Pesanyingi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2023
- 1,157
- 1,983
Tatizo vijana nao ni kutaka kuowa mwanamke ambaye unataka watu wakuone mjanja mwisho unakutana na Li kaaba linajifanya wife material kumbe fisi. Wanaume wote walio kimbilia wanawake wenye tabia hizi wengi wao sasa wanateseka.
1.Mwanaume ukijichanganya kwa Hawa wanawake wa rasta za rangi rangi had mgongoni lazima uipate.
2.Wanapenda kuvaa nguo fupi na za Kubana kuonyshe maumbile yao, hapa mwanaume utateseka.
3.Kuowa kwa kuangalia makalio na sura basi hapo mwanaume utakaliwa hasa.
4.Wanawake wapenda starehe na kwenda viwanja.
5.Waliofanikiwa kwenda shule(wasomi)
6.Wenye viburi na wapenda social media tangu wakati wa chumba.
7.zingne malizia.
1.Mwanaume ukijichanganya kwa Hawa wanawake wa rasta za rangi rangi had mgongoni lazima uipate.
2.Wanapenda kuvaa nguo fupi na za Kubana kuonyshe maumbile yao, hapa mwanaume utateseka.
3.Kuowa kwa kuangalia makalio na sura basi hapo mwanaume utakaliwa hasa.
4.Wanawake wapenda starehe na kwenda viwanja.
5.Waliofanikiwa kwenda shule(wasomi)
6.Wenye viburi na wapenda social media tangu wakati wa chumba.
7.zingne malizia.