lunch. nina muda mrefu wa kutosha kama kuna mtu anataka angalau tutembee tembee kufanya shopping hapa Las Vegas kabla sijaondoka kuelekea Italy kununua Nguo na France nako kuna Perfumes kali za designers flani wanazindua Jumamosi ijayo. so mdau yeyote aliye pande hizi anijulishe mi nitashughulikia suala lake la usafiri na malazi asiwe na mashaka kuwa itakuaje kwa hayo mambo.

Na huko Tz mnaendeleje? maana nina muda kidogo sijafika. kuna screen kubwa nataka nije nayo toka huku ni inch 292 sasa nawaza namna ya kuiingiza pale home maana naona kama mlangoni haitapita but nilitaka kujua kama naweza pata kampuni kubwa ya Ujenzi ambayo wanaweza wakabomoa sehemu tukaiingiza hiyo TV then wakarudishia kama palivyokuwa awali. hili nimeona niweze kushare nanyi tu maana inawezekana kukawa na wengine wenye uzoefu na jambo kama hili. then ile TV yangu ya inch 150 naangalia nipeleke kituo gani cha watoto yatima wawe nao wanaangalia vitu kama vilivyo. mimi napenda TV zangu nione mtu kwa height yake kama ilivyo na gari nalo lionekane kwa size yake halisi. hizi sijui za inch 70 plus ...naona kama zinaumiza macho na mtu unakuwa kama unachungulia kwenye simu.
Mafuta ya mawese yanatesa watanzania mama ondoa kodi Kwenye mafuta.
 
Nipo Las Vegas hapa USA kama kuna mtu yupo karibu please tuwasiliane maana nipo tu bored. kulikuwa na kikao tumemaliza toka Jumamosi so nikaona nikae kae kidogo kuonana na jamaa zangu. bahati mbaya nao ratiba zao zimebana so tumeonana kwa muda mfupi tu wakati wa Breakfast na Lunch. nina muda mrefu wa kutosha kama kuna mtu anataka angalau tutembee tembee kufanya shopping hapa Las Vegas kabla sijaondoka kuelekea Italy kununua Nguo na France nako kuna Perfumes kali za designers flani wanazindua Jumamosi ijayo. so mdau yeyote aliye pande hizi anijulishe mi nitashughulikia suala lake la usafiri na malazi asiwe na mashaka kuwa itakuaje kwa hayo mambo.

Na huko Tz mnaendeleje? maana nina muda kidogo sijafika. kuna screen kubwa nataka nije nayo toka huku ni inch 292 sasa nawaza namna ya kuiingiza pale home maana naona kama mlangoni haitapita but nilitaka kujua kama naweza pata kampuni kubwa ya Ujenzi ambayo wanaweza wakabomoa sehemu tukaiingiza hiyo TV then wakarudishia kama palivyokuwa awali. hili nimeona niweze kushare nanyi tu maana inawezekana kukawa na wengine wenye uzoefu na jambo kama hili. then ile TV yangu ya inch 150 naangalia nipeleke kituo gani cha watoto yatima wawe nao wanaangalia vitu kama vilivyo. mimi napenda TV zangu nione mtu kwa height yake kama ilivyo na gari nalo lionekane kwa size yake halisi. hizi sijui za inch 70 plus ...naona kama zinaumiza macho na mtu unakuwa kama unachungulia kwenye simu.
Boss lugano tena...
 
Nipo Las Vegas hapa USA kama kuna mtu yupo karibu please tuwasiliane maana nipo tu bored. kulikuwa na kikao tumemaliza toka Jumamosi so nikaona nikae kae kidogo kuonana na jamaa zangu. bahati mbaya nao ratiba zao zimebana so tumeonana kwa muda mfupi tu wakati wa Breakfast na Lunch. nina muda mrefu wa kutosha kama kuna mtu anataka angalau tutembee tembee kufanya shopping hapa Las Vegas kabla sijaondoka kuelekea Italy kununua Nguo na France nako kuna Perfumes kali za designers flani wanazindua Jumamosi ijayo. so mdau yeyote aliye pande hizi anijulishe mi nitashughulikia suala lake la usafiri na malazi asiwe na mashaka kuwa itakuaje kwa hayo mambo.

Na huko Tz mnaendeleje? maana nina muda kidogo sijafika. kuna screen kubwa nataka nije nayo toka huku ni inch 292 sasa nawaza namna ya kuiingiza pale home maana naona kama mlangoni haitapita but nilitaka kujua kama naweza pata kampuni kubwa ya Ujenzi ambayo wanaweza wakabomoa sehemu tukaiingiza hiyo TV then wakarudishia kama palivyokuwa awali. hili nimeona niweze kushare nanyi tu maana inawezekana kukawa na wengine wenye uzoefu na jambo kama hili. then ile TV yangu ya inch 150 naangalia nipeleke kituo gani cha watoto yatima wawe nao wanaangalia vitu kama vilivyo. mimi napenda TV zangu nione mtu kwa height yake kama ilivyo na gari nalo lionekane kwa size yake halisi. hizi sijui za inch 70 plus ...naona kama zinaumiza macho na mtu unakuwa kama unachungulia kwenye simu.
Hahaha nimecheka aisee, we jamaa unajua kuondolea watu stress.
 
Hapo unakuta upo geto unawaza utapataje hela ya kula na hilo bando likiisha ndo utawaza mpaka mwisho.

Tv ya futi 24
 
Nipo Las Vegas hapa USA kama kuna mtu yupo karibu please tuwasiliane maana nipo tu bored. kulikuwa na kikao tumemaliza toka Jumamosi so nikaona nikae kae kidogo kuonana na jamaa zangu. bahati mbaya nao ratiba zao zimebana so tumeonana kwa muda mfupi tu wakati wa Breakfast na Lunch. nina muda mrefu wa kutosha kama kuna mtu anataka angalau tutembee tembee kufanya shopping hapa Las Vegas kabla sijaondoka kuelekea Italy kununua Nguo na France nako kuna Perfumes kali za designers flani wanazindua Jumamosi ijayo. so mdau yeyote aliye pande hizi anijulishe mi nitashughulikia suala lake la usafiri na malazi asiwe na mashaka kuwa itakuaje kwa hayo mambo.

Na huko Tz mnaendeleje? maana nina muda kidogo sijafika. kuna screen kubwa nataka nije nayo toka huku ni inch 292 sasa nawaza namna ya kuiingiza pale home maana naona kama mlangoni haitapita but nilitaka kujua kama naweza pata kampuni kubwa ya Ujenzi ambayo wanaweza wakabomoa sehemu tukaiingiza hiyo TV then wakarudishia kama palivyokuwa awali. hili nimeona niweze kushare nanyi tu maana inawezekana kukawa na wengine wenye uzoefu na jambo kama hili. then ile TV yangu ya inch 150 naangalia nipeleke kituo gani cha watoto yatima wawe nao wanaangalia vitu kama vilivyo. mimi napenda TV zangu nione mtu kwa height yake kama ilivyo na gari nalo lionekane kwa size yake halisi. hizi sijui za inch 70 plus ...naona kama zinaumiza macho na mtu unakuwa kama unachungulia kwenye simu.
Bila shaka we ni muhaya
 
Back
Top Bottom